Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 23,294
- 36,316
Ibilisi wekundu soon mtarudi kwenye maisha yenu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni lini ole alisema penalti zinapigwa na rashford?
Navyojua mpigaji penalti wa man u ni pogba na katika interview ya mechi ya chelsea rash alisema wapiga penalti wana rotate ili kuepusha timu pinzani kukariri mpiga penalti mmoja na ndio maana akapewa ile penalti ya chelsea.
Sometimes tupunguze ushabiki jamani.
.Sasa mkuu Wolves mimi nitapiga nje ndani ..uhakika wa kubeba kama sio point sita basi ni nne ..kama uyo umemshindwa ukikutana na Leicester ci mutapata tabu sana. Japo Muna timu nzuri ya kuweza kuifunga Liverpool au hata Man city goli nyingi tu achilia mali uhakika wa kumfunga arsenal ..lakini naona Ole anakwama ..yani bado hajui fist XI yake ni ipi. Na hii itampa tabu sana..
Kila la kheri Chelsea
Hapana mkono ukizidi hauhesabiwi kwenye offside position unless mchezaji awe ameshusha mwili wake kwenye angle of inclination hiyo inakuwa offside.Labda mimi ndio nikisaidie
Kiungo chochote cha mwili kikizidi na mchezaji akafunga goli, hiyo itahesabiwa kuwa ni off side position
Labda hiyo ya kiungo kinaweza kufunga ni sheria mpya ya offside ambayo imeanza kutumika msimu huu
Ushabiki mwingi na sheria hawazijuiSheria ya 11 katika sheria za Mpira inasema hivi: "A player is in an offside position if any of their body parts, except the hands and arms, are in the opponents' half of the pitch, and closer to the opponents' goal line than both the ball and the second-last opponent (the last opponent is usually, but not necessarily, the goalkeeper)".
Hiyo ni sheria ya miaka mingi tokea ilipoanza kutumika sheria ya offside na si ya msimu huu.
Mkono hauwezi kuwa offside kwasababu hauchezi mpira wala haufungi kwani ukigusa tu ni Handball.
Ibilisi wekundu soon mtarudi kwenye maisha yenu
Hao wote wawili hawana pace kama ya Lingard ikiwemo kasi piaThe problem ni hao wachezaji ambao anagombania nao namba (Mata,Perreira,) ni wabovu pia,ni ngumu sana Lingard kumuweka benchi mchezaji kama Eriksen,Bernado Silva
Lingard akipata mpira katikati ya uwanja utakuta chap ushafika kwenye box la mpinzani hiyo ni advantage sana especially kwenye timing kabla timu pinzani haijarudiThe problem ni hao wachezaji ambao anagombania nao namba (Mata,Perreira,) ni wabovu pia,ni ngumu sana Lingard kumuweka benchi mchezaji kama Eriksen,Bernado Silva
Kwamba kuna siku underdog anashinda.View attachment 1185900
Kuna jambo unajifunza
sawa akikufunga ndo utajua "sleeping jayanti is ameamuka"
Did Jesse Lingard score or assist a PL goal?Hao wote wawili hawana pace kama ya Lingard ikiwemo kasi pia
Mason Mount ni mgeni EPL lakini uwezo wake ni mara 100 ya lingard.
Watoto wa LAMPARD wao wamempiga nani..? Au unafikiri hawafahamu kama Ligi imeanza.?Mtatafuta mchawi nyinyi,kuwapiga watoto wa lampard mkaona mshamaliza.
Game mbili zijazo mnarudi kwenye nafasi yenu mliyoandikiwa #6
Sawa ibilisi fanNaona jana umeenda sumbawanga kwa mganga umelala uchi bado unateseka tu
Ulisikia wapi tembo akikonda anafanana na paka?
Pamoja na kufanya vibaya kamwe makombe 20 hayawez kwenda timu yako pambana na hali yako mkuu
Watu wanafikiriaga VAR ni roboti
Hao wote wawili hawana pace kama ya Lingard ikiwemo kasi pia
Pace Ni pale unapotangulia kumtungua wolvesNaomba tofauti Kati ya pace na kasi mkuu
HahahhahahahahhahaPace Ni pale unapotangulia kumtungua wolves
Na Kasi Ni pale wolves anapokupiga kibinda nkoi