Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Badala ya kumchukua Fabian Ruiz kwanini usimnunue Marco Verrati na Sergej Millinkovic Savic
Kwa mimi nilivoona,Fabian Ruiz ana vitu vizuri ambavyo natamami kiungo wa timu yetu awe navyo..Though Savic sio mbaya pia
 
Leo naweka shilingi yangu kwa Man u. Man u ni wabovu safu ya ushambuliaji ila nyuma wapo vizuri.

Arsenal wazuri safu ya ushambuliaji ila kiungo na safu ya ulinzi ni mbovu.

Counter attack za man u zitawapa ushindi hii match, nategemea pia Luiz atatoa boko la mwaka.

Man u sio wazuri sana msimu huu ila kwa match na arsenal wananyakua point 3.
Jifanganye
 
Arsenal point 3 zenu Zipo hukuu .piga hawa wacheza ngoma wa EPL
Pamoja sana ,Leo vijana hawatatuangusha


Liverpool mnatusapoti Leo tunawasafishia njia , next weeks mje mmalize kazi

I’m told that Ole Gunnar Solskjaer will be sacked by Man Utd if he loses both of the upcoming games against Arsenal and Liverpool. #MUFC
 
Pamoja sana ,Leo vijana hawatatuangusha


Liverpool mnatusapoti Leo tunawasafishia njia , next weeks mje mmalize kazi

I’m told that Ole Gunnar Solskjaer will be sacked by Man Utd if he loses both of the upcoming games against Arsenal and Liverpool. #MUFC
Haiwez kutokea
 
Kipi arsenal leo kinachowafanya waone kama wanashinda hii mechi maana mna uhakika balaa
Hata man u MNA uhakika sana

Lkn dk 90 zitaongea


Mimi naiombea ushind timu yangu

Naiman vijana hawataniangusha

Naiman pepe Leo atafanya jambo
 
Hata man u MNA uhakika sana

Lkn dk 90 zitaongea


Mimi naiombea ushind timu yangu

Naiman vijana hawataniangusha

Naiman pepe Leo atafanya jambo
Timu zote mbili matokeo yao hayatabiriki ni ngumu kwa sasa kujua yupi anashinda binafsi kwa hiz timu nipo kimya tu
 
Waliosafiri/Waliokwenda hotelini leo
Screenshot_20190930_182632_com.android.chrome.jpeg
 
Back
Top Bottom