Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kikosi chetu kipo underrated lakini hii Manure kushinda leo wajipange sana.

Man united 1-3 Chelsea
fanya kama unajikuna hivi
FB_IMG_1565200359814.jpeg
 
Mkuu saa tatu kamili nitakuwa hapa kupokea pongezi za ushindi na kutoa pole nyingi sana kwa wafiwa..

Kwanza nitangulize kutoa pole mapema maana mgonjwa ndo anapelekwa ICU na uwezekano kupona ni mdogo sana. Ivyo tunatarajia ifikapo saa mbili kamili uyu mgonjwa atakuwa hayupo tena duniani.

Poleni sana kwa wafiwa!!!
Ajabu ni kwamba haukuonekana saa tatu kamili na hata sasa umepotea kabisa.
😂😂😂
 
Mkuu saa tatu kamili nitakuwa hapa kupokea pongezi za ushindi na kutoa pole nyingi sana kwa wafiwa..

Kwanza nitangulize kutoa pole mapema maana mgonjwa ndo anapelekwa ICU na uwezekano kupona ni mdogo sana. Ivyo tunatarajia ifikapo saa mbili kamili uyu mgonjwa atakuwa hayupo tena duniani.

Poleni sana kwa wafiwa!!!
.....
FB_IMG_1565200648353.jpeg
 
Naona tofauti kubwa sana pale kwenye back four, Maquire +Wan Bissaka wameongeza kitu kikubwa sana

Kwenye Mid field lazima OGS afanye kitu, vinginevyo msimu utakuwa mgumu kwetu

Kuna mtu wa Chelsea humu alikuwa anasema matokeo ya leo ni Man Utd 1 na Chelsea 3,nimemuelewa 1+3=4
kiupande fulani bado tupo ovyo kwenye umiliki wa mpira na hili si tatizo la mchezaji mmoja mmoja bali nusu ya kundi la wachezaji wanaounda timu yetu, hata ukiangalia safu yetu ya ushambuliaji bado wana ugonjwa ule ule wa kushindwa kufanya maamuzi ya haraka pindi tunaposhambulia (si ajabu kumkuta martial au rashford anapiga chenga eneo analopaswa kutoa pasi).
jana tulicheza na timu ambayo haikuwa na uwezo wa kufika kwenye eneo letu la hatari mara kwa mara ndio maana defence yetu ilionekana kuwa vizuri lakini kuna siku tutakutana na timu zinazomiliki mpira na kufika kwenye eneo la adui kwa speed kubwa ndipo tutakapofahamu zaidi uwezo wetu kama umeimarika au kinyume chake (si mbaya tumerekebisha defences ila tumeshindwa kuimprove eneo la midfields)

karma is bitch.
kilichomkuta jana tammy abraham na mason mount kuna siku kitamkuta greenwood na crew yake, ndio maana nitaendelea kusimamia msimamo wangu ule ule wa kupinga kuwabebesha majukumu makubwa sana chipukizi kwenye kundi la wachezaji vilaza.

GGMU
 
Sidhan kama umeangalia mechi. Toka maandalizi yaanze kocha alishasema kuwa greenwood hataongoza mshambulizi. Ndio maana anaanzia kutoka nje. Pale mbele akina rushford na martial ndio wataendelea kupiga mzigo.

Man u si wajinga wambebeshe majukumu greewood. Mtoto wa miaka 17.. hatoweza kabisa.


kiupande fulani bado tupo ovyo kwenye umiliki wa mpira na hili si tatizo la mchezaji mmoja mmoja bali nusu ya kundi la wachezaji wanaounda timu yetu, hata ukiangalia safu yetu ya ushambuliaji bado wana ugonjwa ule ule wa kushindwa kufanya maamuzi ya haraka pindi tunaposhambulia (si ajabu kumkuta martial au rashford anapiga chenga eneo analopaswa kutoa pasi).
jana tulicheza na timu ambayo haikuwa na uwezo wa kufika kwenye eneo letu la hatari mara kwa mara ndio maana defence yetu ilionekana kuwa vizuri lakini kuna siku tutakutana na timu zinazomiliki mpira na kufika kwenye eneo la adui kwa speed kubwa ndipo tutakapofahamu zaidi uwezo wetu kama umeimarika au kinyume chake (si mbaya tumerekebisha defences ila tumeshindwa kuimprove eneo la midfields)

karma is bitch.
kilichomkuta jana tammy abraham na mason mount kuna siku kitamkuta greenwood na crew yake, ndio maana nitaendelea kusimamia msimamo wangu ule ule wa kupinga kuwabebesha majukumu makubwa sana chipukizi kwenye kundi la wachezaji vilaza.

GGMU
 
Back
Top Bottom