Inawezekana uko Sawa tumeangalia mechi tofauti but to make fair assessment inabidi kuweka emotion pembeni
Jana United walikuwa na 2 shots on target Ile ya Shaw haikuwa shot on target sababu alikuwa offside na refa alishapuliza filimbi
Angalia attachment za statistics za mechi ya Jana na ya msimu uliopita,kitu ambacho jana tuliwazidi ukilinganisha na msimu uliopita ni "possession" na defence kuwa imara but sio kutengeneza nafasi
Kutengeneza nafasi maana yake ni nafasi za kufunga magoli jana hatuku-create big chance sana ukilinganisha na msimu uliopita
One of reason ku-totengeneza nafasi ni kuchezesha 2 midfielder so Pogba akawa anacheza kama DM while McTominay sio creative, game against Chelsea Pogba alikuwa free alicheza mbele ya McTominay na Perreira na ndio ali-create chance nyingi
Baada ya kuona hizi mechi 2 United ime-improve sana kwenye defence (Game zote Maquire & Bissaka ) ndio wachezaji waliocheza vizuri kwenye defence but matatizo ni yale yale katikati na ushambuliaji
View attachment 1185893View attachment 1185894