Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 29,020
- 51,540
Mnyama huyu namuelewa sana.
Aaron Wan-bissaka
View attachment 1179075
Aaron Wan-bissaka
View attachment 1179075
ikitokezea marcus rashford amechoka au kupata majeruhi nafasi yake anabeba nani?Sidhan kama umeangalia mechi. Toka maandalizi yaanze kocha alishasema kuwa greenwood hataongoza mshambulizi. Ndio maana anaanzia kutoka nje. Pale mbele akina rushford na martial ndio wataendelea kupiga mzigo.
Man u si wajinga wambebeshe majukumu greewood. Mtoto wa miaka 17.. hatoweza kabisa.
Hapana, ni kwamba nawashangaa watu wa manu kuamini kuwa sasa enzi za fergie zimerudi kwa kumfunga chelsea jana..
ikitokezea marcus rashford amechoka au kupata majeruhi nafasi yake anabeba nani?
unataka kuniambia tammy abraham ndiye mshambuliaji mkuu wa chelsea na yule dogo mount ndiye playmaker wa chelsea?
kama tammy abraham ndiye mshambuliaji mkuu wa chelsea basi wagombanie nafasi ya nane.
Dogo yupo vizuri mbona?ikitokezea marcus rashford amechoka au kupata majeruhi nafasi yake anabeba nani?
unataka kuniambia tammy abraham ndiye mshambuliaji mkuu wa chelsea na yule dogo mount ndiye playmaker wa chelsea?
kama tammy abraham ndiye mshambuliaji mkuu wa chelsea basi wagombanie nafasi ya nane.
Hata mechi na L.City walikuwa na counter attacks za hatari sana.Hawa jamaa lazima tuende kwao kwa taadhari sana
Ile style yao ya counter attack inatesa sana vigogo
Sanchezikitokezea marcus rashford amechoka au kupata majeruhi nafasi yake anabeba nani?
unataka kuniambia tammy abraham ndiye mshambuliaji mkuu wa chelsea na yule dogo mount ndiye playmaker wa chelsea?
kama tammy abraham ndiye mshambuliaji mkuu wa chelsea basi wagombanie nafasi ya nane.
Tunaamini timu ime improve kuliko mwaka janaHapana, ni kwamba nawashangaa watu wa manu kuamini kuwa sasa enzi za fergie zimerudi kwa kumfunga chelsea jana..
Mkuu naona upo upande wa MSIMAMO, jaribu kuwa flexible kwa kuangalia uhalisiakiupande fulani bado tupo ovyo kwenye umiliki wa mpira na hili si tatizo la mchezaji mmoja mmoja bali nusu ya kundi la wachezaji wanaounda timu yetu, hata ukiangalia safu yetu ya ushambuliaji bado wana ugonjwa ule ule wa kushindwa kufanya maamuzi ya haraka pindi tunaposhambulia (si ajabu kumkuta martial au rashford anapiga chenga eneo analopaswa kutoa pasi).
jana tulicheza na timu ambayo haikuwa na uwezo wa kufika kwenye eneo letu la hatari mara kwa mara ndio maana defence yetu ilionekana kuwa vizuri lakini kuna siku tutakutana na timu zinazomiliki mpira na kufika kwenye eneo la adui kwa speed kubwa ndipo tutakapofahamu zaidi uwezo wetu kama umeimarika au kinyume chake (si mbaya tumerekebisha defences ila tumeshindwa kuimprove eneo la midfields)
karma is bitch.kilichomkuta jana tammy abraham na mason mount kuna siku kitamkuta greenwood na crew yake, ndio maana nitaendelea kusimamia msimamo wangu ule ule wa kupinga kuwabebesha majukumu makubwa sana chipukizi kwenye kundi la wachezaji vilaza.
GGMU
Tammy Abraham amewapandisha daraja Aston Villa kwa magoli yakeikitokezea marcus rashford amechoka au kupata majeruhi nafasi yake anabeba nani?
unataka kuniambia tammy abraham ndiye mshambuliaji mkuu wa chelsea na yule dogo mount ndiye playmaker wa chelsea?
kama tammy abraham ndiye mshambuliaji mkuu wa chelsea basi wagombanie nafasi ya nane.
On paper tu,timu imeiprove na pale nyuma kwa kweli mabeki wapo comfortable sana, sikumbuki ni lini tumecheza vile miaka ya hivi karibuni..Nakubaliana na wewe kuwa bado middle pale tutastruggle na hasa tukikutana na timu nzuri kwenye hiyo idara..Mkuu naona upo upande wa MSIMAMO, jaribu kuwa flexible kwa kuangalia uhalisia
Sijui kwanini leo ghafla Chelsea imeonekana ni kipimo kinachotudanganya
Hivi ni kweli Chelsea ni wabovu kiasi hicho
Tulishinda mechi zote za Australia, watu wa kasema is just preseason, tukashinda dhidi ya Inter kisha Spurs ikaonekana is just pre season. Jana tumempiga Chelsea inaonekana ni timu dhaifu
City kashinda preason haijaonekana kama is just pre season, kampiga Westham haijaonekana kwamba ile ni timu dhaifu. Liverpool kampiga mpanda daraja imeonekana ni kwa sababu ya ubora wa Liverpool na si kwa sababu ya udhaifu wa Norwich City
Nadhani tatizo lililopo ni kwamba hatujaridhika na mwenendo wa timu yetu ikiwemo na usajili wake, na tumeonesha kuwa hatujaridhika. Sasa matokeo yakitu prove wrong, tunabaki kuwa na MSIMAMO ili MSIMAMO wetu wa mwanzo uonekane ulikuwa sahihi
Ni ukweli usiopingika kuwa kwenye midfield tuna mapungufu, Pogba asipocheza hali itakuwa mbaya zaidi. Lakini ni ukweli mchungu kwa baadhi yetu kuwa United wame improve ukilinganisha na last season
Timu inaanzia kujengwa kuanzia nyuma, kwa sasa nyuma kuna uimara zaidi. Ukiondoa kwa Luke Shaw, sioni shida eneo lingine upande wa nyuma
Ukweli mwingine ni kwamba, mwaka huu ni ngumu kupambana na City na Liverpool kwenye vikombe, lakini waliobaki tunaweza kupambana nao vizuri tu
Uzuri wa Maquire hana pace sana lakini anajua kuji positionHata mechi na L.City walikuwa na counter attacks za hatari sana.
Maguire hana mbio kwa hiyo nategemea ataelekezwa kuachana na utaratibu wa kupanda.
Hawa walitutoa FA Cup wakati ndio lilikuwa tegemeo msimu uliopita.
Hizi mbwembwe zote kisa mechi ya Jana. Man u bhana ongeeni machache huu ni mwanzo@:ChelseaBila kificho.. ROJO, SMALLING AU JONES mmoja wao angecheza jana pale nyuma kungekuwa na Boko nyingi sana.
LINDELOF + MAGUIRE + BISSAKA tumepata watu aisee... chondechonde majeruhi yawapite kushoto.
Pale kwenye Midfield bado hapako sawa hasa ukabaji, vijana wetu wanapitika kirahisi sana na wanazidiwa hata ubavu.. SCOT anajitahidi ila aongeze ukatili kidogo.
United hatujawahi kuwa kimya angalia reply za toka ligi iishe alfu kashindanishe hata na za uzi wa liverpool utagundua hatujawahi kukaa kimya..Hongereni wakuu kwa kunifunga. Naona uzi huu umekuwa na uhai toka jana.
Hizi mbwembwe zote kisa mechi ya Jana. Man u bhana ongeeni machache huu ni mwanzo@:Chelsea
Leta comment yako hiyo kabla ya mechiUnanifananisha ,aisee Mimi nilisema mapema Leo man u anashinda 3+ ,na nikawaambia wapiga zumari wa Chelsea wajiandae kisaikolojia ,maana hakuna asiyekijua kikosi cha Chelsea msimu huu, hata cha Everton au Watford ni vizuri .