Bonny
JF-Expert Member
- Feb 21, 2013
- 13,370
- 29,990
2007 form 2???Dah kumbe ww dogo kabisa ,aisee 2007 upo drs la 5? Wakati mm 2007 nipo form 2 ,nisalimie bas
2007 form 2???Dah kumbe ww dogo kabisa ,aisee 2007 upo drs la 5? Wakati mm 2007 nipo form 2 ,nisalimie bas
2007 form 2???
Mzee inaonekana matokeo ya jana yamekutesa sanaUzuri haka kawimbo huwa kapo kila msimu..
WATU WAANZA NA MUNKARI TUNAVYOZIDI KWENDA UKINGONI, wanaanza Ole sio kochä.
Nawaambia hivi, ikifika decemba kuelekea mwakani MTAMKUMBUKA hata Lukaku...
Hawa jamaa lazima tuende kwao kwa taadhari sanaNext is wolves, ambao naona walitupa kazi mwaka jana
Chelsea hii na wolves ,si bora wolves wana beki nzuri ,kiungo kizuri ,forward ya kueleweka, huon ndio kipimo kizuri kutest timu yako maeneo kama mshambuliaji ,kiungo ,na hata back lineNdio maana niliacha kuingia huku. Yaani Wolves ndio kipimo cha timu kama Man Utd?! SMH
Dah kumbe ww dogo kabisa ,aisee 2007 upo drs la 5? Wakati mm 2007 nipo form 2 ,nisalimie bas
Du kumbe mdogo mkuu
hongereni kwa kuwafunga wanawake wenzeni kama mna ubavu njooni mjipime kwa wananchi THE CITIZENS
Hiyo timu uliyoanza kuishabikia jana usiku muda mfupi baada ya kuacha ziwa la mama ina makombe manne (4) ya EPL, uwe na adabu! Hao unaowaita wanawake wenzetu wanayo matano pamoja na moja la UCL ambalo kwako wewe ni ndoto. Uwe na nidhamu, sisi ni baba zako! | |
Ollachugga alkua anakuja kutusumbua kule jukwaa la liva namtafta sana huyu kiumbe yeye na beira boy
Unapopika Bajia jitahidi uzikoleze pilipili manga uchanganye na unga wa Mdalasini kidogo.
Pia zile huku unakunywa Chai ya Tangawizi.
Acha basi ngoja tumfuate 😅😅😅Hatimae Ollachuga Oc nimemuona kajichimbia kwenye Jukwaa la Mapishi.
hata yako ilianza na 1 mpka umefika hapa ilipo man u haina tofauti na pamba Fc
Hiyo timu uliyoanza kuishabikia jana usiku muda mfupi baada ya kuacha ziwa la mama ina makombe manne (4) ya EPL, uwe na adabu!
Hao unaowaita wanawake wenzetu wanayo matano pamoja na moja la UCL ambalo kwako wewe ni ndoto.
Uwe na nidhamu, sisi ni baba zako!
Dah kumbe ww dogo kabisa ,aisee 2007 upo drs la 5? Wakati mm 2007 nipo form 2 ,nisalimie bas


Sema tupo kwenye hali ya kujivua gamba kama nyoka ili tukamate makombe mengine vizuri asituchukulie poa
Hiyo timu uliyoanza kuishabikia jana usiku muda mfupi baada ya kuacha ziwa la mama ina makombe manne (4) ya EPL, uwe na adabu!
Hao unaowaita wanawake wenzetu wanayo matano pamoja na moja la UCL ambalo kwako wewe ni ndoto.
Uwe na nidhamu, sisi ni baba zako!
Hatimae Ollachuga Oc nimemuona kajichimbia kwenye Jukwaa la Mapishi.
Ollachuga na mapishi wapi na wapi jamani?😂😂 | |
Kuwa na adabu na huyo mmeo mpya... ndoa itakushindahongereni kwa kuwafunga wanawake wenzeni kama mna ubavu njooni mjipime kwa wananchi THE CITIZENS
Ollachuga na mapishi wapi na wapi jamani?😂😂


Dah kumbe ww dogo kabisa ,aisee 2007 upo drs la 5? Wakati mm 2007 nipo form 2 ,nisalimie bas