Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Wakati tatizo lipo kwa wamiliki na mwajiri wao Ed.
Na Ed atafanya hivyo ili abaki msafi.

Mimi sioni Ole akitoboa kabisa kwa hii timu.

Labda tusubiri kuona Fred anarudi katika hali gani,bado timu ni kisanga.

Tuko vizuri nyuma tu,na ikitokea AWB anapata majeruhi tunarudi kuleee.
 
Umeongea vema sana. Mou alipo mbrand huyo kijana kama "kirusi" hakuropoka tu bali ashaona vingi toka kwa huyo mtoto asiyekua!
 
Hivi unajua Chelsea sasa hivi wachezaji wake ni level za championship?

Na msipokaza mtamaliza nafas ya 15? Mkikaza mnaweza kumaliza nafas ya 10
Hahaha ngoja uone mziki tutakao washa this weekend ..natamani ingekuwa tunakutana na nyie lile pazia pale golini na beki ndo uyo Luiz yani mungeoga na mvua za magoli..

Mpaka ifike desemba nina uhakika mutakuwa rank moja na wolves au Everton..


Kila la kheri Chelsea
 
Umekosea kuweka neno "yeyote"... rekebisha
Apo sawa lakini ukweli ni kwamba Chelsea tuna vijana ambao wanaingia moja kwa moja tena bila kupingwa kwenye first XI ya Ole ...

Mcheki Mount, ata Rashid anapigwa bench apa jpo yeye ana uzoefu na ligi.

Mcheki Kova apo ata Pogba anaeza pigwa benchi.

Mcheki Tammy ..Marshal apa anaeza kaa bench

Kwa upande Beki muko vizuri ..ila Magwaya anakalishwa vizuri tu na Zouma


Apo kati ndo usiseme Joghihno, Kante nani wa kuwaweka benchi apo Man u? Jibu ni hatuna..

Kepa anaeza mkompiti vizuri tu De gea na soon anachukua kipa namba moja Uspain..

Kila la kheri Chelsea
 
Hivi unajua Chelsea sasa hivi wachezaji wake ni level za championship?

Na msipokaza mtamaliza nafas ya 15? Mkikaza mnaweza kumaliza nafas ya 10
Hahaha wewe juzi unapanga kikosi cha kitoto unapigwa tatu na Liverpool ..sisi tulipanga hao unaowaita championship players na wakakipiga fresh Dakika 120 supercup alafu unajiona una kikosi cha maana.

Hii Arsenal haitusumbui akili kabisa ..hata musajili vip bado mutaendelea kusugua kweny ligi tu. Tena muna bahati sisi hatujasajili maana Pepe angeshatua Darajani..

Kila la kheri Chelsea
 
Hawazidi wa'4 hao wengine ni level ya DANIEL JAMES wetu.
Yaani Chelsea kupigwa 4-0 na hao akina Rashid we hukuona mtakavyoteseka season hii? ...
Huyo Kepa anafukuzana na kipa wa West ham kuruhusu magoli... labda awe kipa namba moja wa Spain ya London.
Zouma anamueka benchi P.JONES kule nje kwenye benchi kusogeza matako foleni ya sub.
 
CARABAO CUP FIXTURE

  • Wolves v Reading
  • Oxford United v West Ham
  • Watford v Swansea City
  • Brighton v Aston Villa
  • Sheffield United v Sunderland
  • Colchester United v Tottenham
  • Portsmouth v Southampton
  • Burton v Bournemouth
  • Preston v Manchester City
  • MK Dons v Liverpool
  • Manchester United v Rochdale
  • Luton v Leicester
  • Chelsea v Grimsby/Macclesfield
  • Sheffield Wednesday v Everton
  • Arsenal v Nottingham Forest
  • Crawley Town v Stoke City
 
Bado najiuliza kwanini Uingereza wamekimbilia kufunga dirisha la Usajili mapema hivi.

Sababu ni zipi labda?
Klabu zilipiga kura zikataka dirisha litafungwa kabla ligi haijaanza
 
Yani mkuu Rashford na martial sio namba 9 halisi kuliko Sanchez?

Japo Sanchez ndio alikuwa mzuri na kiwango kikubwa Ila sio namba 9, anachezeshwa tu hio namba Ila sio natural position yake. Siku zote kuanzia udinese, Barcelona Hadi arsenal alikuwa anatokea pembeni.

Na sisi tulikuwa tunataka ole atoe deadwoods kamtoa Lukaku, Sanchez, Sasa Hivi hata Jones na Smalling benchi tu hawakai, kwenye picking order Tuanzebe yupo juu Yao, si ndo Ole anafanya kazi yake?

Hizi mechi 2 za wolves na palace zisitufanye tupanick, mechi zote tumecheza vizuri zaidi ya wapinzani na Ni bahati mbaya tumepoteza point kwa kukosa penalty kila mechi, pamoja na maamuzi mabovu ya marefa.

Timu yetu ipo muelekeo mzuri na kutokea Hapa Sasa tutaanza kusajili kwa ku improve timu na sio kubadili wachezaji kama miaka iliopita.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…