Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Tuna overlapping full back Dalot, je anatusaidia kiivyo?

Kuhusu Brandon nilianza kumfuatilia Baada ya OGS kumjumuisha kwenye kikosi kilichokwenda Paris (second leg dhidi ya PSG) msimu uliopita

Dogo ana overlap sana tu, haogopi, na yeye ni right footed left back. Amekuwa captain kwa kikosi cha U23 akiwa na miaka 18

Na huyu ndio dogo aliyefanya dogo O'Connor (new Oshea) mu Ireland mwenye miaka 19 anayecheza timu ya taifa kutimkia Celtic on permanent basis

Siwezi kutamba kwamba ninamjua sana, lakini so far ni mchezaji anayekuja vizuri.

Tahadhari. Sio madogo wote wanaokuja vizuri wanaishia kuwa wachezaji wazuri
sikubahatika kuangalia mechi ya juzi huyo brandon williams yupo vizuri?
uchezaji wake anamkaribia japo kidogo dani alves wa sevilla au patrice evra?
au ndio wale wale jamii ya luke shaw.
au ndio wale wale jamii ya wan bissaka anayesifiwa kwa tackling pekee?
ni mzuri kwa overlapping kama jordi alba?

we need an overlapping full-back
 
kwani huyu lingard hawezi kuchezeshwa namba 6?
watetezi wake wanasema jamaa ana muhimu sana pindi asipokuwa na mpira, kama ni hivyo achezeshwe namba sita ya uongo halafu isitoshe jamaa ana skills and pace ukimlinganisha na scott mctominay au perreira.

Mimi huwa ninapoziona hoja aina hii "MKALI ASIPOKUWA NA MPIRA" huwa ninacheka sana na kujiuliza washabiki tunawaza nini?
 
kwani huyu lingard hawezi kuchezeshwa namba 6?
watetezi wake wanasema jamaa ana muhimu sana pindi asipokuwa na mpira, kama ni hivyo achezeshwe namba sita ya uongo halafu isitoshe jamaa ana skills and pace ukimlinganisha na scott mctominay au perreira.
Akiweza kucheza 6 atakuwa kama Kante 😂😂😂
 
teh teh.
lingard ana skills halafu ana uwezo wa kutembea na mipira
fred ana skills na anaweza kutembea na mipira.
pogba hivyo hivyo.

nyuma tunalindwa na maguire
khofu ya nini?
utatu mtakatifu wa ukweli kuliko wa AC MILAN ya zamani.
Lingard kuwa nae kwenye timu ni sawa na kucheza pungufu tu

Hii timu imejifia kwa kweli zama zile had wakina diego forlan wanakosa namba wanasepa leo striker rashid mzee wa penat

Had muda huu yule dogo greenwood ana goli nyingi kuliko rashoord ktk huu mwez
 
Lingard kuwa nae kwenye timu ni sawa na kucheza pungufu tu

Hii timu imejifia kwa kweli zama zile had wakina diego forlan wanakosa namba wanasepa leo striker rashid mzee wa penat

Had muda huu yule dogo greenwood ana goli nyingi kuliko rashoord ktk huu mwez
Hahahahahahahahah
 
Lingard kuwa nae kwenye timu ni sawa na kucheza pungufu tu

Hii timu imejifia kwa kweli zama zile had wakina diego forlan wanakosa namba wanasepa leo striker rashid mzee wa penat

Had muda huu yule dogo greenwood ana goli nyingi kuliko rashoord ktk huu mwez
radika wewe tumeshakuzoea ni mshabiki wa kubadilika ovyo ovyo.
 
Back
Top Bottom