Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hili lilikuwa ni tawi letu aminifu sana, mara nyingi lilikuwa linatupatia points 6 safi kabisa nyumbani na ugenini tunajipigia

Ila tulivyo siku hizi lolote linaweza kutokea

GGMU

rubaman
 
Sijui ni lukesam yule maana hata simkumbuki aisee aliniquote na text reeeefu mwishoni akaniambia huo ujinga eti asipokua na mpira ana hatari sana
The spider mgonjwa au vipi?? Dah kwanini fred asingekaa na toney halafu pogba angepiga 10 Lingard apumzike au ndo mtu mwenye hatari zake akiwa hana mpira .
Ok ngoja tuone kikosi cha arsenal pia hakitishi kabisa hata sub hamna kitu. Ole Masai.
 
Baada ya newcastle ni livapool
Mechi ya kubebeshwa mtu virago
Screenshot_20190930-220532.jpeg
 
Back
Top Bottom