Anayesrma Pogba ni miongoni ya mchezaji Bora anyooshe kidole juu
7-1 uko
Kila la kheri Chelsea![]()
Yeye mwenyewe ajilewi jana Ozil kacheza na watoto mbona kacheza vizuriAnacheza na watoto mwishowe anaonekana nae mtoto
Hahahahahahaha yani tuna umia kweli kweli..Aisee manchesterinahenyeshwa na Rochdale tena OT. Aisee mimi si shabiki wa Man utd lakini naguswa na namna hii kwakweli!
Mbagala ya wapi tena huko?Yan man u kwishaaa dah. Timu ya mbagala inatutesa hivi

Nasisi tunapiga pasi za kuzunguka boksi kama barcelona.....haya ni zaidi ya mafanikio kwa Ole
Mipasi ya Fred imeenda shule kabisa, hakosei huyu mtu. |
Aisee manchesterinahenyeshwa na Rochdale tena OT. Aisee mimi si shabiki wa Man utd lakini naguswa na namna hii kwakweli!
Poleni sana, mwaka huu Man Utd, Chelsea hatuchekani kwa kuchechemeaEti tumewatoa kwa penalties, hali yetu mbaya sana. Hatuna mfungaji. Lukaku angebaki angevuta magoli mengi sana mwaka huu.


Hiv ni lini tumeenda HT tunaongoza kuacha ile tuliomuotea lampard

So muhamasishaji ni nani tena Bosi?
Unai ni mwalimu mzuri, mwalimu unaweza kumuona hata kama ana wachezaji wabovu vipi. Kama ulitazama game yetu na West ham unaweza kuona tofauti ya mwalimu na mhamasishaji.

Chong kalegea kweli yani hahaha hii timu ishajifia kama half time hatuna goli hata la offside tunafanya nini kwenye EPL shwain timu.
Masai tuachie timu yetu asee huna mpya kazi kuvaa suti tu kwa raha gani na litimu bovu bora avae track.![]()

