Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hakuna usajiri umewahi kufanyika na kutosheleza mahitaji ya mashabiki....hata enzi za SAF bado hakuweza kutosheleza mahitaji yetu lakini kwa kikosi alichokuanacho tulipambania ubingwa...hapa tunachopaswa kuangalia sasa ni ole kawaandaa vipi wachezaji kupambana
 
Hii picha ilikosewa miaka ya mikataba ila umri ipo sahihi, tuangalie watakavyocheza msimu huu ila naamini tupo kwenye njia sahihi, winga wa kulia na midfield ya maana January ikiwezekana.
Mkuu unanifurahisha{ga} the way ambavyo unajipa hope kwa kuwaza positive always

Yaani tusibiri Hadi January kwa Jambo ambalo ilikuwa Ni muhimu na lazima kulifanya wakati huu?

Yaani tuje kuziba viraka January wakati tushapigwa gape la point 11 na wapinzani wetu?

Anyway tuendelee kuipenda badge ndipo Moyo wetu ulichochagua kukipenda, lakini tukubali ukweli kwamba huyu Deadwood anatunyanyasa sana.
 
Bro tutaiwaza January tukiwa kwenye nafasi ipi? Tatizo ndipo linapoanza hapo... Msimu uliopita Ole alianza vizuri tokea alipochukua mikoba ila kumbuka kilichofuata baada ya game ya PSG.... So labda awe so cautious kutofanya rotations zisizo na msingi na kustick na watu anaoona wanafit na wana consistence nzuri... La sivyo tutakuwa tena chama la wana na kuendelea kustruggle kwa wolves.
ni kweli mkuu tulikata mafuta upesi, ila ni suala la kifitness zaidi ambalo kocha alidai atalifanyia kazi kwenye hii pre season, ngoja tuone,
 
Wakuu wengi Sana tunamkosoa Ed peke yake juu ya kukosa usajili wa midfielder 1 na striker mbadala wa lukaku....

ila uhalisia ninaoona mimi Ole amechangia kwa hili suala.... issue inakuja solskjaer anaamini sana katika tabia ya kutumia makinda na kuwapa nafasi na kuwa na kikosi kidogo anachoweza kukimanage..... Katika press kadhaa alizungumzia hawa madogo na ameonesha anatamani Sana kuwatumia kwenye first team swali linalokuja hapa je wataderiver?, Nikweli wanatalent ila je wataweza kuishi na pressure ya kusemwa na media pindi wanapocheza chini ya kiwango?....

Greenwood, Angel gomez, Chong na Garner wote wananafasi msimu huu... hapo Greenwood na Gomez wakiwa wamepewa namba ndogo mgongoni ambazo huwa zinatumiwa na wachezaji wale key 23 wa timu..... Kitu kisichopingika kabisa Licha ya talent kubwa waliyonayo Greenwood, Gomez, chong hawana nguvu za kuweza kusema wataweza pambana kuwin baadhi ya mipira...kidogo Garner yupo vizuri ila sio kihivo.......

Msimu huu unaweza kuwa na matokeo mawili tu....either tufanye vizuri sana or tufanye vibaya sana... maana wachezaji wanaweza kuderiver vizuri au wakaharibu kabisa na mbinu ya solskjaer inaweza leta positive impact au ndo inaweza fanya kocha mwingine ake aanze upya hii project inayowapendelea #classof2019.....
 
Mkuu unanifurahisha{ga} the way ambavyo unajipa hope kwa kuwaza positive always

Yaani tusibiri Hadi January kwa Jambo ambalo ilikuwa Ni muhimu na lazima kulifanya wakati huu?

Yaani tuje kuziba viraka January wakati tushapigwa gape la point 11 na wapinzani wetu?

Anyway tuendelee kuipenda badge ndipo Moyo ulichachagua kukipenda, lakini tukubali ukweli kwamba huyu Deadwood anatunyanyasa sana.
inabidi uwe positive mkuu, we fikiria tu angel gomes ni mzuri kushinda Eriksen na Bruno, na kina dalot watafuata nyayo za bale.
 
Wakuu wengi Sana tunamkosoa Ed peke yake juu ya kukosa usajili wa midfielder 1 na striker mbadala wa lukaku....

ila uhalisia ninaoona mimi Ole amechangia kwa hili suala.... issue inakuja solskjaer anaamini sana katika tabia ya kutumia makinda na kuwapa nafasi na kuwa na kikosi kidogo anachoweza kukimanage..... Katika press kadhaa alizungumzia hawa madogo na ameonesha anatamani Sana kuwatumia kwenye first team swali linalokuja hapa je wataderiver?, Nikweli wanatalent ila je wataweza kuishi na pressure ya kusemwa na media pindi wanapocheza chini ya kiwango?....

Greenwood, Angel gomez, Chong na Garner wote wananafasi msimu huu... hapo Greenwood na Gomez wakiwa wamepewa namba ndogo mgongoni ambazo huwa zinatumiwa na wachezaji wale key 23 wa timu..... Kitu kisichopingika kabisa Licha ya talent kubwa waliyonayo Greenwood, Gomez, chong hawana nguvu za kuweza kusema wataweza pambana kuwin baadhi ya mipira...kidogo Garner yupo vizuri ila sio kihivo.......

Msimu huu unaweza kuwa na matokeo mawili tu....either tufanye vizuri sana or tufanye vibaya sana... maana wachezaji wanaweza kuderiver vizuri au wakaharibu kabisa na mbinu ya solskjaer inaweza leta positive impact au ndo inaweza fanya kocha mwingine ake aanze upya hii project inayowapendelea #classof2019.....
mkuu cooper ameongea wish ya OLE ni kama ya mashabiki, alitaka midfielder creative na winger wa kulia kabla ya dirisha la usajili, ila woodward ndio amefeli kudeliver,

imagine mkuu, toka asajiliwe AWB mwezi wa 6 hadi wa 8 woodward hata pre season hajaenda kwa kisingizio yupo busy na transfers, then tumenunua mchezaji mmoja tu baada ya hapo tena kwa 80m ile ile aliotajiwa mwezi wa 6 kashindwa kupunguza hata senti.

hao watoto watapata nafasi bila hata kucheza league, kumbuka tuna FA cup, EFL na Europa
 
Wakuu wengi Sana tunamkosoa Ed peke yake juu ya kukosa usajili wa midfielder 1 na striker mbadala wa lukaku....

ila uhalisia ninaoona mimi Ole amechangia kwa hili suala.... issue inakuja solskjaer anaamini sana katika tabia ya kutumia makinda na kuwapa nafasi na kuwa na kikosi kidogo anachoweza kukimanage..... Katika press kadhaa alizungumzia hawa madogo na ameonesha anatamani Sana kuwatumia kwenye first team swali linalokuja hapa je wataderiver?, Nikweli wanatalent ila je wataweza kuishi na pressure ya kusemwa na media pindi wanapocheza chini ya kiwango?....

Greenwood, Angel gomez, Chong na Garner wote wananafasi msimu huu... hapo Greenwood na Gomez wakiwa wamepewa namba ndogo mgongoni ambazo huwa zinatumiwa na wachezaji wale key 23 wa timu..... Kitu kisichopingika kabisa Licha ya talent kubwa waliyonayo Greenwood, Gomez, chong hawana nguvu za kuweza kusema wataweza pambana kuwin baadhi ya mipira...kidogo Garner yupo vizuri ila sio kihivo.......

Msimu huu unaweza kuwa na matokeo mawili tu....either tufanye vizuri sana or tufanye vibaya sana... maana wachezaji wanaweza kuderiver vizuri au wakaharibu kabisa na mbinu ya solskjaer inaweza leta positive impact au ndo inaweza fanya kocha mwingine ake aanze upya hii project inayowapendelea #classof2019.....
Pre season imempa jeuri, subiri vipigo vianze ndio ataacha kucheka cheka wakati anafukuzwa.

Hebu itazame midfield ya mzee Pep ilivyoshona. Tunamtesa Pogba wa watu tu.
 
Hii man u hata mimi naona Timu zote kubwa za london zinajiokotea points tu. Labda akikaza sana ushindi wake utakuwa droo
 
Pre season imempa jeuri, subiri vipigo vianze ndio ataacha kucheka cheka wakati anafukuzwa.

Hebu itazame midfield ya mzee Pep ilivyoshona. Tunamtesa Pogba wa watu tu.
Ndio maana mimi nasema pogba ni mjinga, hii timu kama upo serious na kiwango chako kama mchezaji hautakiwa kuingia. Dybala na erikseni tungekuja kuwaharibu zaidi ya walivyo sasa. BOLINGO AMENIUMA SANA
 
Ndio maana mimi nasema pogba ni mjinga, hii timu kama upo serious na kiwango chako kama mchezaji hautakiwa kuingia. Dybala na erikseni tungekuja kuwaharibu zaidi ya walivyo sasa. BOLINGO AMENIUMA SANA
Bolingo alizidi uzito,aliongezeka uzito sana. Binafsi nitafurahi sana kama Martial akirudishiwa No.9 yake na akacheza kati.

Pia hata Sanchez anaweza kucheza hapo. Mtu nisiyemuamini hapo ni Rashford, ana utoto mwingi sana na Ole amemjaza ujinga, anavimba hata akiwa na kipa.

Balaa lipo hapo kwenye viungo. Fred bado hajaonyesha kama anafaa kutegemewa, Matic ndio huyo anakaba kwa macho. Hapo ninao uhakika sana na Scott.
 
Naona washabiki wa Manchester united tumegeuka kuwa watabiri
Maneno kama,
*kwa kikosi chetu hatuendi popote
*kocha hatafika january
*hatutashinda kombe kwa kumtengemea rashford
*tutafungwa hadi na watford
*tutamkumbuka mourinho
*tutaishia kugombania top four
Yamesikika sana.


Kwangu hali ni tofauti, ninaamini katika teamwork na nimejipanga kuwashuhudia vijana wetu wakisakata kabumbu kwa moyo wao wote, ninaipenda timu yangu
GGMU
 
Aman iwe nanyi

Endapo kesho kutwa man united akikubali kupokea kichapo cha haja mbele ya wababe wa Stanford basi ajiandae kushuka daraja

Hakuna asiyejua kuwa Chelsea ndo team yenye hali mbaya zaid ulimwengun kwa sasa, ndo team ambayo imeuza mchezaji tegemeo na imezuiwa kusajili

Ndo team ambayo imeamua tu liwalo liwe baada ya kocha wake kutimukia juventus na kumuita kocha ambaye hana uzoef kabisa Frank lampard

Ndo team ambayo imeita madogo ambao walikuwa wanakipiga huko ndondo kama akina mason mont na akina tamy Abraham na akina batshway ambao hata hawajulikan walikuwa wanacheza wapi

Ndo team ambayo wachezaji wake wote ni majeruh kama akina rudiger, wiliam,odoi,ngolo kante na cheek

Endapo man united aki suluhu au kufungwa bas ajiandae kushuka daraja

LONDON BOY
No bilashaka wewe utakuwa ni shabiki wa sarsenal
 
Back
Top Bottom