Inawezekana umeongea point..ila kumuita dybala ni TAKATAKA unakosea kbs..binafsi sitaki aje ila hiyo dogo ni creative..sio TAKATAKA.Sijui united tunaelekea wapi ..
Unamuondoa Lukaku namba 9 unatuletea "Takataka" Dybala ambae kwa ufuatiliaji wangu wa ligi ya Italy ni mchezaji Mwenye uchezaji sawa sawa kama si kuzidiwa na JUAN MATA "GARCIA"
Tena kibaya zaidi ni Mara 100 mata ambae ameweza kubreak even katika EPL kuliko Huyo dybala ambae ni Gamble...
Sijui kama Manchester united wanajua nini kinahitajika katika transfer zao .. Huwezi kuondoa namba 9 halafu hatusikii hata tetesi za kusajili striker namba 9 mwingine , perhaps Mwenye uwezo Mkubwa kuliko lukaku.. Sioni kama kuna hizo dalili .. Ipo siku tutajutia haya maamuzi ya "Kibunuwasi " kumuuza lukaku ... Ukiangalia Strikers namba 9 halisia ni wachache Sana ...
Anyway Ngoja nikae kimya tu
Hahahahahahahahah.....Mdogo mdogo mtafika mpaka £90 ml tu wanaoitaka Leicester.UPDATE!!!!!!
From skysport news ya Saa tatu usiku huu;
Kuna UNCONFIRMED news kwamba MAN U wameongeza dau la kumchukua MAGUIRE mpk £80Mill.
My take;Maguire will be our player in few days(probably by next week)
Huo mfumo wa 4-3-3, hautumiki tena , pre- season yote, OLE katumia 4-2-3-1. Nategemea ndio mfumo utakao tumika msimu huu. Haiwezekani tufanyie majaribio mfumo mwingi , ligi ianze tuuache.mkuu hilo nalifahamu lakini tokea ateuliwe OGS kuwa meneja mkuu wa timu tumekuwa na utamaduni wa kutumia viungo watatu wa asili kwa mechi nyingi tulizocheza (herrera + matic + pogba).
baada ya kutokea sintofahamu juu ya mustakabali wa ander herreara pamoja na majeruhi ya nemanja matic mabwana wawili hao nafasi zao zilikuwa zinazibwa na scott mctominay , andreas perreira pamoja na fred ambao walikuwa wanabadilishana kutokana na mechi husika.
sijafuatilia mechi zetu za kirafiki msimu huu hivyo basi sifahamu chochote juu ya style yetu ya uchezaji lakini nikitumia reference za msimu uliopita sioni dalili yoyote ya kumtumia paul dyabala eneo la namba 10 kama tutafanikiwa kumsajili.
- ili paul dyabala atumike kiungo wa juu italazimika paul pogba acheze namba 8 huku tukirudisha mfumo wa kutumia viungo wawili jambo ambalo sidhani kama litawezekana.
- ili paul dyabala acheze eneo la ushambuliaji italazimika marcus rashford atokee upande wa kulia na hilo jambo haliwezekani kwa sababu anayemuondoa romelu lukaku ni bwana rashford na si first touch zake mbovu.
- wakati huo huo usisahau kuna basha wa mjukuu wa malikia anaitwa jesse lingard naye pia ni kivutio cha utalii kwenye eneo la namba 10, mzee wa mechi 100 assist 5
Alan Hansen beki wa zamani wa Liverpool na mchambuzi wa soka aliwahi kusema, You can't win anything with kids. Hiyo ilikuwa Baada ya United kulambwa na Aston VillaHaijawahi kutokea Kombe lolote kubebwa na youngsters.
Ferguson si mjinga aliyemsajili Barbatov akiwa na Miaka 29.
hao wote walikuwa over 24, unasema ni watoto??Alan Hansen beki wa zamani wa Liverpool na mchambuzi wa soka aliwahi kusema, You can't win anything with kids. Hiyo ilikuwa Baada ya United kulambwa na Aston Villa
Kilichomkuta jamaa ni kuvuruga credibility yake ya uchambuzi...... United ya akina Neville brothers, Gigs, But et AL. ikatwaa ndoo
Hatuwezi kufika kwny 90..huo utakuwa ni umbulula..Hahahahahahahahah.....Mdogo mdogo mtafika mpaka £90 ml tu wanaoitaka Leicester.
nilieka hadi picha humu, nevile na calss of 92 walikuwa 19 mpaka 21, keane 23, cole 23, kuanzia no 6 mpaka 11 mkubwa alikuwa cantona pekee.hao wote walikuwa over 24, unasema ni watoto??
eka na za misimu mitano iliopita alipokua akitupia kila msimu goli 20+Namba hazidanganyiView attachment 1168816
Hivi we jamaa unajua unachoongeaga au inakurupukaga?hao wote walikuwa over 24, unasema ni watoto??
Au tumpe mfano wa Ajax ya De Legt, Dejong, Onana, Van De Beek & Co. ndio ataelewanilieka hadi picha humu, nevile na calss of 92 walikuwa 19 mpaka 21, keane 23, cole 23, kuanzia no 6 mpaka 11 mkubwa alikuwa cantona pekee.
Hahahaaa inaonesha unapenda sana huyu dogo aje....eka na za misimu mitano iliopita alipokua akitupia kila msimu goli 20+