Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hawa nao waongo cku zote walikuwa wapi kukanusha ? Labda man washindwe bei ila mchezaji wanamtaka hata ole mara zote kabla ya maguire alikuwa akisema bado wawili
Na huyu simon safari hii hayuko vzuri kabla james na awb kusaini masaa 12 kabla yeye alikuwa anasema dili lipo mbali sana kukamilika
 
Hakuna kitu kinaniuma roho msimu huu kama kuona pep anachukua treble epl .....rekodi yetu inaenda vunjwa huku naishuhudia waziwazi maana sioni timu yA kuizuia city wasibebe tena ubingwa
 
Dyabala anataka pesa kubwa. No offense man u inaweza kumlipa hiyo pesa lakin mshkaji haonekani akiondoka kwa moyo mmoja. Pesa ndio inampeleka kule
Seems jamaa ana complicated imaging rights alizoingia mkataba, someone has to pay, ndio maana Hawa madogo wanashindwa kufikia potential zao,
 
Nyepesi nyepesi Ni kwamba deal la Dybala limekufa, Man Utd wamekataa kumpa mshahara anaoutaka.
Sio kwamba dybala haitaki man u?kila akipandisha mishahara ,man u wanakuwa tayari kumlipa? Akaleta janja kuwa hutaki kukatwa 25% man u isipofuzu UCL ,
 
Dili la Dybala tayr limekufa. Ogs itabd amtumie tu lukaku hvyhvy kama hata dili la kwenda inter litashindikana! Ila conte kasema anamaanisha kumtaka lukaku!
 
Hakuna kitu kinaniuma roho msimu huu kama kuona pep anachukua treble epl .....rekodi yetu inaenda vunjwa huku naishuhudia waziwazi maana sioni timu yA kuizuia city wasibebe tena ubingwa
Kuna Liver chief
 
Msijidanganye yani mtu aache kucheza juve aje kucheza man timu inayomaliza nafasi ya 6 kama sio ya 7 halafu mutake kumlipa mshahara mbuzi
 
Kwazile nafasi zaidi wazi alizokosa sterling, angekosa rashford au martial humu ndani ungekuwa shida sana.... Nilichojifunza sio kwamba foward za Wenzetu nzuri saaaaana no, ila ni kutengeneza nafasi nyingi zaidi na timu kucheza vizuri........
Mkuu umeongea point kubwa sana.. Huwa nasema kila siku Lukaku akipata timu inayotengeneza nafasi kama zile Manchester City na timu yenye tempo kama ile lazima apige 20+ goals .. Tatizo ni kwamba team haitengenez nafasi za kutosha ..



Hali kadhalika kwa Liverpool wanatengeneza nafasi nyingi sana .. Siku wakipata natural namba 9 kama striker , haki ya mungu Liverpool itakuwa timu tishio sana ulaya ..


Mo salah ni mchezaji mzuri sana ila sio natural namba 9, mipira mingi anaichukulia katikati ya kiwanja na kuanza kukimbia Kitu ambacho kama wangekuwa wana namba Tisa mzuri mabeki wangekuwa wanagawanywa vizuri .. Sana ... United tunakosa hicho .. Nafasi hazitengenezwi na hata hizo chache kina zote n gene wa haziwi zamoto...
 
Rojo ni kiraka lakini anacheza nafasi Kama 3 pale nyuma, backup nzuri kwa Shaw na Maguire. Akiondoka Rojo inabidi tununue Tena.

Wanaotakiwa kupunguzwa ni Hawa wa kulia ambao wapo wengine, Jones, Smalling, lindelof, Baily, tuanzebe wote wanategemea nafasi moja.
Wapunguzwe hawa waingereza wawili
 
Mpango ulikuwepo kumbe tokea zamani
Screenshot_20190804-141853.jpeg
 
Mkuu umeongea point kubwa sana.. Huwa nasema kila siku Lukaku akipata timu inayotengeneza nafasi kama zile Manchester City na timu yenye tempo kama ile lazima apige 20+ goals .. Tatizo ni kwamba team haitengenez nafasi za kutosha ..



Hali kadhalika kwa Liverpool wanatengeneza nafasi nyingi sana .. Siku wakipata natural namba 9 kama striker , haki ya mungu Liverpool itakuwa timu tishio sana ulaya ..


Mo salah ni mchezaji mzuri sana ila sio natural namba 9, mipira mingi anaichukulia katikati ya kiwanja na kuanza kukimbia Kitu ambacho kama wangekuwa wana namba Tisa mzuri mabeki wangekuwa wanagawanywa vizuri .. Sana ... United tunakosa hicho .. Nafasi hazitengenezwi na hata hizo chache kina zote n gene wa haziwi zamoto...
Lukaku hawezi kucheza Manchester city hata kwa imagination hata Kwenye playstation hawezi
 
Back
Top Bottom