Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

In da house
IMG_20190805_153205.jpeg
 
OFFICIAL: Man Utd have signed Harry Maguire from Leicester, making him the most expensive defender ever!
Maajabu uingereza hayataisha
FB_IMG_1565008826763.jpeg
 
OFFICIAL: Man Utd have signed Harry Maguire from Leicester, making him the most expensive defender ever!
Maajabu uingereza hayataishaView attachment 1172990
Kama ni kweli mshahara wake Ni huu unaotajwa tajwa wa 5M kwa mwaka (100K kwa wiki) sio mbaya mkuu, maana mkataba wake Ni miaka 6 na nyongeza ya mwaka. Ina maana mpaka 2026 una beki wa maana na mshahara mdogo, hizo Hela walizosave kwenye mshahara zitafidia fee yake.
 
dy
Basi hana akili we una uwezo halaf timu haikutaki unasubiri nini ?
dybala kama mwanamke mzuriiii wanaume wanataka yeye hataki Yaani inakuwa kama bikira yake ni Mali ya Juve isitoshe kibibi kile tulikojolea mbele ya Ronald cr7...

Kuna wanawake wana bahati duniani..Man Utd mwenyewe anataka wazazi wa mtoto wanakubali, mtoto hataki.
 
Hakuna kitu kinaniuma roho msimu huu kama kuona pep anachukua treble epl .....rekodi yetu inaenda vunjwa huku naishuhudia waziwazi maana sioni timu yA kuizuia city wasibebe tena ubingwa

Daaah, kweli kabisa mkuu kijogoo hawezi kumzuia pep asichukue ubingwa epl
 
dydybala kama mwanamke mzuriiii wanaume wanataka yeye hataki Yaani inakuwa kama bikira yake ni Mali ya Juve isitoshe kibibi kile tulikojolea mbele ya Ronald cr7...

Kuna wanawake wana bahati duniani..Man Utd mwenyewe anataka wazazi wa mtoto wanakubali, mtoto hataki.

paulo dybala mwacheni tu aozee benchi pale juve
 
mtazisifu timu za Juve lkn uingeleza Kuna radha yake huyo dybala anajua ligi nguvu mwendo kasi atachemka, ataozea benchi
 
Back
Top Bottom