Asante, walau kuna mtu ameelewa what i am talking about, wacha Glazer na woodward waendelee na huu upuuzi, hawa wahumu nao watakuja kuelewa what am talking about.mkuu nimeielewa hoja yako unayoisimamia ila sielewi kwa nini hao wengine wameshindwa kuielewa hoja yako.
umejaribu kuizungumzia man city hii ilioasisiwa miaka 10 iliopita na sheikh mansouri na si ile ilioasisiwa takribani miaka 100 iliopita.
man city hii iliosisiwa miaka 10 hata mimi nakubaliana na wewe ya kwamba wamewekeza miundo mbinu bora sana kwenye sekta ya kusaka vipaji na kwa hali inavyokwenda ndani ya miaka 10 ijayo upo uwezekano wa ndugu hawa wawili kuwa level moja au kaka mkubwa kuzidiwa kwa uzalishaji wa wachezaji kutoka shule wanazozisimamia.
jadon sancho = dortmund
brahim diaz = real madrid
phil phoden = mrithi wa david silva
denis suarez = amerudi barcelona kutoka arsenal
iheanacho kelechi = leicester city
We can laugh about City, but in reality we are jelous of them kwa sababu wana mtu ambae ame invest heavily in football sisi tuna mtu ambae haweki investment but is ripping from our club.
Sasa ivi Fans tunaishia kuzungumzia historia, mambo ambayo yalikuwa yanafanywa na fans wa liverpool.
Najaribu kuwaelewesha kuwa shida ya City ni kwamba makinda hawana game time ndio maana Academy ya United inaonekana inazalisha sana, mfano, solkjear kajipanga na watoto wa academy kibao kuwachezesha, wakati city wanao vijana wa academy lakini hawana time ya kuwapa uwanjani. City wanataka wachezaji waliokwisha iva saiv, they are on the road to build an empire, na guardiola akiendelea kukaa pale, tutashuhudia dream yao ikifanikiwa.
Nakushukuru kuwatajia wachezaji waliotoka City Academy.....
They will realize soon, and i hope it will not be too late!
Watu wanafikiri labda tunataka kuona club ikichukua ubingwa tu, no, tunataka kuona ushindani, kuiona timu ina fight for title hata wakikosa, unajua kuwa dah vijana wamepiga kazi hawa ku give up.
Mtu anakwambia Pogba karudi MUFC kwa mapenzi yake.... 😀 Halafu anatoa statement kuwa anataka challenge somewhere else!!!
Wenye mapenzi na MUFC walibaki hata baada ya matusi ya Babu Fergie....