Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Apo Man united kikosi chenu ni cha kawaida sana ..huwezi mtegemea Rashid au Marshal au Lingard kuleta ushindani wowote kwenye ligi.. angalia watoto wa Chelsea wanaeza compete furesh kwenye Ligi kuliko iyo front yenu ya mbele..
 
Mkuu Kama nilivyokuambia post ya juu imethibitishwa na medical ya inter jamaa alikuwa 104KG sio Maneno ya Garry Neville Peke yake. Garry alipost 9 mwezi wa 8 na tarehe 17 ikathibitishwa na madktari wa inter, naweza kukutafutia source ukitaka.

Na mkuu Kama unaangalia mechi zetu kuanzia pre season mpaka hizi tatu tulizoanza huo mfumo wa 4-3-3 tumeshauacha tupo 4-2-3-1 ambayo midfield 2 anacheza pogba na MCtominay na no 10 Ni lingard James kulia rash kushoto na martial 9 lakini hao wa mbele hawakai kwenye nafasi zao muda wote wanakuwa na movement. Lukaku hawezi cheza mfumo huu.

Ngoja nikupe stats chache mkuu za hizi mechi 3.
1. Mechi 3 penalty 3 tayari kipindi Cha nyuma tunakaa mechi Hadi 18 hatujapata penalty.

2. Tumenyimwa penalty kibao japo hizo penalty tatu tumepewa.

3. Wachezaji wetu Hadi wanapewa kadi kwa kudive (japo hawajadive) hii inatokana na mishe mishe za pale mbele na chenga nyingi.

4. Martial ana average ya Drible 3 Ni Zaha na Pepe Peke Yao waliompita ligi nzima.

5. Tunasababisha faulo nyingi Sana mpaka za red card na Kama sio uzembe wa referee wapinzani wetu wengi walitakiwa wawe na red Sasa Hivi sababu ya movement zetu pale mbele.

Mambo Kama haya mkuu hayawezi yakatokea ukiwa na striker anayesimama kusubiri mipira maana anakuwa predictable, na huu ndio mfumo ole anao utengeneza, japo quality ya wachezaji wetu sio kubwa Ila mfumo upo sahihi,
 
Lkn Luiz akija Arsenal ana namba ya kudumu. Hapo tungewapa Christensen au Ludiger? Achilia mbali Joginho, Kovacic, Kante na Pulisic au Emerson
 
Aha kuandika ujinga wewe ..sisi tuna garassa gani sasa? Iyo arsenal yenye Luiz na Matteo unaona ni timu sasa? Wewe level zako ni Burnley na Norwich ..yani ata Wolves anakukimbiza mbali sana ..hii Arsenal sio timu ni kikundi cha wauni tu waliokosa muolekeo wakajieka sehemu moja ...unaona hata Unai anashindwa kupanga kikosi...
 
Mm naamin Chelsea kwa kikosi chenu mtamaliza nafas ya 10
Wewe endelea kuleta imani zako za kuunga kuunga ..unaona juzi ulitabiri ushindi mnono wa 1-3 ..lakini matokeo tunayo sisi fans
ivyo wewe endelea kutoa viutabiri vyako vyeny mihemko..
 
Apo Man united kikosi chenu ni cha kawaida sana ..huwezi mtegemea Rashid au Marshal au Lingard kuleta ushindani wowote kwenye ligi.. angalia watoto wa Chelsea wanaeza compete furesh kwenye Ligi kuliko iyo front yenu ya mbele..
Hiv kumfunga Norwich tena sio kumfunga labda Cap , ni 3-2 tayari una aamin attacking ya willian/pulisic Abraham na Pedro?upo serious kweli?

Nafas ya 10 ni haki yenu
 
Chelsea level zenu ni championship ,muda utaongea ,

Unai kashapata presha tumemfata tweeter kaipata fresh , atapanga vzr sasa

Wewe mwenye Abraham jirud na willian hata kwa Everton mwenye Iwobi Kean Richardson humfikii ,ndio ujifananishe na kina auba laca pepe ?acha masihara Ollachuga ,

Norwich kapanda daraja unatoka naye 3-2 ,sasa kina Everton, wolves , Leicester sindio watakuua, hapo top 6, hubebi hata point 1
 
Lkn Luiz akija Arsenal ana namba ya kudumu. Hapo tungewapa Christensen au Ludiger? Achilia mbali Joginho, Kovacic, Kante na Pulisic au Emerson
Hahaha hawa wanajifanya hawajui wakati skrepa kwetu ni Lulu kwao
 
Wewe endelea kuleta imani zako za kuunga kuunga ..unaona juzi ulitabiri ushindi mnono wa 1-3 ..lakini matokeo tunayo sisi fans
ivyo wewe endelea kutoa viutabiri vyako vyeny mihemko..
Toka preseason nimekuwa nikiwaambia mtamaliza nafas ya 10.,

Niliwaambia mtapata point kwa waliopanda daraja tu tena Norwich na shefflied ,Bas, hawa kina wolves ,Leicester ,Everton, Burney, palace , astonvilla , ni droo au kipigo au bahat mbaya muwaangukie ,

Kwa top 6 utagawa point 4-6 kwa kila mmoja home & away.

Nikahitimisha kwa mwendo huu mtamaliza nafas ya 10 .
 
Ikiwa tutaendelea na hawa wachezaji ambao niliambiwa kuwa wametoka academy ya Manutd na kwamba "wanawika ulaya" huku wakiongozwa na OGS basi tutaendelea kupambana kuitafuta nafasi ya nne tu.
 
Mourinho hajakosea, nna uhakika hata wachezaji walioko academy ya city wana nafasi kubwa kuchukua ubingwa kuliko MUFC. huu ndio ukweli ambao wengi hawataki kuukubali.
 
Lkn Luiz akija Arsenal ana namba ya kudumu. Hapo tungewapa Christensen au Ludiger? Achilia mbali Joginho, Kovacic, Kante na Pulisic au Emerson
Nilishakueleza Luiz ni beki mzuri , ndio maana kila siku mnalalamika , na amekuja kama short term ,maana tunamvizia Dayot upemacano wa RB Leipzig, juzi kacheza vzr aerial dual ,kuanzisha mashambulizi, Midfield ya vijana aliyoweka emery ndio iliwapa wakati mgumu back line,

Lakin ukweli mnaujua mna beki mbovu ndio maana mnamlilia luiz kila siku , kwa mech alizocheza atatusaidia tena sana ,
 
Sijaona tunapotofautiana sababu hata ulichoandika wewe ni hichohicho Lukaku alifeli sababu mfumo anaomfaa ni tofauti na anaoucheza OGS

Issue ya uzito wa Lukaku imekuwa viral baada ya GNeville kuongea na source toka Italy ilisema Lukaku hatacheza game ya kwanza but I think you know Conte ni kocha wa aina gani,Lukaku angekuwa overweight asingethubutu kucheza timu ya Conte

I know OGS amebadili mfumo toka 4-3-3 kuja 4-2-3-1 ambao kwa maoni yangu huu wa sasa unatupa shida sana kwenye kutengeneza nafasi na game 2 zilizopita Pogba anakuwa liabilty kwenye timu,Its too early but OGS bora arudi kwenye 4-3-3 kuongeza stablity kwenye midfield na (Game against Wolves tulikuwa na 2 shots on target ,game against Palace tulikuwa na 3 shots on target) ukilinganisha na jinsi foward yetu ilivyo butu 5 shots on target ni ndogo sana kwenye mechi 2 tena against opponent hao.Lets wait after at least 7-8 games tutajua if 4-2-3-1 is better for us
 
Degea >kepa
Lindelof>Christensen/Rudiger
Maguire> Zouma/Rudiger
Shaw < Emerson/Alonso
Bissaka< Cezar
Scot Joginho/kante
Pogba> Kovacic
Lingard <Mount/pulisic
Rashford<Pedro
Martial<Geroud
Greenwood> Tammy Abraham

Kimsingi hizi timu hazitofautiani sana ila Chelsea kwa ubora wa mchezaji mmoja mmoja wanaweza kuwa juu ya.united kwa mbali tu.
 
Team yetu Shida ni kwamba kuna baadh ya vitu kocha wetu wa sasa anakosa na sion leo kesho kubadilika ...timu haina plan b au hata hyo A yenywe bado haiboreshwi na pia kocha anajaribu kutuaminisha vitu ambvyo sidhan kama ni sawa mfano kutuaminisha lingard ni bora kuliko mata na kutuaminisha matic hana nafas mbele ya mc tomy ukiachilia mbali hvo pia kocha anakosa saut mbele ya wachezaj na kocha anashndwa kuendesha timu kama kocha..Mfano kropp na pep wote ni makocha wawaz na hawaogop kufanya maamuz me naamin united ili turud kwny ubora inahitaj kocha anaejua DNA ya united kama ole ila awe bora kimbinu kuliko ole nafikili hilo litakuwa jambo sahih ila kutegemea lingard afungue timu iliyopak basi kama watford au newcastle sidhan kama kunatumaini huko mbele.....
 
Mwisho wa yote atakuja kocha atakayeona hata hao kina Rashford ni kimeo.
 
Wachambuzi wameiweka Chelsea kumaliza ndani ya top four kwa vigezo na Arsenal kumaliza nje ya top four
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…