Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

hii filamu ya bruno fernandez nilishaitabiria muelekeo wake muda mrefu sana kwa sababu director wake script zake zinatabirika , usishangae kukuta man united wanakataa kutoa wastani wa paundi millioni 60 kwa mchezaji aina ya bruno fernandez lakini wakawa tayari kutoa paundi millioni 40 - 50 kwa ajili ya sean longstaff.

kuna muhuni fulani akishirikiana na wenzake anajiaminisha ya kwamba wachezaji wazawa (waingereza) ndiyo pekee wenye ari ya kuipigania timu kwa jasho na damu zitokazo ndani ya viwiliwili vyao na waliobakia wengi wao ni wasakatonge.
Ndivyo akili zangu dhaifu zinavyoniaminisha mpaka muda huu.

Link ya Game Na Spurs vipi wakuu
 
Martial
Screenshot_20190725-152725.jpeg
 
Mungu isaidie Man Utd isije ikapata aibu.... Natizama game yake ya friendly na tottenham, inasikitisha. Hatuna future kwa kweli.

Wacha tu msimu uanze mpira duara lakini.
 
Mungu isaidie Man Utd isije ikapata aibu.... Natizama game yake ya friendly na tottenham, inasikitisha. Hatuna future kwa kweli.

Wacha tu msimu uanze mpira duara lakini.
Man united itakuwa na wakati mgumu sana kwenye ligi kuu kama dirisha litafungwa haijasajili mchezaji yoyote wa maana.
 
Mkuu acha izo tuna talent kubwa sana ya youngsters
Ishu sio kuwa na Talents au ma Stars, ishu ni mfumo tu.

Kwani Man utd hapo nyuma kwenye Paper ilikuwa inakikosi cha kutisha ila uwanjani ukikutana nao ni ovyo kabisa.

Sasa kama uchezaji wenyewe uwanjani hauna formular watu wanazunguka tu unafikiri vipaji vitakuwa?
 
Ishu sio kuwa na Talents au ma Stars, ishu ni mfumo tu.

Kwani Man utd hapo nyuma kwenye Paper ilikuwa inakikosi cha kutisha ila uwanjani ukikutana nao ni ovyo kabisa.

Sasa kama uchezaji wenyewe uwanjani hauna formular watu wanazunguka tu unafikiri vipaji vitakuwa?
Hivi mkuu umeangalia mechi Hata moja ya pre season? Maana majority ya fans wanasifia Timu,
 
Hivi mkuu umeangalia mechi Hata moja ya pre season? Maana majority ya fans wanasifia Timu,
Mechi ya Perth glory na Leeds siyo kipimo cha kusemea timu imecheza vizuri.

Intermilan walitengeneza clear chances za kuscore nyingi tu kiasi kwamba kama unacheza na timu za epl lazima upigwe tu.

Ya Tottenham mimi sijaiangalia ila tusijipe matumaini kwa watoto wadogo kuwa watatuvusha, epl siyo masihara
 
Mungu isaidie Man Utd isije ikapata aibu.... Natizama game yake ya friendly na tottenham, inasikitisha. Hatuna future kwa kweli.

Wacha tu msimu uanze mpira duara lakini.
Ingawaje kweli timu yetu bado si ya kiwango, lakini hayo mashindano hakuna timu inayokamia. Wanacheza at room temperature
 
Mechi ya Perth glory na Leeds siyo kipimo cha kusemea timu imecheza vizuri.

Intermilan walitengeneza clear chances za kuscore nyingi tu kiasi kwamba kama unacheza na timu za epl lazima upigwe tu.

Ya Tottenham mimi sijaiangalia ila tusijipe matumaini kwa watoto wadogo kuwa watatuvusha, epl siyo masihara
Hapana Aisee Inter tuliwazidi kila Idara na sisi tulitengeneza nafasi nyingi zaidi, wao walipaki Basi tu.
 
Back
Top Bottom