Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Wakuu naomba niwaite kwny mjadala huu;

1.Leicester wamegoma wanataka record fee(£80mill) ili kumuachia Maguire(miaka 26)..na bado wanamuhitaji sana.

2.Barcelona wataka kumuuza Umtiti(miaka 25)..kwa about £50mill na ukiangalia Umtiti ameachive sana ukilinganisha na Maguire.

Maoni yangu;Kwanini tusinunue Umtiti kwa mill 50 then zinazobaki tukazitumia kuimarisha sehemu ingine..!? Kuliko kuhangaika na mtu mmoja ambaye timu yake haiko tayari kumuuza na wameweka bei kubwa!?

Karibuni
 
Wakuu naomba niwaite kwny mjadala huu;

1.Leicester wamegoma wanataka record fee(£80mill) ili kumuachia Maguire(miaka 26)..na bado wanamuhitaji sana.

2.Barcelona wataka kumuuza Umtiti(miaka 25)..kwa about £50mill na ukiangalia Umtiti ameachive sana ukilinganisha na Maguire.

Maoni yangu;Kwanini tusinunue Umtiti kwa mill 50 then zinazobaki tukazitumia kuimarisha sehemu ingine..!? Kuliko kuhangaika na mtu mmoja ambaye timu yake haiko tayari kumuuza na wameweka bei kubwa!?

Karibuni

Advantage ya maguire epl anaijua vizur tofaut na umtiti binafsi ningeshaur achukuliwe maguire tu sifa nyingine maguire ni mzur kudrible mpira anaweza kupanda kama alivyo lindelof kusogeza timu mbele na kutoa pasi kitu ambacho umtiti hana pia hata utulivu hama umtiti
 
Angali hizo starts za jessey sio mm angalia pia hizo goli 17 za toka 2016 kishapitwa na rashford ujueView attachment 1167910


Angalia dyballa akicheza center foward na second striker

View attachment 1167912
Hizo stats hata Ruben Nerves anazo lakini una uhakika na Woodward anasajili kwa kuzingatia hizo stats ?

Woodward anaangalia idadi yao tu kama ni wengi hawezi kusajili mwingine.
 
Hizo stats hata Ruben Nerves anazo lakini una uhakika na Woodward anasajili kwa kuzingatia hizo stats ?

Woodward anaangalia idadi yao tu kama ni wengi hawezi kusajili mwingine.

Et hata ruben neves anazo sasa pogba aliponunuliwa hao hawakuwepo?
 
Ningekuwa kocha nisingekubali kuona Lukaku anaondoka huku Rashford na Lingard wanabaki.

Ningemtoa Rashford aende Juve kwa swap ya Dybala na Lingard kwa mkopo.

Haiwezekani unakuwa comfortable kabisa unaanza msimu mpya huku Lingard na Rashford wakiwa wachezaji tegemeo.

Msimu utaanza hata wakija kina Bruno, Dyabala na Maguire bado United itaonekana ni kimeo kwasababu hakuna kocha.

Ole ni mbabaishaji tu.
 
Mkuu Bruno sio no 10, ni central midfield, katika career yake aliwahi kidogo tu kucheza 10 na hakufit, majority ya mechi zake anacheza Kati, sometime pia anacheza kiungo mkabaji.
Hapa napo kuna Matic,Pogba,Fred,McTominay na James Garner huoni kuwa Woodward hawezi kufanya huu ujinga wa kuongeza mtu mwingine?

Ole kashasema "they are working on one or two signings"
Mmoja hapo atakuwa ni center back hiyo nafasi nyingine ndiyo unaweza kubeti sasa Dyabala au Fernandez
 
Mkuu hatukatai hilo ila kuna nafasi za muhimu zaidi ilibidi tuimprove..maana kinachoisumbua hii timu ni kuwa na wachezaji wengi wasiokuwa na consistency..

Tuna beki wa kati wa kuaminika wa kumpair na Lindelof??

Tuna straiker wakueleweka,maana lukaku anasepa??..Rashford anaweza kutupa goli 25+??

We all know kuwa tunaweza hata kumaliza top four kwa kikosi hiki lakini tunaitaji improvement kwenye kikosi chetu..We are United and not Fvcking Stoke City
Huwezi kuwa comfortable na hawa wachezaji.
 
Wakuu naomba niwaite kwny mjadala huu;

1.Leicester wamegoma wanataka record fee(£80mill) ili kumuachia Maguire(miaka 26)..na bado wanamuhitaji sana.

2.Barcelona wataka kumuuza Umtiti(miaka 25)..kwa about £50mill na ukiangalia Umtiti ameachive sana ukilinganisha na Maguire.

Maoni yangu;Kwanini tusinunue Umtiti kwa mill 50 then zinazobaki tukazitumia kuimarisha sehemu ingine..!? Kuliko kuhangaika na mtu mmoja ambaye timu yake haiko tayari kumuuza na wameweka bei kubwa!?

Karibuni
Too short
Too plumpy
Injury prone
 
Wakuu naomba niwaite kwny mjadala huu;

1.Leicester wamegoma wanataka record fee(£80mill) ili kumuachia Maguire(miaka 26)..na bado wanamuhitaji sana.

2.Barcelona wataka kumuuza Umtiti(miaka 25)..kwa about £50mill na ukiangalia Umtiti ameachive sana ukilinganisha na Maguire.

Maoni yangu;Kwanini tusinunue Umtiti kwa mill 50 then zinazobaki tukazitumia kuimarisha sehemu ingine..!? Kuliko kuhangaika na mtu mmoja ambaye timu yake haiko tayari kumuuza na wameweka bei kubwa!?

Karibuni
Umtiti spana mkononi kama Baily.
 
Wakuu naomba niwaite kwny mjadala huu;

1.Leicester wamegoma wanataka record fee(£80mill) ili kumuachia Maguire(miaka 26)..na bado wanamuhitaji sana.

2.Barcelona wataka kumuuza Umtiti(miaka 25)..kwa about £50mill na ukiangalia Umtiti ameachive sana ukilinganisha na Maguire.

Maoni yangu;Kwanini tusinunue Umtiti kwa mill 50 then zinazobaki tukazitumia kuimarisha sehemu ingine..!? Kuliko kuhangaika na mtu mmoja ambaye timu yake haiko tayari kumuuza na wameweka bei kubwa!?

Karibuni
Kuongezea chengine Maguire ni beki wa Kati wa kushoto, man U tuna beki Kama huyu mmoja tu ambae ni Rojo, Kuna mifumo Kama ule wa beki 3 nyuma na wingback au Hata wa beki 2 wawili nyuma ambao unawagawanya Hawa mabeki kwa nafasi, Maguire ni muhimu Sana.

Pia Maguire ni mzuri Sana kwenye Vichwa, kifupi ni Bora zaidi duniani stats wise kwa Sasa Kama sijakosea, na Hata world cup Ali top stats za Vichwa. Hii ni weakness ya lindelof hivyo wata balance vizuri
 
Hapa napo kuna Matic,Pogba,Fred,McTominay na James Garner huoni kuwa Woodward hawezi kufanya huu ujinga wa kuongeza mtu mwingine?

Ole kashasema "they are working on one or two signings"
Mmoja hapo atakuwa ni center back hiyo nafasi nyingine ndiyo unaweza kubeti sasa Dyabala au Fernandez
Mkuu unaweza kuwa sahihi tunaweza tukasajili mmoja Baina ya BF na Dybala Ila viungo watano kwenye mfumo wa 4-3-3 hawatoshi, tunahitaji angalau viungo 6 minimum.

Na Kati ya hao 5 mmoja tu Pogba ndio creative waliobaki wote ni midfield za kawaida tu ambao Hata assist 5 kwa msimu ni tabu. Ni aibu kusema Ila Hata Pogba Akicheza chini ya kiwango still ndio best midfield wetu kwenye utengenezaji.

Na usisahau tuna Europa league, tunahitaji kila namba kuwe na watu wawili wawili kuweza kusurvive futuhi.
 
KUTOKA KWA KAVEH

Sky Italy: Paulo Dybala is training with Juventus today and will meet with manager Maurizio Sarri afterwards to discuss his future
IMG_20190731_130356_808.jpeg
 
Back
Top Bottom