Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hahahaha nimemsahau jina yule jamaa aliesema asipokua na mpira ana hatari balaa kuliko akiwa na mpira......anatuletea ushabiki wa kibongo humu
kwani huyu lingard hawezi kuchezeshwa namba 6?
watetezi wake wanasema jamaa ana muhimu sana pindi asipokuwa na mpira, kama ni hivyo achezeshwe namba sita ya uongo halafu isitoshe jamaa ana skills and pace ukimlinganisha na scott mctominay au perreira.
 
IMG_20190927_190247.jpg

Tupo pamoja kabisa wadau...!!
 
Mi nasemaje aseno wamwage mboga liva waje kumwaga ugali na city waje kutia kiberiti kabisaaaaa ule uwanja....
Ole out......
Wenga anasema wanahitajika wachezaji wanne tu ili united iweze compete na timu nyingine
Ivi nyie dunia ya leo kwenye kikosi cha wachezaji 11 mnaona wachezaji wanne ni wachache sana.....
Enzi zile nakumbuka babu alisajili mchezaji mmoja tu carrick na tukabeba trebble ya epl na hii ndio inatakiwa kuzungumzwa leo....
Inshort safar bado ni ndefu na hii timu bado sana
Hahaha na sisi arsenal hatumwagi ili mbaki na Ole hadi kifo kiwatenganishe.
 
Wakuu mbona tunalalamika sana.
Tuna timu nzuri aiseee, martial tutamkosa dhidi ya arsenal ...lingard yupo

Kati tuko vizuri, back line ndio usisemeee + ingizo jipya LA Axel tuanzebe...aisee OGS your the best ni swala la muda tu huyu jamaa ataonesha ubora wakes.

We are united
 
Wakuu mbona tunalalamika sana.
Tuna timu nzuri aiseee, martial tutamkosa dhidi ya arsenal ...lingard yupo

Kati tuko vizuri, back line ndio usisemeee + ingizo jipya LA Axel tuanzebe...aisee OGS your the best ni swala la muda tu huyu jamaa ataonesha ubora wakes.

We are united
Mkuu uko serious na aya maneno yako au unatk wenzako tu waongee
 
Makocha wote wa academy wanasema Rashy hajawahi kuwa striker, Jamaa ni winger ila OGS anamuamini Rashy kama striker
Bila kuwa wavumilivu kila siku mtapata maumivu na kuandika kila aina ya maneno yenye karaha na kuishia kumtaka kila aina ya mchezaji aliyepo timu nyingine mnayemuona anafaa

Lakini mnachosahau ni kwamba bado kila kitu kinaweza kikafanywa kama mnavyotaka na kusiwe na timu ambayo mnaifikiria vichwani mwenu

Kama ni kocha OGS anaweza akatolewa na bado kocha atakayefwata akapata shida vile vile kama ilivyokuwa kwa waliomtangulia

Kama ni wachezaji bado wanaweza wakanunuliwa hao wakina Bruno, Sancho, Rice, na wengineo ambao mnawadhania lakini wakaja na wakawa wa kawaida tena kama ilivyotokea kwa baadhi ya wachezaji

Huyu Rashford leo mnayemdharau ndo yule ambaye alijitambulisha kwetu kupitia Europa na kuona tumepata lulu kutoka kwenye academy the same na mnavyoanza kufanya sasa kwa Greenwood

Lakini wengine mnasahu kwamba hiki kipindi cha mpito kipo tu na kuna msimu utafika kitaisha na wala sio leo wala kesho

GGMU
 
Wakuu mbona tunalalamika sana.
Tuna timu nzuri aiseee, martial tutamkosa dhidi ya arsenal ...lingard yupo

Kati tuko vizuri, back line ndio usisemeee + ingizo jipya LA Axel tuanzebe...aisee OGS your the best ni swala la muda tu huyu jamaa ataonesha ubora wakes.

We are united
martial atabadilika na atakuwa hodari kama robert pires
rashford atabadilika na atakuwa hodari kama andy cole
lingard atabadilika na atakuwa hodari kama sylvain wiltord.

huu ni mwaka wa nne naendelea kuzisikia tabiri hizi za ovyo
 
Lakini wengine mnasahu kwamba hiki kipindi cha mpito kipo tu na kuna msimu utafika kitaisha na wala sio leo wala kesho
kipindi cha mpito?
klabu imekuwa ikifanya uwekezaji wa kijinga ndio maana tumeshuhudia matokeo mabaya kwa takribani miaka 8 tokea fergie mwenyewe yupo.

klabu itakapofanya uwekezaji mzuri ndani ya uwanja nakuhakikishia hicho kipindi cha mpito tunachojifichia nyakati hizi tunapofanya vibaya kitasahaulika kwa kutumia dirisha moja tu la usajili.
 
DOF kwa hali yoyote anahitajika
Bila kuwa wavumilivu kila siku mtapata maumivu na kuandika kila aina ya maneno yenye karaha na kuishia kumtaka kila aina ya mchezaji aliyepo timu nyingine mnayemuona anafaa

Lakini mnachosahau ni kwamba bado kila kitu kinaweza kikafanywa kama mnavyotaka na kusiwe na timu ambayo mnaifikiria vichwani mwenu

Kama ni kocha OGS anaweza akatolewa na bado kocha atakayefwata akapata shida vile vile kama ilivyokuwa kwa waliomtangulia

Kama ni wachezaji bado wanaweza wakanunuliwa hao wakina Bruno, Sancho, Rice, na wengineo ambao mnawadhania lakini wakaja na wakawa wa kawaida tena kama ilivyotokea kwa baadhi ya wachezaji

Huyu Rashford leo mnayemdharau ndo yule ambaye alijitambulisha kwetu kupitia Europa na kuona tumepata lulu kutoka kwenye academy the same na mnavyoanza kufanya sasa kwa Greenwood

Lakini wengine mnasahu kwamba hiki kipindi cha mpito kipo tu na kuna msimu utafika kitaisha na wala sio leo wala kesho

GGMU
 
Maajabu hayataisha duniani
Ina maana ole anataka kutuaminisha kwamba nimembadilisha position rashford na faida yake mmeionaa????
Makocha wote wa academy wanasema Rashy hajawahi kuwa striker, Jamaa ni winger ila OGS anamuamini Rashy kama striker
 
Hahahaha nimemsahau jina yule jamaa aliesema asipokua na mpira ana hatari balaa kuliko akiwa na mpira......anatuletea ushabiki wa kibongo humu

Aisee nyinyi Watu munazidi kunivunja Mbavu

Yani Mimi humu sicomment mpaka nione post inayohusu "Mchezaji kuwa Hatari Akiwa Hana Mpira Kuliko Akiwa Na Mpira" Hii inamanisha Wenzake wasimpe Pasi ndani ya dakika 90 ili azidi kuwa Mkali.
 
Aisee nyinyi Watu munazidi kunivunja Mbavu

Yani Mimi humu sicomment mpaka nione post inayohusu "Mchezaji kiwa Hatari Akiwa Hana Mpira Kuliko Akiwa Na Mpira" Hii inamanisha Wenzake wasimpe Pasi ndani ya dakika 90 ili azidi kuwa Mkali.
teh teh kama vipi bora asajiliwe usain bolt.
mfumo wa kutembea bila ya mpira utamfaa sana kwa sababu ana mbio
 
Back
Top Bottom