Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Dogo pekee wa academy ambaye naweza kusema anafaa kutegemewa kwa sasa ni Tuanzebe pengine na Brandon, hawa ndio wana nguvu hata ya kusukuma mpira.

Hao wengine ni wakutoa kwa mkopo hata msimu mmoja wakapate uzoefu, kuwategemea ni kubet.
Man Utd ni timu ya kujenga kikosi kweli?

Do we have time for that?
 
Man Utd ni timu ya kujenga kikosi kweli?

Do we have time for that?
Hata kama ni kujenga timu sio kwa huyu kocha anayejaribu. Timu alijenga Pep, unatoa magarasa unaingiza vyombo. Sasa Ole anatoa wachezaji anategemea akina Chong?😂😂 Itachukua miaka miingi sana kujenga.
 
Tominay the mad dog
Dogo pekee wa academy ambaye naweza kusema anafaa kutegemewa kwa sasa ni Tuanzebe pengine na Brandon, hawa ndio wana nguvu hata ya kusukuma mpira.

Hao wengine ni wakutoa kwa mkopo hata msimu mmoja wakapate uzoefu, kuwategemea ni kubet.
 
Upo sahihi Tuanzebe na Brandon Williams watanyang'anya watu namba pale OT
sikubahatika kuangalia mechi ya juzi huyo brandon williams yupo vizuri?
uchezaji wake anamkaribia japo kidogo dani alves wa sevilla au patrice evra?
au ndio wale wale jamii ya luke shaw.
au ndio wale wale jamii ya wan bissaka anayesifiwa kwa tackling pekee?
ni mzuri kwa overlapping kama jordi alba?

we need an overlapping full-back
 
Aiseee dogo ile game upande wake hakukua sana na mashambulizi ila kanajua mno kupandisha mashambulizi na krosi anatupia tu vizuri
sikubahatika kuangalia mechi ya juzi huyo brandon williams yupo vizuri?
uchezaji wake anamkaribia japo kidogo dani alves wa sevilla au patrice evra?
au ndio wale wale jamii ya luke shaw.
au ndio wale wale jamii ya wan bissaka anayesifiwa kwa tackling pekee?
ni mzuri kwa overlapping kama jordi alba?

we need an overlapping full-back
 
****.mamaamamake lingard namba tisa sina timu mimi kw sasa
kwani huyu lingard hawezi kuchezeshwa namba 6?
watetezi wake wanasema jamaa ana muhimu sana pindi asipokuwa na mpira, kama ni hivyo achezeshwe namba sita ya uongo halafu isitoshe jamaa ana skills and pace ukimlinganisha na scott mctominay au perreira.
 
kwani huyu lingard hawezi kuchezeshwa namba 6?
watetezi wake wanasema jamaa ana muhimu sana pindi asipokuwa na mpira, kama ni hivyo achezeshwe namba sita ya uongo halafu isitoshe jamaa ana skills and pace ukimlinganisha na scott mctominay au perreira.
Hahahah si kila muda yataingia magoli tu
 
Back
Top Bottom