Belo
JF-Expert Member
- Jun 11, 2007
- 12,912
- 10,262
Giovani Lo Celso ni majeruhi aliumia akiwa na timu ya taifa Argentinapochettino anampenda dele alli kama ole na rashford.
kama dele ameflop kwa nini hampi nafsi Giovani Lo Celso?
makocha wa ulaya wanaongozwa na mapenzi ya kijinga baadhi ya nyakati.
muangalie sarri masigara huna la kumwambia juu ya gonzalo higuain, msimu huu ronaldo huyu mwenye miaka 34 anachezeshwa winga ili higuain acheze striker,
Delle Alli nae alikuwa majeruhi aliumia wakati wa pre-season,moja ya sababu kubwa ya Spurs ku-struggle ni kuumia kwa Alli na Poch alikuwa anamweka benchi Eriksen sababu mind haikuwa sawa baada ya Eriksen kutamka anataka kuondoka na hakupata timu ya kumsajili kibaya zaidi Lo Celso ambaye ni replacement ya Eriksen nae akaumia


. Huyu OGS sjui anawaza nini kwakweli. Kwa dharau hizi halafu anataka jamaa asign asign mkataba.