Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Sawa mkuu ni kweli muna timu nzuri tu cjui Ole anakwamia wap sasa. Pangeni kikosi cha maana mumfumue Liverpool, Man city ..Arsenal najua ni uhakika lazima mushinde ...

Come one United..

Kila la kheri Chelsea
We naye acha kupoteza nguvu zako bure. Huyu amfumue City? Au Mbeya City ndo unayoiongelea... kwasbb amekufumua ww basi wadhani kila mtu atafumuliwa...
 
Sasa mkuu Wolves mimi nitapiga nje ndani ..uhakika wa kubeba kama sio point sita basi ni nne ..kama uyo umemshindwa ukikutana na Leicester ci mutapata tabu sana. Japo Muna timu nzuri ya kuweza kuifunga Liverpool au hata Man city goli nyingi tu achilia mali uhakika wa kumfunga arsenal ..lakini naona Ole anakwama ..yani bado hajui fist XI yake ni ipi. Na hii itampa tabu sana..

Kila la kheri Chelsea
Huyo Leicester ashukuru VAR, bila hivyo angepigwa na Wolves nyumbani kwake
 
Una mapenzi mabaya mkuu yaani lingard aungie kwenye hao miamba?
Kwakweli. Hili halihitaji hata juzuu kuliona. Lingard kuna muda ni kama headless chicken. Huwezi mfananisha na Fletcher ama Park kabisa. Mbali na mbio, nothing to offer.
 
Ni sheria ya offside mda mrefu tu.
Sasa kama Unataka kujifunza jifunze ,ila kama unaleta ushabiki ambao hautaki kujifunza Sawa pia.

Ila hapa tuko kujifunza
Umesoma comments zangu za chini, au unataka kuanzisha ligi tu

Mimi ni moja ya watu ambao nipo tayari kujifunza mzee
 
We naye acha kupoteza nguvu zako bure. Huyu amfumue City? Au Mbeya City ndo unayoiongelea... kwasbb amekufumua ww basi wadhani kila mtu atafumuliwa...
Man U mkuu usiwa andareti kiivyo wanaeza mkazia tu City akachezea kichapo ..hii man u ikitulia fresh wanaeza beba ata EPL mkuu..

Kila la kheri Chelsea
 
Man U mkuu usiwa andareti kiivyo wanaeza mkazia tu City akachezea kichapo ..hii man u ikitulia fresh wanaeza beba ata EPL mkuu..

Kila la kheri Chelsea
Mzee baba, kukututusa wewe 4 bila kumekuchanganya kabisa naona. Labda City abanwe na VAR la sivyo hamna hapa timu ya kuizuia City.
 
Inawezekana uko Sawa tumeangalia mechi tofauti but to make fair assessment inabidi kuweka emotion pembeni

Jana United walikuwa na 2 shots on target Ile ya Shaw haikuwa shot on target sababu alikuwa offside na refa alishapuliza filimbi


Hivi kutengeneza nafasi ni sawa na shots on target. Mnaweza mkatengeneza nafasi hata 10 lakini zote zikawa shots off target. Kimsingi tumetengeneza nafasi nyingi jana

Pili una uhakika jana United alipiga shots on target 2? Kwa haraka haraka kuna goli la Martial, Penati ya Pogba, shuti la Shaw..... Zipo 3 jumla. Nikienda Google nadhani kuna mifano mingi.

Unauliza kuhusu improvement kati mwaka jana na mechi ya jana. Kwanza kumiliki tu tuna position kubwa kuliko mwaka jana, mwaka jana tumepigwa kwa kuzidiwa, mwaka huu tume draw kwa kuwazidi sana tu

Kama hujaona improvement nadhani mechi uliyokuwa unaangalia wewe na mimi ni tofauti
Angalia attachment za statistics za mechi ya Jana na ya msimu uliopita,kitu ambacho jana tuliwazidi ukilinganisha na msimu uliopita ni "possession" na defence kuwa imara but sio kutengeneza nafasi

Kutengeneza nafasi maana yake ni nafasi za kufunga magoli jana hatuku-create big chance sana ukilinganisha na msimu uliopita


One of reason ku-totengeneza nafasi ni kuchezesha 2 midfielder so Pogba akawa anacheza kama DM while McTominay sio creative, game against Chelsea Pogba alikuwa free alicheza mbele ya McTominay na Perreira na ndio ali-create chance nyingi

Baada ya kuona hizi mechi 2 United ime-improve sana kwenye defence (Game zote Maquire & Bissaka ) ndio wachezaji waliocheza vizuri kwenye defence but matatizo ni yale yale katikati na ushambuliaji
Screenshot_2019-08-20-11-48-45-613_com.mobilefootie.wc2010.jpeg
Screenshot_2019-08-20-11-47-52-026_com.mobilefootie.wc2010.jpeg
 

Attachments

  • Screenshot_2019-08-20-11-48-45-613_com.mobilefootie.wc2010.jpeg
    Screenshot_2019-08-20-11-48-45-613_com.mobilefootie.wc2010.jpeg
    45.3 KB · Views: 19
Inawezekana uko Sawa tumeangalia mechi tofauti but to make fair assessment inabidi kuweka emotion pembeni

Jana United walikuwa na 2 shots on target Ile ya Shaw haikuwa shot on target sababu alikuwa offside na refa alishapuliza filimbi


Angalia attachment za statistics za mechi ya Jana na ya msimu uliopita,kitu ambacho jana tuliwazidi ukilinganisha na msimu uliopita ni "possession" na defence kuwa imara but sio kutengeneza nafasi

Kutengeneza nafasi maana yake ni nafasi za kufunga magoli jana hatuku-create big chance sana ukilinganisha na msimu uliopita


One of reason ku-totengeneza nafasi ni kuchezesha 2 midfielder so Pogba akawa anacheza kama DM while McTominay sio creative, game against Chelsea Pogba alikuwa free alicheza mbele ya McTominay na Perreira na ndio ali-create chance nyingi

Baada ya kuona hizi mechi 2 United ime-improve sana kwenye defence (Game zote Maquire & Bissaka ) ndio wachezaji waliocheza vizuri kwenye defence but matatizo ni yale yale katikati na ushambuliajiView attachment 1185893View attachment 1185894
Kwa hiyo stats muhimu kuliko zote, ya goli 1-1 ambayo imetupa point hujaiona umeona stats nyingine ambazo ni meaningless
 
Inawezekana uko Sawa tumeangalia mechi tofauti but to make fair assessment inabidi kuweka emotion pembeni

Jana United walikuwa na 2 shots on target Ile ya Shaw haikuwa shot on target sababu alikuwa offside na refa alishapuliza filimbi


Angalia attachment za statistics za mechi ya Jana na ya msimu uliopita,kitu ambacho jana tuliwazidi ukilinganisha na msimu uliopita ni "possession" na defence kuwa imara but sio kutengeneza nafasi

Kutengeneza nafasi maana yake ni nafasi za kufunga magoli jana hatuku-create big chance sana ukilinganisha na msimu uliopita


One of reason ku-totengeneza nafasi ni kuchezesha 2 midfielder so Pogba akawa anacheza kama DM while McTominay sio creative, game against Chelsea Pogba alikuwa free alicheza mbele ya McTominay na Perreira na ndio ali-create chance nyingi

Baada ya kuona hizi mechi 2 United ime-improve sana kwenye defence (Game zote Maquire & Bissaka ) ndio wachezaji waliocheza vizuri kwenye defence but matatizo ni yale yale katikati na ushambuliajiView attachment 1185893View attachment 1185894
Halafu mimi original comment yangu ambayo wewe unaipinga nimesema tume create chances nyingi, naona wewe umekuja na kigezo cha "the big created chances". Tume create nafasi 6 je hizo sio nafasi nyingi.

Halafu angalia pia kwa upande wa Wolves msimu uliopita Wali create nafasi ngapi na jana Wali create ngapi. Je hiyo si improvement? Au ulinzi ukiimarika sio improvement?

Nadhani tumeangalia mechi tofauti
 
Inawezekana uko Sawa tumeangalia mechi tofauti but to make fair assessment inabidi kuweka emotion pembeni

Jana United walikuwa na 2 shots on target Ile ya Shaw haikuwa shot on target sababu alikuwa offside na refa alishapuliza filimbi


Angalia attachment za statistics za mechi ya Jana na ya msimu uliopita,kitu ambacho jana tuliwazidi ukilinganisha na msimu uliopita ni "possession" na defence kuwa imara but sio kutengeneza nafasi

Kutengeneza nafasi maana yake ni nafasi za kufunga magoli jana hatuku-create big chance sana ukilinganisha na msimu uliopita


One of reason ku-totengeneza nafasi ni kuchezesha 2 midfielder so Pogba akawa anacheza kama DM while McTominay sio creative, game against Chelsea Pogba alikuwa free alicheza mbele ya McTominay na Perreira na ndio ali-create chance nyingi

Baada ya kuona hizi mechi 2 United ime-improve sana kwenye defence (Game zote Maquire & Bissaka ) ndio wachezaji waliocheza vizuri kwenye defence but matatizo ni yale yale katikati na ushambuliajiView attachment 1185893View attachment 1185894
Pia ulisema hatuja improve, halafu kwenye maelezo umekubali tume improve possession wise
 
Kwa hiyo stats muhimu kuliko zote, ya goli 1-1 ambayo imetupa point hujaiona umeona stats nyingine ambazo ni meaningless
Naongelea kutengeneza nafasi nyingi as you said on your first post,United haiku-tengeneza nafasi nyingi mechi jana ukilinganisha na msimu uliopita na tulikuwa na only 2 shots on target,
Last season tulicreate 14 chance jana 6 chance so 6>14 and big chance 1 (penat)>4 kwa namba hizo tume-improve ??

And how umebadilika now hata possesion unaiita meaningless while kwenye hiyo post ulikuwa unasifia possesion
 
Mashabiki acha kulalamika. Man U iliyocheza jana ndo niliyokuwa nataka huoni hata ollachuga OC first half alikuwa anachungulia yaani Kazi kazi, wolves shots on target chache sana walipata bahati maana ule mpira ungekuwa usawa wa kuingia bila kugonga mwamba De gea angefanya yake.


Inshu ya pogba kumbuka penati haina ubabe!


Kwangu mimi niliona timu iko poaa kazi kazi dk 90. Ila huyu Shaw Bana angetuliza na kufumua ili tupate usingizi vizuri.


I was happy na mchomoko wa David James, Kazi kazi Wan Bissaka. Chuma Lindelof na Maguire safi sana yaani hawaingii kupitia katikati bali pembeni ila mara nyingi upande wa wan Bissaka mpinzani hafui dafu.


Hata kama tumedroo i am happy maana nilichoka kuona magarasa ya young, smallling, Jones yanaleta mpira golini bila sababu.


Kuhusu martial naona dogo anabadilika taratibu goli safi. Kukosa nafasi duh mpira unadunda.


All in all! Mpira uko poah tukiendeleza soka hilo hilo daily huku forward ikisahihisha makosa Guardiola na Klopp watakuwa na presha.



GGMu
Na droo ya 1-1 ndiyo iliyomfungulia kifungo au ban Ollachuga ,ilikuwa ajitokeze wiki ijayo
 
Tuweni makini na tunachoangalia! VAR haiamui chochote kwenye mpira bali ni TV tu ambayo Referees ana hiari yake kukubali au kukataa alichokipreview kwenye VAR.

Kwahiyo hali iko palepale kuwa Referee ndiye mwamuzi wa mwisho, VAR sio mwamuzi bali inaonesha kilichotokea tu.
Watu wanafikiriaga VAR ni roboti
 
Possession ni meaningless stats kama hujapata matokeo na huo ndio mtazamo wangu maana hata chengesha bwege ina possession

Lakini possession na ukipata points au walau point 1 (hapa najaribu ku compare na mwaka jana walioitufubga na ku dominate) ni jambo la kujivunia

Lakini wewe unapokuja kusema hatuja improve wakati defensively tume improve, offensively, possession wise tume improve ninashangaa

Nitauliza tu swali la kizushi, tuna mechi ya marudio na Wolves, ukiambiwa uchague mechi mojawapo ijirudie kati mechi ya jana na zile za mwaka jana pale Moulineux utachagua ipi
 
Back
Top Bottom