Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Soon
Screenshot_20190807-083947.jpeg
 
Hii ni ngumu sana kutokea
Hata Striker 1..? Kazi tunayo mwaka huu, na tukumbuke OLE alimalizia game zilizokuwa zimebaki.
Lakini round hii anaanza yeye mwanzo kabisa, EPL sio kitoto .. akicheza Carrick atamalizia kama yeye.
 
Ngoja mechi ya kwanza Zuma au David Luiz amvunje mguu Pogba,

Timu yetu inahitaji creativity zaidi, kwa muda uliobakia haijalishi anakuja Nani, Eriksen, Bruno au hata midfielder mwengine anaejua kutengeneza nafasi.
Hii timu kwakweli ni tatizo, inawezekana kusiwe na usajili wowote.
 
Man wameend interest kwa Ericksen inaonekana jamaa anataman kwenda Madrid
 
Hata Striker 1..? Kazi tunayo mwaka huu, na tukumbuke OLE alimalizia game zilizokuwa zimebaki.
Lakini round hii anaanza yeye mwanzo kabisa, EPL sio kitoto .. akicheza Carrick atamalizia kama yeye.
Nafikiri Bruno au Sean Longstaff watasajiliwa
 
Mabadiliko yanaanza na wewe. So mim nafikir wachezaj wakijenga morali na juhud na kushirikisha ndoto zao za kufanya makubwa basi tutategemea kuona makubwa. Kwasabab mm naamin wanaodetarmin ushind kwa game ni players.
 
Back
Top Bottom