Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mkuu kweli unaipenda Man United lakini kuwa Mkweli Mchezaji wa Man United aliyekuwa anacheza panga pangua katika World Cu ya 1996 ni Mmoja tu Sir Bobby Charlton.

Kwa ujumla Katika Top 6 hii ya sasa waliokuwa First XI ni:-

1) Bobby Charlton (Man United)
2) Roger Hunt (Liverpool)
3) Jimy Greaves (Spurs)
4) George Eastham (Arsenal)
Chelsea na Man City hazikuwa na mchezaji aliyekuwa akicheza hata sabs.

Na hizo 4 nilizozitaja zilikuwa na mchezaji mmoja tu kila timu ambaye alikuwa akipata namba, Waliobakia wote wanatoka Midtable teams ambazo kwa wakati huo zilikuwa Timu kubwa.
We jamaa mbishi asee
 
Xavi's first Asian Champions League game as a manager didn't go to plan - he lost his shoe kicking a water bottle after his team Al-Sadd were denied a late penalty against Al-Duhail!
FB_IMG_1565175161056.jpeg
 
Sky Sports: Manchester Utd turn down season-long loan offer from Everton for Chris Smalling. Good decision from United, can’t let him go before Rojo or Jones. At least Smalling generally stays fit and does have amazing performances in big games every now and then. Maguire, Lindelof, Tuanzebe and Smalling are good CB options. Rojo and Jones need to be binned first!
 
Sky Sports: Manchester Utd turn down season-long loan offer from Everton for Chris Smalling. Good decision from United, can’t let him go before Rojo or Jones. At least Smalling generally stays fit and does have amazing performances in big games every now and then. Maguire, Lindelof, Tuanzebe and Smalling are good CB options. Rojo and Jones need to be binned first!
Kwani Everton hawajamuona Phil Jones na Marcos Rojo
 
Yaani kuna watu wanamlinganisha Eriksen na Bruno ?
Yawezekana kweli Bruno ni talented ila kumlinganisha na Eriksen ni tusi kubwa sana kwa Eriksen.

Huyo eriksen ameshaprove hundred times pale epl kuwa ni mnyama hachoki, hafuji, hakosei ndiye aliyevaa viatu vya Luka Modric na Van de Vart pale Tottenham wote kwa pamoja.
Kama Sanchez alivyoprove pale EPL.

Unadhani kuwika timu moja EPL ni guarantee ya kuwika timu nyingine kwenye hiyohiyo ligi??
 
Back
Top Bottom