Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Ile coverage ilikuwa ya Pereira
Goli la jana Marcus Rojo hakufanya coverage upande wa kushoto baada ya Brandon William kuachwa angefanya coverage dogo angeshindwa kupiga au angepiga ikawa kona.

By the way dogo alitupiga goli classic sana
 
nimecheck game ya jana nimeiona manchester moja nzuri saana ila miaka mi3 ijayo nyuma tupo vizur saana wan bissaka ni beki mzuri saana na marcus rojo naona amerudi kwenye kiwango inatakiwa kocha amuamini sasa. tuanzabe ni bonge la mchezaji kwanza ni mtulivu uwanjani hana papara na huyu dogo williams nae yupo vzr kwanza anaspeed..
Miaka mitatu iliopita tulikuwa na Rashford, Martial, Lingard, Jones, Smalling, Young.

Nini wamefanya?
 
Wadau tusijidanganye sana kuwa hali tunayopitia kwa sasa ni ya muda tu katika mazingira haya haya ya akina rashford,martial,lingard,young,jones na ole kama wachezaji wa kikosi cha kwanza. Kuna kitu huwa nakiona kwenye timu za mpira zinazopata mafanikio makubwa kuanzia ngazi ya vilabu hadi timu za taifa. Brazi ya akina dunga,ureno ya akina rui costa,Netherland ya akina seedorf,Manchester ya akina scholes,arsenal ya akina thierry, Madrid ya Ronaldo,Barcelona ya akina xavi,n.k.
Hizi timu tunaweza kusema zilifikia vilele vya mafanikio katika usakataji kabumbu kwa wakati huo na ikafikia kipindi zikashuka. Kushuka huku kulitokana na uchakavu wa baadhi au wachezaji wote wa kikosi cha kwanza. Viongozi wenye dhamana walikuwa wanalitambua hilo na kulifanyia kazi kwa kuingiza damu changa mapema ili warudi kileleni wanapostahili. Hata kuanguka kwao kulikuwa sio kwa aina hii ya Manchester united inavyotudanganya na ed Woodward wao. Angalia ureno baada ya akina Costa,Brazil baada ya dunga,Manchester baada ya scholes,arsenal baada ya henry,barca baada ya xavi,zote hizi zilijitahidi zisishuke chini sana maana wanajua namna nzuri ya kukaa kilele si suala la uzawa bali uwezo wa mtu husika.

Leo hii Manchester ina struggle kwenye kila mechi na ikitokea mtu ametoka syari ya mars akaambiwa hii ilikuwa miamba ya soka la uingereza miaka saba nyuma atabisha kwa nguvu sana,ila akiambiwa Manchester inashiri ligi ya vpl atakubali haraka sana.
Build up inayofanywa na ole ni ya kijinga sijawahi kuona,tangu mwanzo huitaji akili nyingi kujua kuwa haitakuwa na matokeo chanya hata baada ya miaka 10 mbele. Labda kama wanaaanisha kitu kingine ambacho sisi hatukiona kwa macho ya nyama. Inatia hasira sana.
 
nimecheck game ya jana nimeiona manchester moja nzuri saana ila miaka mi3 ijayo nyuma tupo vizur saana wan bissaka ni beki mzuri saana na marcus rojo naona amerudi kwenye kiwango inatakiwa kocha amuamini sasa. tuanzabe ni bonge la mchezaji kwanza ni mtulivu uwanjani hana papara na huyu dogo williams nae yupo vzr kwanza anaspeed..
Namba ya Lindelof ipo mashakani sana, hata mwenzake Shaw. Huyu Brandon ametulia kupita maelezo na anajiamini.

Rojo ni mchezaji mzuri,pengine ndio mchezaji pekee sijawahi kumtilia shaka pale MUFC. Kumbuka kipindi cha Mou kabla hajapata jeraha.
 
Your right brother. Mimi sio shabiki wa Man u ila naumia sana kuona timu kubwa kama man u wanacheza wachezaji ambao sio hadhi kabisa ya kuanza 1st eleven.

Man u ni timu kubwa na ina historia kubwa ila kwa sasa inaangushwa na sajili na mipango ya ovyo inayofanywa na management na kocha.

Mimi nilitegemea wakina rashford, martial na mbarara zilizobaki zingekuwa zinatokea benchi kama sub. Man u inatakiwa isajili wachezaji wakubwa wa kimkakati na wenye viwango vya dunia.

Ukimuondoa (POGBA, BISSAKA) Hizo Mbarara nyingine zilizobali zitawawapotezea muda.
Kuna wachezaji wakubwa Kushinda Falcao, Di Maria, Ibrahimovic, Bastian na wengineo kipindi Chao? Wamekuja na wameshindwa, ilishajaribiwa kipindi Cha Fergie pia tukafeli, mtu mjinga Ni yule anarudia kitu kile kile muda wote na kinafeli.

Ole amesajili watu watatu tu na tumeona impact Yao, mpeni muda tumuone na yeye approach yake itakuwaje, hata Kama Ole hatafanikiwa na timu ikashika nafasi ya 8 atakuwa ameacha foundation nzuri ya Kocha anaekuja.

Ole ame address weakness nyingi za timu yetu Kama vile beki wa Kati na Fullback wa kulia, pia according to Dortmund Director man UTD wali approach kumnunua Sancho Ila waliambiwa deal haliwezi kamilika msimu huu
Na Sancho mwenyewe amekiri kuwapigia simu man UTD kuwa hayupo tayari kwenda timu kubwa msimu huu, means yupo interested kwa baadae kujiunga Man UTD. Hili pia linaonyesha Ole anaona weakness ya winga wa kulia na tayari analifix.

Imagine impact ya Bisaka/Maguire/James itokee Tena kwenye winga wa kulia, Midfield na striker kwenye madirisha yajayo ya usajili.
 
Wadau tusijidanganye sana kuwa hali tunayopitia kwa sasa ni ya muda tu katika mazingira haya haya ya akina rashford,martial,lingard,young,jones na ole kama wachezaji wa kikosi cha kwanza. Kuna kitu huwa nakiona kwenye timu za mpira zinazopata mafanikio makubwa kuanzia ngazi ya vilabu hadi timu za taifa. Brazi ya akina dunga,ureno ya akina rui costa,Netherland ya akina seedorf,Manchester ya akina scholes,arsenal ya akina thierry, Madrid ya Ronaldo,Barcelona ya akina xavi,n.k.
Hizi timu tunaweza kusema zilifikia vilele vya mafanikio katika usakataji kabumbu kwa wakati huo na ikafikia kipindi zikashuka. Kushuka huku kulitokana na uchakavu wa baadhi au wachezaji wote wa kikosi cha kwanza. Viongozi wenye dhamana walikuwa wanalitambua hilo na kulifanyia kazi kwa kuingiza damu changa mapema ili warudi kileleni wanapostahili. Hata kuanguka kwao kulikuwa sio kwa aina hii ya Manchester united inavyotudanganya na ed Woodward wao. Angalia ureno baada ya akina Costa,Brazil baada ya dunga,Manchester baada ya scholes,arsenal baada ya henry,barca baada ya xavi,zote hizi zilijitahidi zisishuke chini sana maana wanajua namna nzuri ya kukaa kilele si suala la uzawa bali uwezo wa mtu husika.

Leo hii Manchester ina struggle kwenye kila mechi na ikitokea mtu ametoka syari ya mars akaambiwa hii ilikuwa miamba ya soka la uingereza miaka saba nyuma atabisha kwa nguvu sana,ila akiambiwa Manchester inashiri ligi ya vpl atakubali haraka sana.
Build up inayofanywa na ole ni ya kijinga sijawahi kuona,tangu mwanzo huitaji akili nyingi kujua kuwa haitakuwa na matokeo chanya hata baada ya miaka 10 mbele. Labda kama wanaaanisha kitu kingine ambacho sisi hatukiona kwa macho ya nyama. Inatia hasira sana.
Leta solution
 
Ole sio kocha ni mhamasishaji..Hii kazi tuliyompa it's out of his ability..Hakuna timu ya kueleweka itakayojengwa na yeye

Kuna watu wanasema tunawachezaji wa kawaida..inawezekana,lakini sio kwa uchezaji huu tunaocheza.
Hata kuhamasiha hawezi.
 
Kuna wachezaji wakubwa Kushinda Falcao, Di Maria, Ibrahimovic, Bastian na wengineo kipindi Chao? Wamekuja na wameshindwa, ilishajaribiwa kipindi Cha Fergie pia tukafeli, mtu mjinga Ni yule anarudia kitu kile kile muda wote na kinafeli.

Ole amesajili watu watatu tu na tumeona impact Yao, mpeni muda tumuone na yeye approach yake itakuwaje, hata Kama Ole hatafanikiwa na timu ikashika nafasi ya 8 atakuwa ameacha foundation nzuri ya Kocha anaekuja.

Ole ame address weakness nyingi za timu yetu Kama vile beki wa Kati na Fullback wa kulia, pia according to Dortmund Director man UTD wali approach kumnunua Sancho Ila waliambiwa deal haliwezi kamilika msimu huu
Na Sancho mwenyewe amekiri kuwapigia simu man UTD kuwa hayupo tayari kwenda timu kubwa msimu huu, means yupo interested kwa baadae kujiunga Man UTD. Hili pia linaonyesha Ole anaona weakness ya winga wa kulia na tayari analifix.

Imagine impact ya Bisaka/Maguire/James itokee Tena kwenye winga wa kulia, Midfield na striker kwenye madirisha yajayo ya usajili.
Ole sio right person kuwa kocha wa United.

Huwezi kusimama mbele za watu unaenda michuano mikubwa na Chong au Rashford.
 
Upo sahihi Tuanzebe na Brandon Williams watanyang'anya watu namba pale OT
Namba ya Lindelof ipo mashakani sana, hata mwenzake Shaw. Huyu Brandon ametulia kupita maelezo na anajiamini.

Rojo ni mchezaji mzuri,pengine ndio mchezaji pekee sijawahi kumtilia shaka pale MUFC. Kumbuka kipindi cha Mou kabla hajapata jeraha.
 
Mkuu tunakubaliana maeneo mengi sana, lakini je baadhi ya maamuzi ya Ole hayakupi mashaka?

Mfano imani aliyonayo kwa Rashford na Pogba (na kumng'ang'ania abaki wakati hataki kubaki) ni kubwa kuliko uwezo wa hao jamaa?

Angalia team selection yake, je Matic ni bora kuliko Fred, je Mata alikuwa ni wa kuongezwa miaka 2? n.k

Pia, angalia clear out aliyoifanya bila replacement, je yupo sahihi kwenye hilo?

Pia, kwanini ameondoka kwenye 4-3-3 iliyompa mafanikio msimu uliopita na kuja kwenye 4-2-3-1

Mwisho, bado nina imani na Ole, kwani ninaamini zile game zaidi ya 10 alizoshinda haikuwa jambo la kubahatisha lakini huoni kama ana hitaji kubadilika.

Watu wanasema wachezaji waliopo sio hadhi ya kucheza United, je hawana hadhi ya kuifunga Rochdale (ndani ya dakika 90)timu inayoshika nafasi ya 17 kwenye ligi iliyopo daraja la 3 uingereza?

Kuna wachezaji wakubwa Kushinda Falcao, Di Maria, Ibrahimovic, Bastian na wengineo kipindi Chao? Wamekuja na wameshindwa, ilishajaribiwa kipindi Cha Fergie pia tukafeli, mtu mjinga Ni yule anarudia kitu kile kile muda wote na kinafeli.

Ole amesajili watu watatu tu na tumeona impact Yao, mpeni muda tumuone na yeye approach yake itakuwaje, hata Kama Ole hatafanikiwa na timu ikashika nafasi ya 8 atakuwa ameacha foundation nzuri ya Kocha anaekuja.

Ole ame address weakness nyingi za timu yetu Kama vile beki wa Kati na Fullback wa kulia, pia according to Dortmund Director man UTD wali approach kumnunua Sancho Ila waliambiwa deal haliwezi kamilika msimu huu
Na Sancho mwenyewe amekiri kuwapigia simu man UTD kuwa hayupo tayari kwenda timu kubwa msimu huu, means yupo interested kwa baadae kujiunga Man UTD. Hili pia linaonyesha Ole anaona weakness ya winga wa kulia na tayari analifix.

Imagine impact ya Bisaka/Maguire/James itokee Tena kwenye winga wa kulia, Midfield na striker kwenye madirisha yajayo ya usajili.
 
Mkuu tunakubaliana maeneo mengi sana, lakini je baadhi ya maamuzi ya Ole hayakupi mashaka?

Mfano imani aliyonayo kwa Rashford na Pogba (na kumng'ang'ania abaki wakati hataki kubaki) ni kubwa kuliko uwezo wa hao jamaa?

Angalia team selection yake, je Matic ni bora kuliko Fred, je Mata alikuwa ni wa kuongezwa miaka 2? n.k

Pia, angalia clear out aliyoifanya bila replacement, je yupo sahihi kwenye hilo?

Pia, kwanini ameondoka kwenye 4-3-3 iliyompa mafanikio msimu uliopita na kuja kwenye 4-2-3-1

Mwisho, bado nina imani na Ole, kwani ninaamini zile game zaidi ya 10 alizoshinda haikuwa jambo la kubahatisha lakini huoni kama ana hitaji kubadilika.

Watu wanasema wachezaji waliopo sio hadhi ya kucheza United, je hawana hadhi ya kuifunga Rochdale (ndani ya dakika 90)timu inayoshika nafasi ya 17 kwenye ligi iliyopo daraja la 3 uingereza?
Wachezaji wakubwa muhimu sana kwenye timu. Kufeli kwa akina Falcao, Sanchez haina maana Man ianze kutegemea akina Rashford.

Last week nilikua naangalia game ya Juve na Athletico benchi kulikuwa na Ramsey, Rabiot, Dyabala. Manchester kwa pesa iliyonayo sio timu ya kusubiri ukuze wachezaji ndio upate mafanikio, mkiendelea na project hii miaka 20 itafika bila Epl.

Kwa kweli Man inahuzunisha sana. Hamna kinachojengwa na akina Rashford. Sijui Legends akina Rio wanavyowaangalia akina Lingard wanapata picha timu imefikia level gani.
 
Mkuu tunakubaliana maeneo mengi sana, lakini je baadhi ya maamuzi ya Ole hayakupi mashaka?

Mfano imani aliyonayo kwa Rashford na Pogba (na kumng'ang'ania abaki wakati hataki kubaki) ni kubwa kuliko uwezo wa hao jamaa?

Angalia team selection yake, je Matic ni bora kuliko Fred, je Mata alikuwa ni wa kuongezwa miaka 2? n.k

Pia, angalia clear out aliyoifanya bila replacement, je yupo sahihi kwenye hilo?

Pia, kwanini ameondoka kwenye 4-3-3 iliyompa mafanikio msimu uliopita na kuja kwenye 4-2-3-1

Mwisho, bado nina imani na Ole, kwani ninaamini zile game zaidi ya 10 alizoshinda haikuwa jambo la kubahatisha lakini huoni kama ana hitaji kubadilika.

Watu wanasema wachezaji waliopo sio hadhi ya kucheza United, je hawana hadhi ya kuifunga Rochdale (ndani ya dakika 90)timu inayoshika nafasi ya 17 kwenye ligi iliyopo daraja la 3 uingereza?
Usimlaumu ole kwenye replacement mkuu, ole alitaka wachezaji wengi Ila hajapewa, na Huyu jamaa pia Ni mkali Rashford anapewa muda akishindwa kudeliver na yeye pia namba ataikosa, usisahau msimu unaanza Ole alikuwa anaprefer martial Kama namba 9 kuliko Rashford.

Kuhusu pogba Mambo mengi Ni media tu zinazusha na ole amemfundisha pogba Toka alivyokuwa kocha wa reserve kipindi Cha Fergie, ile timu ya kina pogba ya watoto Ole Alikuwepo kikosi Cha u23. Na hata Kama Pogba anataka kuondoka Basi itakuwa Ni process tutafute kwanza replacement huwezi kumuachia tu pogba aondoke itakuwa Ni majanga.

4-3-3 mkuu tunacheza na midfield gani? Ili tucheze huo mfumo inabidi Fred arudi kwenye kiwango, kuondoka kwa Herrera kumetufanya tusiweze kucheza huo mfumo.

Kuhusu ole na Fred sioni tatizo, Fred alikwenda kuoa na hajashiriki pre season, means mwanzo wa msimu hakua fit, na Ole na Fred waliongea na amehakikishiwa kuwa yupo kwenye mipango yake, kinachofanyika Hapa Ni taratibu kumuingiza kwenye kikosi Cha kwanza, mwanzo alikuwa anacheza dakika 30 mpaka Jana amemaliza 90.

Watu wengi wanaangalia timu yetu kwa point tulizo nazo Ila team ime improve sana, Sasa Hivi mechi 1 tunatengeneza nafasi kibao tunashindwa tu kufunga, hivyo tuna tatizo la quality Ila mfumo upo vizuri, hivyo wachezaji wanatakiwa ku improve na usajili pia ufanyike.

Even Arsene Wenger mwenyewe anasema man United bado wachezaji Kama wa 4 icompete kwenye level zote.
 
Upo sahihi Tuanzebe na Brandon Williams watanyang'anya watu namba pale OT
Hivi club kama Madrid project yao ya kujenga timu mbona ipo clear sana. Wamenunua Hazard, Mendy, Jovic etc.

Huu ndio ujenzi wa timu kwa kipindi cha soka la sasa. Hii project hata ikifeli sio Sawa na kuwasubiri akina Rashford, Lingard, Chong wakomae. Bayern the same imesajili vya kutosha.

Man bado inatakiwa iingie sokoni isajili wachezaji wakubwa wenye uwezo wa kuhandle pressure za timu kubwa.

Mourihno alionyesha njia kwa kuwataka akina Perisic. Hawa akina Perreira, Mactomay sijui hata wanaanza vipi hapo OT.
 
Mi nasemaje aseno wamwage mboga liva waje kumwaga ugali na city waje kutia kiberiti kabisaaaaa ule uwanja....
Ole out......
Wenga anasema wanahitajika wachezaji wanne tu ili united iweze compete na timu nyingine
Ivi nyie dunia ya leo kwenye kikosi cha wachezaji 11 mnaona wachezaji wanne ni wachache sana.....
Enzi zile nakumbuka babu alisajili mchezaji mmoja tu carrick na tukabeba trebble ya epl na hii ndio inatakiwa kuzungumzwa leo....
Inshort safar bado ni ndefu na hii timu bado sana
 
Mkuu nimekupata, lakini dalili zinaonesha OGS hakuwa na mpango na Lukaku tangu alipopewa timu, je kwanini hakufanya mpango wa replacement mapema? Rashford anajulikana si striker (hata Southgate hamuhesabu kama striker, lakini OGS ana hesabu ana ma striker 3 akiwemo yeye)

Kuhusu Fred Mkuu huu ni mwezi wa pili tangu ligi ianze, ina maana bado hajawa na rhythm ya mechi (maana kwa kumbukumbu zangu hata hakukaa wiki zaidi ya 2 kwenye harusi yake).

Mkuu kuhusu Pogba kwanini hatutaki kukubali ukweli. Kwanini tunasingizia media? Pogba mwenyewe mara kadhaa ameongea au ameonesha kwenye social media kwamba anataka kuondoka United. Halafu tunamng'ang'ania Pogba wa nini wakati kuna wachezaji wengi tu ambao wanaweza kuleta kitu tofauti au zaidi na Pogba. Halafu, je hauoni kama OGS ni mnafiki flani, kwanini aseme anataka wachezaji wanaotaka kucheza United lakini amamng'ang'ania Pogba ambaye akili yake ipo mbali na United?

Kuhusu formation ya United ya sasa Mkuu hauoni aibu tukicheza na Westham tunakuwa na 2 defensive midfielders, tukicheza na Rochdale tunaweka 2 defensive midfielders, je tukicheza na City tunaweka defensive midfielders wangapi? Je kuondoka kwa Herrera bila replacement hauoni kama ni mapungufu mengine ya management na kocha pia? Kwani kuwa na replacement tungeweza kucheza hiyo formation ya 4-3-3?

Kuna wakati namuangalia OGS, naona kama kila anachoongea hakiamini. Alituambia madogo ni good enough lakini bado piga au anamuanzisha Matic, Mata akibadili sana ni Lingard. Je hao madogo wenyewe anaowaamini ni Tony, Rashy na Lingard, kwani hao ni madogo. Kama Jimy Garner hayupo tayari kwanini hakununua kiungo (taarifa za kumtaka Longstaff zinanichefua), kama Gomez hajawa tayari kwanini asingemangalia Madison na kama Mason hatoshi kwanini asingeangalia striker huko duniani au angebakiza Lukaku?

Huyu OGS kiukweli kwa mechi za awali (hata tulizopoteza points) kabla ya ile ya Westham niliona kuna progress kiuchezaji lakini mechi ya Westham imenipa mashaka sana kuhusu uwezo wake.

Pia akiwa anajua kuwa United anaweza kucheza mechi karibu 60 kwa msimu lakini kuamua kubaki na strikers 3 tu (kwa mtazamo wangu, tuna striker 1 ambaye ni Greenwood) hauoni kama kimaamuzi ni kocha wa kumtilia mashaka?

Kuna mambo mengi sana ambayo yamesababishwa na bodi lakini kuna mengine yanamuhusu OGS moja kwa moja hapa, na hawezi kukwepa lawama.

Usimlaumu ole kwenye replacement mkuu, ole alitaka wachezaji wengi Ila hajapewa, na Huyu jamaa pia Ni mkali Rashford anapewa muda akishindwa kudeliver na yeye pia namba ataikosa, usisahau msimu unaanza Ole alikuwa anaprefer martial Kama namba 9 kuliko Rashford.

Kuhusu pogba Mambo mengi Ni media tu zinazusha na ole amemfundisha pogba Toka alivyokuwa kocha wa reserve kipindi Cha Fergie, ile timu ya kina pogba ya watoto Ole Alikuwepo kikosi Cha u23. Na hata Kama Pogba anataka kuondoka Basi itakuwa Ni process tutafute kwanza replacement huwezi kumuachia tu pogba aondoke itakuwa Ni majanga.

4-3-3 mkuu tunacheza na midfield gani? Ili tucheze huo mfumo inabidi Fred arudi kwenye kiwango, kuondoka kwa Herrera kumetufanya tusiweze kucheza huo mfumo.

Kuhusu ole na Fred sioni tatizo, Fred alikwenda kuoa na hajashiriki pre season, means mwanzo wa msimu hakua fit, na Ole na Fred waliongea na amehakikishiwa kuwa yupo kwenye mipango yake, kinachofanyika Hapa Ni taratibu kumuingiza kwenye kikosi Cha kwanza, mwanzo alikuwa anacheza dakika 30 mpaka Jana amemaliza 90.

Watu wengi wanaangalia timu yetu kwa point tulizo nazo Ila team ime improve sana, Sasa Hivi mechi 1 tunatengeneza nafasi kibao tunashindwa tu kufunga, hivyo tuna tatizo la quality Ila mfumo upo vizuri, hivyo wachezaji wanatakiwa ku improve na usajili pia ufanyike.

Even Arsene Wenger mwenyewe anasema man United bado wachezaji Kama wa 4 icompete kwenye level zote.
 
Back
Top Bottom