Franklin1902
JF-Expert Member
- Aug 1, 2018
- 2,241
- 4,876
Dirisha hili mmeongoza kwa kuspend ,Mkuu hata mimi nimejipiga ban kuangalia game zetu ila nasapoti mpango wa ujengaji timu![]()
![]()
![]()
Ila kiukweli hii timu yataka moyo sana, kila siku Lingardinho yupo ndan anazurura tu mchezaji anacheza namba 10 ana mechi karibu 20 hajafunga wala assist na bado anapangwa tu, inakera kwakweli.
Ggmu
Kubishana na mnazi ni upopoma ni bora nikae kimya.Ishu ya kocha ilianza kuingelewa tangu lini? Tulipowagonga 8?
Wewe ndio acha porojo, nyie si ndio kabla ya mechi mlituaminisha hii mechi lazima mshinde? Wanaoongea nani kati ya sisi na nyie, WTF.... Yaani kwenye Uzi wetu tusiongee, muongee nyie tu kwenye Uzi wetu
Ooh, kocha... Kocha, naona hicho ndio kimekuwa kichaka chenu cha kujifichia siku hizi, as if kabla ya Unai mlikuwa mnafanya vizuri![]()
Haaahaaha! Hapo MUN ina point 9 in 7 games,imagine ingekua Top of the table.Kipepe hamna kitu, mchezaji ghali wa muda wote Arsenal, ametulizwa na academy graduate Axel ambaye amecheza namba ambayo hajawahi kucheza













Haaahaaha! Hapo MUN ina point 9 in 7 games,imagine ingekua Top of the table.![]()
Mkuu hata mimi nimejipiga ban kuangalia game zetu ila nasapoti mpango wa ujengaji timu![]()
![]()
![]()
Ila kiukweli hii timu yataka moyo sana, kila siku Lingardinho yupo ndan anazurura tu mchezaji anacheza namba 10 ana mechi karibu 20 hajafunga wala assist na bado anapangwa tu, inakera kwakweli.
Ggmu
pale kwa kiswahili wameandika ni ligi kuu ya uingerezaKweli huangilii mechi
Lingardinho ame assist game ya Carabao dhidi ya Rochdale
HahahhaaLingard wenu huyo.View attachment 1220311
Hapa anaongelewa Pepe sio Fred. nimeongelea Pepe na sio mechi saba ni zaidi toka yuko Lille na kiwango chake cha kawaida na hamfikii Zaha kwa mbali, maoni yangu
Kubishana na mnazi ni upopoma ni bora nikae kimya.
Haaahaaha! Hapo MUN ina point 9 in 7 games,imagine ingekua Top of the table.![]()
Lakin uliipa man u asilimia 60 za kushindaNyie mna points ngapi za kukufanya umdharau United? mbona kabla ya mechi ya jana mlipiga yowe sana kana kwamba mna timu nzuri
Mimi niliwambia jana kabla ya mechi, nitanukuu "........ after all tunacheza na Arsenal......" tena OT kwa hiyo sikuwa na pressure
It is just Arsenal......
pale kwa kiswahili wameandika ni ligi kuu ya uingereza
Cha ajabu sasa goli nyingi sana anafunga huyu jamaa lakin hazina msaada ktk timu siongei kishabiki hapa ndipo unapoona anashindwa kupata heshima anayostahili goli nyingi zinakuwa na mantiki kama unashinda kitu kama hushindi kikombe bado unakuwa wa kawaida mwisho wa siku tunabak kupigania namba 5 na 6Pierre-Emeric Aubameyang amefunga magoli 17 kwenye michezo 17 iliyopita ya mashindano yote, Man United imefunga magoli 15 kwenye michezo 17 iliyopita kwenye mashindano yote.
mechi ya jana greenwood aliingia?Vigezo vinazidi kupungua, sasa hivi mtasema za Europa