Pamoja broGGMU
No matter what,mimi ni UNITED fan na nitaendelea kuisapoti club yangu
Kikosi chetu leo hiiView attachment 1220030
Mmh! Fred sijui alimkosea nini Ole. |
Acha tuone...Kikosi chetu leo hiiView attachment 1220030
Hapa pona yetu labda Arsenal wajichanganye,ila wakiwa serious leo tunaweza kuchezea za kutosha...sijui kwanini Bisaka hayupo.Kikosi chetu leo hiiView attachment 1220030
Anaweza akafukuzwa kabla hajanunua hao striker kulikuwa na free agent wengi (Fernando Llorente,Mario Mandzukic ,Frank Ribery )ambao wangeweza kuwasajili kwa mwaka mmoja wakaisaidia timu kwa muda.Ni ngumu sana kusajili mchezaji JanuaryOle akiri kipaumbele cha United kwa sasa ni kusajili striker
Habari mbaya kwa Rashy, may be na Tony
Mahaba tu ya Ole
Mmh! Fred sijui alimkosea nini Ole.
Mahaba tu ya Ole
Andreas hakuna la maana alilolifanya so far tokea msimu umeanza na maamuzi yake ni ya kawaida sana uwanjani..Kwa quality alizo nazo Fred nadhani ana uwezo wakutoa services nzuri kumzidi lakini ndo hivyo..
Hakuna sehemu Ole atapeleka hii timu kwa hali hii,Fred amefanya kazi kubwa kila anapopata nafasi lakini ndio hivyo tena. Ushindi wetu ni wa bahati katika kila mchezo. |
Leo Arsenal ni yakujiamini kiasi hiki..kweli tumeisha
Hakuna sehemu Ole atapeleka hii timu kwa hali hii,Fred amefanya kazi kubwa kila anapopata nafasi lakini ndio hivyo tena. Ushindi wetu ni wa bahati katika kila mchezo.
Leo Arsenal ni yakujiamini kiasi hiki..kweli tumeisha
Kila timu inayokutana na MUFC inajiamini. |



. Acha tuone...