Nimeangalia ya leo tu.... Kama walikuwa wanacheza fresh basi tutaona na kwenye League.Hivi mkuu umeangalia mechi Hata moja ya pre season? Maana majority ya fans wanasifia Timu,
basi wakianza kukamia ndio tutajua kiwango hasa cha timu tulokuwa nayo na kocha wakeIngawaje kweli timu yetu bado si ya kiwango, lakini hayo mashindano hakuna timu inayokamia. Wanacheza at room temperature
Labda kwenu ila class of 92 ilibeba makombe 3 mfululizo ama 2 kuanzia pale 92 mpaka 95.Haijawahi kutokea Kombe lolote kubebwa na youngsters.
Ferguson si mjinga aliyemsajili Barbatov akiwa na Miaka 29.
Sio kweli umeongeza chumvi, vijana wamecheza mpira mzuriMungu isaidie Man Utd isije ikapata aibu.... Natizama game yake ya friendly na tottenham, inasikitisha. Hatuna future kwa kweli.
Wacha tu msimu uanze mpira duara lakini.
Huyu mtoto wampe zile dawa za Messi msimu ujao acheze.
Huyu kaandika kwa kufuata mkumbo, hata kama hatujasajiri wachezaji wamaana sana lakini mpira unaochezwa sio mbaya kiasi hichoMkuu acha izo tuna talent kubwa sana ya youngsters
Hajaangalia huyo kaadithiwaHivi mkuu umeangalia mechi Hata moja ya pre season? Maana majority ya fans wanasifia Timu,
Ule mwili kwa pilikapilika za epl,,hahaha,hapana aiseeDogo ni fundi sana,tatizo kimo sasa.
huyo mchezaji mmoja au wawili ndo watatuassure kwamba tunaenda kuchukua/kupigania kombe?? kama ndiyo basi timu yetu sio mbaya kiasi hiko tunavyoisemea.Man united itakuwa na wakati mgumu sana kwenye ligi kuu kama dirisha litafungwa haijasajili mchezaji yoyote wa maana.
Ule mwili kwa pilikapilika za epl,,hahaha,hapana aisee
Ule mwili kwa pilikapilika za epl,,hahaha,hapana aisee
Sio kweli umeongeza chumvi, vijana wamecheza mpira mzuri
Hata pre-season iliyopita Man u ilipigwa mechi karibia zote na Mou alikuwa akilalama kweli, lakini huyo Ed hakushituka hata kidogo.Binafsi nilitamani hii game tupigwe nyingi ili ed na ogs wasijiaminishe kwa kikosi kilichopo.
Kwa mwenye kumbukumbu nzuri msimu wa kwanza wa lvg tulitesa sana pre season hasa hii ICC na tukajisahau. Matokeo yake tuliishia kupiga back pass nyingi kuzuia kufungwa goli za maana. Januari yake martial akaja kuokoa jahazi.
Ana urefu 1.6m tu, sema bado mdogo Sana pengine atarefuka zaidi.Sasa sijui watamsaidiaje huyu dogo, maana ukweli ni kwamba anajua saana.
Amekaa kama kijeba flani hivi,sijui ni macho yangu?
Msimu wa kwanza wa LVG tulifanya vizuri, msimu wa pili ndio hatukufanya vizuri kivile, na Martial alikuja msimu wa pili. Na msimu wa kwanza hatukuwa tukipiga back pass tulicheza 4-1-4-1, formation moja matata Sana, tulikuwa na mechi mfululizo na Liverpool, Man city na Spurs mwisho wa msimu na tukashinda Goli 3, then 4 then 3.Binafsi nilitamani hii game tupigwe nyingi ili ed na ogs wasijiaminishe kwa kikosi kilichopo.
Kwa mwenye kumbukumbu nzuri msimu wa kwanza wa lvg tulitesa sana pre season hasa hii ICC na tukajisahau. Matokeo yake tuliishia kupiga back pass nyingi kuzuia kufungwa goli za maana. Januari yake martial akaja kuokoa jahazi.
Basi tusubiri ligi ianzeHapana Aisee Inter tuliwazidi kila Idara na sisi tulitengeneza nafasi nyingi zaidi, wao walipaki Basi tu.
Hata waliobaki karibu wote hawajaimprove chochote.huyo mchezaji mmoja au wawili ndo watatuassure kwamba tunaenda kuchukua/kupigania kombe?? kama ndiyo basi timu yetu sio mbaya kiasi hiko tunavyoisemea.
kama sivyo vyote basi acha tujenge timu taratibu ili misimu mitatu badae tujue tunaenda kuangalia Manchester United.
by the way kumbuka hatujauza mchezaji.
i'm just smilling
GGMU