Hizi live streaming bhana ndo naona goli saivKipofu kauona mwezi

Hizi live streaming bhana ndo naona goli saiv![]()

inahenyeshwa na Rochdale tena OT. Aisee mimi si shabiki wa Man utd lakini naguswa na namna hii kwakweli!Hawa madogo wameridhika mzee si wapo chama kubwa wenzao wapo league 1 hii fursa wanaitumia ipasavyoAnglia awa watoto wanavyo forc lakini wachezaji wa Manchester wanacheza slow kama wamelazimushwa



Huu ndio unaitwa uzalendoHama tu sie tuachie tutashuka nalo daraja




Hahahahaha huu Si uungwana mkuhmarcus rashford
amecheza nusu msimu chini ya louis van gaal
amecheza misimu mitatu chini ya jose mourinho
anaelekea kucheza msimu mmoja chini ya ole gunnar solskjaer.
lakini bado tunaambiwa jamaa ni mtoto kwa sababu ya umri wake.