lukesam
JF-Expert Member
- Feb 23, 2015
- 13,197
- 28,079
Lakini kimsingi mimi sioni shida ya Lukaku
Ole si ndo ambaye hamhitaji na hilo amelionyesha wazi??
Kabisa, pengine ameruhusiwa.
Lakini kimsingi mimi sioni shida ya Lukaku
Ole si ndo ambaye hamhitaji na hilo amelionyesha wazi??
Daniel Levy hawezi kumwachia Eriksen kwa pesa ya mandazi tu.
Naona tunahusishwa na Eriksen, kwamba wao wakimpata Bruno sisi tunachukua Eriksen.
Huu utakuwa ni ushenzi. Pogba bora abaki hata km ni kirusi. Hakuna midfielder level ya Pogba duniani kwa sasaSky sports pia wameripoti swap ya james na pogba
Anafanya mazoezi na Anderlecht, sijui kama karuhusiwa.
Hongera kwa maneno mazuri umeifanya jioni yangu nione timu yetu twaipenda wengi. Ni giant Club watakewasitake.Wakuu habari zenu..nina machache leo..
1.Tuchukue dkk moja kumpongeza Woodward kwa kumsajili Maguire(ingawa ni sababu ya pressure kutoka nje...especially ile #GrazerOut movement) lakini amejitahidi this time.
2.Jamani jamani..Napenda sana sana sana BRUNO FERNANDEZ aje..Huyo Eriksen wa Spurs abaki hukohuko(age imeenda na atatucost pesa nyingi)
3.Rw akija hata january ni sawa tu..mm sitamind..
4.Nimefurahi/Pia kuumia kuona deal ya dybala imekwama..
Nimefurahi;Kwasababu ilitutoa kwenye track yetu ya usajili(ilifunika stor za bruno fernandez kabisa) wakati Bruno ni muhimu sana kwny team kuliko dybala.
Nimeumia;(sababu tutaendelea kuwa na lukaku abaye hayupo kqenye mipango ya kocha{namimi simkubali kabisa} so atakuwa kama dead weigh kwenye timu
Pia nimeumia kwa demands za huyo dogo na ajent wake..ni kama wameivunjia heshima club..yani wanaona ni sehemu ya kwenda kujitajirisha tu(Ma-mae)..ndo maana Ole Gunnar akachomoa deal cuz hataki mchezaji asiyekuwa na mapenzi na club....Hongera OGS
..........GGMU GGMU GGMU.........
Huu utakuwa ni ushenzi. Pogba bora abaki hata km ni kirusi. Hakuna midfielder level ya Pogba duniani kwa sasa
Karibu OTIn da house View attachment 1172967
This is crazy..PSG have offered Neymar to Manchester United. One year Loan deal, no obligation to buy. Loan fee €25m. United would've to pay 100% of his wages (€560,000). No response from United yet.
560000 hell no. Wanatafuta mahali pa kupumulia maana wages za neymar si mchezo.PSG have offered Neymar to Manchester United. One year Loan deal, no obligation to buy. Loan fee €25m. United would've to pay 100% of his wages (€560,000). No response from United yet.
Wapo lakin tumesha sajili replacement?Wapo kibao sema nani atauza jezi pale?
No more signing na kama ikitokea atakuwa Sean longstaffHuko twitter kumechafuka kila mtu anataka tumsajili Bruno sijui jamaa hawaoni au
Wewe kwa kuona potentials za Perreira, nimekukubali. Perreira kuaminiwa yupo vizuri munoume
Hongera kwa maneno mazuri umeifanya jioni yangu nione timu yetu twaipenda wengi. Ni giant Club watakewasitake.
Namtamani sana mrithi wa scholes na viungo wengine..tunakosa viungo moto pale katikati Nyuma kumefunga vizur Nashukuru kwa usajili wa bisaka na magwaya sasa tupate mtu wa kuwachezesha wings
Nina matumaini makubwa na perreira kocha amuamini tu.
Gomes bana apate mechi nyingiiii atatisha sana
Anafanya mazoezi na Anderlecht, sijui kama karuhusiwa.
Huu utakuwa ni ushenzi. Pogba bora abaki hata km ni kirusi. Hakuna midfielder level ya Pogba duniani kwa sasa