Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Yes..hata mimi nitamchagua bruno cuz hes talented na anaumri mdogo so tutamtumia kwa muda mrefu kuliko kutoa pesa nyingi kumchukua mtu ambaye atatumika kwa misimu miwili tu..
Kuwa talented na umri mdogo sio sababu ya kufanya vizur ligi mpya, Ole yupo makin hatak kufanya makosa ya watanguliz wake, Mou katuletea Fred kwa pound 52, what happen?
LVG alituletea Depay very young talented, Di Maria, bora Falcao alikuja kw mkopo
Eriksen umfundishi cha kufanya, hana muda eti azoee mazingira, huyu unamsajiri leo then unamuanzisha ufunguz na chelsea
 
Ndio inavyitakiwa. Mchezaj akija sababu ya pesa tumeenda. Tutarudia kosa la di maria.. sanchez..
Mchezaj lazima aipende team kama furgeson alivyokuwa anafanya.
Ole karudisha utamaduni wa zamani, mchezaji aipende timu kwnza na sio ushawishi wa fedha, kina Mou na magenge yake ndio yalituvuruga wametuletea kina Sanchez .......
Mfano mzur ni kwa Magul kaonekana kafurahia sana kuwa mchezaj wa Utd, ilikua ndoto yake
 
Tukubaliane hii timu haiwez kupigania ubingwa tena itakuwa ya kupigania nafasi ya 5 au ya 6 huwez kumuacha Ander Herrera aende kisha hadi muda huu hamna mbadala wake.

Kwa viungo waliopo manchester city lakin bado wamenunua kiungo kutoka atletico madrid kwa pesa ndefu tu bado wanaongeza mabek wa maana hii timu tunamtesa sana pogba kwamba lingard atasimama na pogba na matic au scott? hata lukaku ana haki ya kivimba haoni cha maana pale
 
So guys usajiri hamna?? Au leo wanaweza fanya tukacheka kidogo! Hii timu hata kuifuatilia naona uvivu asee.
 
Mkuu, huyu lukaku wiki jana kafanya uvunjifu mkubwa sana wa maadili, Nina uhakika alichokifanya alifanya huku akijua ni makosa.

Ali reakisha ranking ya speed ya wachezaji uwanjani, tena huku akijigamba kwamba yuko vizuri.

Kama maamuzi ya kumuondoa kwenye mazoezi yamefanyika kwa kuihusisha jambo hili inawezekana kabisa hata kwa nini Herrera hakuongezewa mkataba ni kutokana na blunder ambayo aliwahi kufanya kipindi cha mourinho baada ya kuruhusu mdau wa timu moja ya Hispania kama sikosei kwenda kwa mazoezi ya man u wakati ikijiandaa kukabiliana na timu hiyo.

Hivi vilabu ni zaidi ya makocha, kuna policy na ethics ambazo lazima zifuatwe.
Ndio maana masema, awekwe sokoni.

Mchezaji wa £80M ni huge deal.
 
Yes..hata mimi nitamchagua bruno cuz hes talented na anaumri mdogo so tutamtumia kwa muda mrefu kuliko kutoa pesa nyingi kumchukua mtu ambaye atatumika kwa misimu miwili tu..
Eriksen anacost paun mil 60 wakati sporting Lisbon wanataka paun mil 70.....Bruno alifeli Italy so labda uwezo wake unaendana na ligi aliyopo..... Je kuna guarantee kama Bruno atakuwa success akija? Jibu ni hapana..hivyo silaumu deal la Eriksen maana tumeona mbali
 
Eriksen anacost paun mil 60 wakati sporting Lisbon wanataka paun mil 70.....Bruno alifeli Italy so labda uwezo wake unaendana na ligi aliyopo..... Je kuna guarantee kama Bruno atakuwa success akija? Jibu ni hapana..hivyo silaumu deal la Eriksen maana tumeona mbali
Sky sport wana report dili la eriksen liko karibu kukamilika!
 
Kuwa talented na umri mdogo sio sababu ya kufanya vizur ligi mpya, Ole yupo makin hatak kufanya makosa ya watanguliz wake, Mou katuletea Fred kwa pound 52, what happen?
LVG alituletea Depay very young talented, Di Maria, bora Falcao alikuja kw mkopo
Eriksen umfundishi cha kufanya, hana muda eti azoee mazingira, huyu unamsajiri leo then unamuanzisha ufunguz na chelsea
Sanchez aliyekuwa ametoka kuwasha moto arsenal mbona ameflop??
 
Euro 70 siyo pound 70
Eriksen anacost paun mil 60 wakati sporting Lisbon wanataka paun mil 70.....Bruno alifeli Italy so labda uwezo wake unaendana na ligi aliyopo..... Je kuna guarantee kama Bruno atakuwa success akija? Jibu ni hapana..hivyo silaumu deal la Eriksen maana tumeona mbali
 
Yaani kuna watu wanamlinganisha Eriksen na Bruno ?
Yawezekana kweli Bruno ni talented ila kumlinganisha na Eriksen ni tusi kubwa sana kwa Eriksen.

Huyo eriksen ameshaprove hundred times pale epl kuwa ni mnyama hachoki, hafuji, hakosei ndiye aliyevaa viatu vya Luka Modric na Van de Vart pale Tottenham wote kwa pamoja.
 
Kama habari ni kujenga timu kwa matumizi ya baadae kama alivyotuaminisha OLE,tulistahili kumchukua Bruno kwa sababu ya umri wake ukilinganisha na wa eriksen. Lakini kutokana na muda na mahitaji yetu eneo la katikati ya uwanja mmoja kati yao si mbaya badala ya kuwakosa wote.

Kuhusu nani ni proven kwenye ligi gani hilo suala halitabiriki sana. Ni wachezaji wachache sana na pengine wasiowekwa kwenye pressure kubwa ndio huwa na mafanikio kutoka timu A kwenda timu B katika ligi husika. Nani anakumbuka habari ya el nino Torres wa Liverpool na aliyekuja Chelsea?
Alexis je? Usajili wakati wote huwa ni kamari zaidi ya takwimu za mchezaji.
 
Back
Top Bottom