Mc cane
JF-Expert Member
- May 18, 2018
- 5,569
- 10,527
Mkuu kusema Ed alizingua si sawa, maana hata juzi OGS amesema walikuwepo ma striker lakini hakukuwa na right ones. Sasa hapo maana yake hela ipo ila shida na benchi la ufundi kutoa go ahead ya usajili. Pia OGS amewahi kusema hela ilikuwepo summer ila wachezaji waliokuwa sokoni hawakuwa sahihi.
Ed ana mapungufu yake kwenye mambo mengi, mfano kutotaka tu kuleta DoF lakini kwenye kuruhusu Rom kuondoka na kutoleta mbadala huo msalaba ni kwa OGS
Kinachonistua mimi ni kwamba, je January tutapata striker "sahihi" au creative midfielder "sahihi"? Maana kama summer ya miezi 3 tulioshindwa kupata wachezaji wanaofit profile ya United/OGS je mwezi 1 wa January itawezekana?
Je next summer tutapata wachezaji sahihi? Wachezaji sahihi ni akina nani? Longstaff? Declan Rice?
Ed ana mapungufu yake kwenye mambo mengi, mfano kutotaka tu kuleta DoF lakini kwenye kuruhusu Rom kuondoka na kutoleta mbadala huo msalaba ni kwa OGS
Kinachonistua mimi ni kwamba, je January tutapata striker "sahihi" au creative midfielder "sahihi"? Maana kama summer ya miezi 3 tulioshindwa kupata wachezaji wanaofit profile ya United/OGS je mwezi 1 wa January itawezekana?
Je next summer tutapata wachezaji sahihi? Wachezaji sahihi ni akina nani? Longstaff? Declan Rice?
Striker na creative midfield, nilikwambia mkuu Hivi Ni viporo vya dirisha liliopita Woodward alizingua.