Bila bila
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 22,620
- 39,980
Hivi kwenye kisimbuzi cha Azam ipo au Man U TV imeondolewa?Nacheki Man U tv Mkuu
Hivi kwenye kisimbuzi cha Azam ipo au Man U TV imeondolewa?Nacheki Man U tv Mkuu
Hivi kwenye kisimbuzi cha Azam ipo au Man U TV imeondolewa?
[/QUOTEIpo
Engineer Ngapi Huko88'
United bado tunaongoza 1-0
*M.Greenwood
Kwa nilichokiona leo manchester united inahitaji miaka minne au mitatu kufanya usajili wa utulivu sana naona bisaka sina ugomvi nae ila lingard tatizo lipo
Greenwood yupo sawa ajitume tu
Rashford naona bado nae
Kama Bruno Atakuja Either Pogba ama Bruno mmoja anaweza kumreplace Lingard kwenye 4-2-3-1Kwa nilichokiona leo manchester united inahitaji miaka minne au mitatu kufanya usajili wa utulivu sana naona bisaka sina ugomvi nae ila lingard tatizo lipo
Greenwood yupo sawa ajitume tu
Rashford naona bado nae
Mkuu huyu Wan Bisaka ni stopper anacheza vyema sana kama ulivyoandika Rashford sijui anashida gani
Greenwood yuko vyema lakin si wa kumtegemea. Umri bado mdogo.Kwa nilichokiona leo manchester united inahitaji miaka minne au mitatu kufanya usajili wa utulivu sana naona bisaka sina ugomvi nae ila lingard tatizo lipo
Greenwood yupo sawa ajitume tu
Rashford naona bado nae
Pogba
Mkuu huyu Wan Bisaka ni stopper anacheza vyema sana kama ulivyoandika Rashford sijui anashida gani
Kama Bruno Atakuja Either Pogba ama Bruno mmoja anaweza kumreplace Lingard kwenye 4-2-3-1
Hii point. Lingard siyo mchezaji sahihi kucheza nyuma ya strikersKama Bruno Atakuja Either Pogba ama Bruno mmoja anaweza kumreplace Lingard kwenye 4-2-3-1
Namkubali sana McTomminay hana mambo ya kitoto kama akina Paulo na Sila(Lingard)Kila nikimuangalia scott mctominay naona kabisa kuna bonge moja la kiungo cha maana siku za baade huyu dogo nna imani nae kubwa sana pamoja na greenwood na bissaka tayar nina wachezaj watatu kamili hapo kwa upande wangu hiyo ndo manchester united inaanza sasa tuendelee taratibu
Umetumwa na mashabiki na Arsenal nini?Man u bado sana labda kama tunajifariji tu.
Ligi ikianza ndiyo tutajua kuwa hatuna timu pale
Nitake radhi mkuu Mimi siwezi kuwa shabiki wa Arsenal hata siku mojaUmetumwa na mashabiki na Arsenal nini?
Kwani Arsenal sio timuNitake radhi mkuu Mimi siwezi kuwa shabiki wa Arsenal hata siku moja
Wewe unaiona ni team ?Kwani Arsenal sio timu