Kitu pekee nilikuwa nakiona na nimekithibitisha leo ni kwamba, tuna mafundi wengi wa penalty lakini huwa wanapewa wasiojua wawili.
perreira na mata kwa mipira iliokufa ni top top players, angalia hata kona leo, mipira inadunda katikati ya box, kugusa tu iingie nyavuni hakuna watu.
Hawa jamaa ni mafundi sana, hawa kina Pogba na Rashford huwa wanapiga tu kubahatisha. |
Siku hiz hata mcheze na gwambina ya pasta athanas hamtoi clean sheet7-1 uko
Kila la kheri Chelsea![]()
Siku hiz hata mcheze na gwambina ya pasta athanas hamtoi clean sheet
Kweli Ibilisi wekundu mmechoka,yaani Rochdale inawatoa jasho kiasi hiki? Hadi penalty timu ya division 2 huko,kazi mnayo na mjiandae kipsychologia mtanuna sana
nimecheck game ya jana nimeiona manchester moja nzuri saana ila miaka mi3 ijayo nyuma tupo vizur saana wan bissaka ni beki mzuri saana na marcus rojo naona amerudi kwenye kiwango inatakiwa kocha amuamini sasa. tuanzabe ni bonge la mchezaji kwanza ni mtulivu uwanjani hana papara na huyu dogo williams nae yupo vzr kwanza anaspeed..
yule dg mzuri saana afu miaka16 kapiga game yooteGoli la jana Marcus Rojo hakufanya coverage upande wa kushoto baada ya Brandon William kuachwa angefanya coverage dogo angeshindwa kupiga au angepiga ikawa kona.
By the way dogo alitupiga goli classic sana
nimecheck game ya jana nimeiona manchester moja nzuri saana ila miaka mi3 ijayo nyuma tupo vizur saana wan bissaka ni beki mzuri saana na marcus rojo naona amerudi kwenye kiwango inatakiwa kocha amuamini sasa. tuanzabe ni bonge la mchezaji kwanza ni mtulivu uwanjani hana papara na huyu dogo williams nae yupo vzr kwanza anaspeed..
perreira na mata kwa mipira iliokufa ni top top players, angalia hata kona leo, mipira inadunda katikati ya box, kugusa tu iingie nyavuni hakuna watu.