Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kwa sisi ambao tunaangalia mpira kwa Technical eyes,tunasema hivi Mchezaji ambaye hagusi mpira uwanjani ndio mchezaji mwenyewe madhara zaidi kuliko wote.
 
RASHFORD:- "Kukimbia uwanjani kunachosha hapo hapo inakulazimu upige shuti kali, nasema ukweli mimi nilisukumiwa kwenye football academy sina kipaji cha mpira, mpira tuwaachie wakina Messi na Ronaldo.

Nilitaka nisome niwe engineer, engineer wa majengo moyo hauko kwenye mpira, nimeshavuna pesa naombeni mashabiki wa man u mniruhusu nikafungue kampuni ya ujenzi.

Ni aibu sana nimeshindwa kufikisha magoli 20 kwa msimu, nashukuru pogba umepona tukupe lawama, lukaku umeniacha kwenye mataa siwezi kufunga natamani nipewe pasi ndefu za kutoka nje nikwepe lawama.
Acha kuzurura majukwaa ya wanaume ovyo ovyo huku umevaa kanga moja iliyolowana.
 
kocha inatakiwa abadirike sasa inatakiwa rashford akae kushoto na daniel kulia afu katikati acheze hata greenwood kama 9 na huyu mpuuzi mwenye kipara ikifika january auzwe hana maana yoyote bora acheze rojo
 
Rashford mvivu saana uwanjani hana lolote hata shuti hajapiga golin mpak mtoto greenwood anaingia na kupiga shuti
RASHFORD sio mvivu,ni uwezo wake ndio umefikia kikomo pale hauwezi kuongezeka zaidi ya pale,Msilazimishe afanye vitu ambavyo vipo nje ya uwezo wake.
 
na game ya jana sikuielewa hiyo var niliona wachezaj wa arsenal wamenawa mpira mara mbili kwenye box na var hawakufwatilia chochote akat najua kuwa epl hakuna sheria ya mpila kufwata mkono ikionekana mtu kashika ni penalt tu spain ndo wanahiyo sheria ya ball to hand
 
Ndio maana nakwambia VAR nayo ya kikuda tu

Yaani waamuzi wanaamua watumie VAR au wasitumie
na game ya jana sikuielewa hiyo var niliona wachezaj wa arsenal wamenawa mpira mara mbili kwenye box na var hawakufwatilia chochote akat najua kuwa epl hakuna sheria ya mpila kufwata mkono ikionekana mtu kashika ni penalt tu spain ndo wanahiyo sheria ya ball to hand
 
Newcastle then Liverpool

Ole ana kazi ngumu kuliko kawaida..
 
Lini hii
RASHFORD:- "Kukimbia uwanjani kunachosha hapo hapo inakulazimu upige shuti kali, nasema ukweli mimi nilisukumiwa kwenye football academy sina kipaji cha mpira, mpira tuwaachie wakina Messi na Ronaldo.

Nilitaka nisome niwe engineer, engineer wa majengo moyo hauko kwenye mpira, nimeshavuna pesa naombeni mashabiki wa man u mniruhusu nikafungue kampuni ya ujenzi.

Ni aibu sana nimeshindwa kufikisha magoli 20 kwa msimu, nashukuru pogba umepona tukupe lawama, lukaku umeniacha kwenye mataa siwezi kufunga natamani nipewe pasi ndefu za kutoka nje nikwepe lawama.
 
Kusema Rashford ni mvivu ni kumuinea, dogo ni moja kati ya wachezaji wanaojituma sana United

Tatizo la dogo ni uwezo mdogo

Laiti Martial angekuwa anajituma kama Rashford, angekuwa mchezaji bora duniani
Naunga mkono hoja hii. Rashford ni uwezo tu hana na si uvivu. Mvivu ni Martial.
 
United tunastrughle kwa kukosa wachezaji wenye viwango, Madrid inao wachezaji bora isipokuwa kipa lakini wanaangaishwa balaa. Sijui tatizo kocha!?
 
Back
Top Bottom