Ugiligili
JF-Expert Member
- Jun 20, 2014
- 3,023
- 4,050
DEAL DONE!!
Sky sport mida hii wanasema deal imekubaliwa pande zote mbili kufanya swap ya dybala for Lukaku..kilichobaki ni man U kukubaliana na dyballa tu kwny malipo na mishahara.
Binafsi nahsi Man U tutaumia tena kwny hii deal. Ukiangalia stats(skysport) za DYBALLA,LINGARD na MATA za last season zinakaribia kufanana kbs(ingawa dybala yupo juu kdg lkn wapo kwny range moja) so naona tunaleta aina ya mchezaji ambaye tunae(naogopa stori za Alexis sanchez zisijirudie!!!)
Nahisi hii deal itacompromise moja kati ya deal zetu mbili(eithere bruno au SMS)...Ningependa LUKAKU auzwe kwa Cash then tununue Bruno Fernandez instead.
Lakini; SIJAJUA kama Dybala anaweza kucheza RW VIZURI..narudia VIZURI..kama anaweza basi atatusaidia kupaweka sawa kule.
GGMU GGMU
Sky sport mida hii wanasema deal imekubaliwa pande zote mbili kufanya swap ya dybala for Lukaku..kilichobaki ni man U kukubaliana na dyballa tu kwny malipo na mishahara.
Binafsi nahsi Man U tutaumia tena kwny hii deal. Ukiangalia stats(skysport) za DYBALLA,LINGARD na MATA za last season zinakaribia kufanana kbs(ingawa dybala yupo juu kdg lkn wapo kwny range moja) so naona tunaleta aina ya mchezaji ambaye tunae(naogopa stori za Alexis sanchez zisijirudie!!!)
Nahisi hii deal itacompromise moja kati ya deal zetu mbili(eithere bruno au SMS)...Ningependa LUKAKU auzwe kwa Cash then tununue Bruno Fernandez instead.
Lakini; SIJAJUA kama Dybala anaweza kucheza RW VIZURI..narudia VIZURI..kama anaweza basi atatusaidia kupaweka sawa kule.
GGMU GGMU