Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Woodward hawezi kusajili mchezaji mzuri hivyo
Huyo naye kiwango average. Wachukue Sacho na Neres kutoka Ajax, viungo wa kati haohao tutapenya. Type ya Daniel, Sancho, Neres, Joao, Junior hawa madogo ukiwa nao watatu mtakimbiza
 
Rashford kama anaangalia mechi ya Real na Club Brudge kuna forward anaitwa Dennis anawapa taabu sana beki ya Madrid
 
Ukitaka kujua tofauti ya kocha na mtia chachu utaiona kwa huyu Pochettino.

Tangu Eriksen aseme wazi anataka kuondoka amekuwa akimpiga bench na anampa nafasi kidogo na January atamuachia. Ila Ole anakomaa na Pogba tu.

Mchezaji akishaanza kusema anataka kuondoka anakosa ari ya kupambania timu.
 
Sahihi
Ukitaka kujua tofauti ya kocha na mtia chachu utaiona kwa huyu Pochettino.

Tangu Eriksen aseme wazi anataka kuondoka amekuwa akimpiga bench na anampa nafasi kidogo na January atamuachia. Ila Ole anakomaa na Pogba tu.

Mchezaji akishaanza kusema anataka kuondoka anakosa ari ya kupambania timu.
 
Ndugu zanguni ndio tumefikia huku jamani
IMG_20191002_094806.jpeg
 
RASHFORD:- "Kukimbia uwanjani kunachosha hapo hapo inakulazimu upige shuti kali, nasema ukweli mimi nilisukumiwa kwenye football academy sina kipaji cha mpira, mpira tuwaachie wakina Messi na Ronaldo.

Nilitaka nisome niwe engineer, engineer wa majengo moyo hauko kwenye mpira, nimeshavuna pesa naombeni mashabiki wa man u mniruhusu nikafungue kampuni ya ujenzi.

Ni aibu sana nimeshindwa kufikisha magoli 20 kwa msimu, nashukuru pogba umepona tukupe lawama, lukaku umeniacha kwenye mataa siwezi kufunga natamani nipewe pasi ndefu za kutoka nje nikwepe lawama.
 
Back
Top Bottom