mozila firefox
JF-Expert Member
- Dec 9, 2018
- 898
- 1,764
Kuwa talented na umri mdogo sio sababu ya kufanya vizur ligi mpya, Ole yupo makin hatak kufanya makosa ya watanguliz wake, Mou katuletea Fred kwa pound 52, what happen?Yes..hata mimi nitamchagua bruno cuz hes talented na anaumri mdogo so tutamtumia kwa muda mrefu kuliko kutoa pesa nyingi kumchukua mtu ambaye atatumika kwa misimu miwili tu..
LVG alituletea Depay very young talented, Di Maria, bora Falcao alikuja kw mkopo
Eriksen umfundishi cha kufanya, hana muda eti azoee mazingira, huyu unamsajiri leo then unamuanzisha ufunguz na chelsea