radika
JF-Expert Member
- Jul 15, 2014
- 20,450
- 32,290
Hii pumba hamna mech marefa wasiofanya makosa mech alizochomoka spurs mbele ya city bila huo mtambo angekuwa wapi?Man U mlizoea kubebwa na aina ya linesman wa jana, that fella is a fool and stupid
Kuna kipindi barcelona iliitwa uefalona maana kila aliecheza nae kichapo kilimhusu visingizio vikaanza marefa wanapangwa na uefa kuibeba barcelona mwisho wa siku watu wakaanza bila xav mess na iniesta hamna timu mwanadamu huwa anatafuta jambo la kujifariji kama wewe hapo
Unataka kusema manchester united makombe yote zaidi ya 60 tulikuwa tunapewa hatukuwahi kuwa na timu bora? Tumetoaje wachezaj bora wa duniani kama marefa wanasaidia? Kuwa mtu wa soka
Kwa sasa hii timu ni mbovu ila sio kwa hiyo point yako dhaifu na kichaka cha kujifariji

