Mkata-tamaa
Senior Member
- Nov 21, 2018
- 180
- 314
Kwenye mpira hakuna cha ajabuMaisha yana maajabu sana.
Man Utd anajipima na Leeds!
Hata Everton alijipima na Simba
Kwenye mpira hakuna cha ajabuMaisha yana maajabu sana.
Man Utd anajipima na Leeds!
Sasa hivi pale mmebakiwa na center-forward mmoja tu mwenye nguvu ambae ni LukakuPamoja na mfumo, mm bado naamini Lukaku ni zaidi ya Rashfold au Martial. Km anauzwa itakuwa si uamuzi sahihi
Football is entertainment bwanaUkimsikiliza mtu yoyote anayemkosoa Lukaku, atakwambia tatizo la jamaa ni first touch
Sijui bora uwe na first touch mbaya au last touch mbovu
Lukaku ana last touch nzuri kuliko mshambuliaji yoyote wa United kwa sasa
By the way, anawezaji kufunga magoli mengi vile (ukikinganisha na wenzake United) kama first touch zake ni mbovu?
Na vipi kwa hao wenye wonderful first touch wana magoli ishirini na ngapi msimu huu ulioisha?
Mkuu Kama unataka kuona mafanikio ya kocha Fulani na mahala anapoweza kutupeleka Jambo la kwanza ni kuheshimu mawazo yake na kum support anachotaka kufanya. Ili Hata akizingua awe anafukuzwa kwa haki,Ukimsikiliza mtu yoyote anayemkosoa Lukaku, atakwambia tatizo la jamaa ni first touch
Sijui bora uwe na first touch mbaya au last touch mbovu
Lukaku ana last touch nzuri kuliko mshambuliaji yoyote wa United kwa sasa
By the way, anawezaji kufunga magoli mengi vile (ukikinganisha na wenzake United) kama first touch zake ni mbovu?
Na vipi kwa hao wenye wonderful first touch wana magoli ishirini na ngapi msimu huu ulioisha?
Duh Azp ni beki bora misimu yote, ni Bissaka saba, VVD watatu, uyo Maguire kama wote..Kwa hiyo anazidiwa na Azpikikweta
Eti VVD watatu na Bissaka 7 Hahahahahaha mkuu unaandika kwa mihemko siangekuwa yupo Madrid huko au Barcelona Kama angekuwa bora kiasi hicho.... Sasa Azp amemzidi nini VVDDuh Azp ni beki bora misimu yote, ni Bissaka saba, VVD watatu, uyo Maguire kama wote..
Basi carvajal ni dunia nzimaDuh Azp ni beki bora misimu yote, ni Bissaka saba, VVD watatu, uyo Maguire kama wote..
Wewe Ollachuga wewe babaangu weweDuh Azp ni beki bora misimu yote, ni Bissaka saba, VVD watatu, uyo Maguire kama wote..
Simba vs Sevilla mkuuKwenye mpira hakuna cha ajabu
Hata Everton alijipima na Simba
Danny amenunuliwa kwa makusudi yepi sasaMkuu Kama unataka kuona mafanikio ya kocha Fulani na mahala anapoweza kutupeleka Jambo la kwanza ni kuheshimu mawazo yake na kum support anachotaka kufanya. Ili Hata akizingua awe anafukuzwa kwa haki,
Hilo la Lukaku kufunga Magoli mengi si Hoja, Aliondoka Van Nistelroy sababu ya Ronaldo Japo kipindi hicho 2005/06 RVN alikuwa Bonge la Super star na ana average ya Magoli 30 kila msimu, Ronaldo ilikuwa Hata huwezi kumuweka level moja na RVN.
Timu yetu mpaka Sasa hakuna Hata tetesi ya Right wing, left wing yenyewe ukimtoa Daniel James hakuna Hata mmoja anayeweza kumlisha Lukaku, kwa the way Timu yetu ilivyo Sasa hivi ni Jambo la busara kumuuza Lukaku, and I hope watanunua striker Hata wa sub kuja kujaza nafasi yake, hasa tetesi za Ben Yedder.
Mfumo wetu msimu ujao Kama unavyoonekana utakuwa hauna Tena mtu wa kusimama mbele, Cross zitakuwa Nadra, watu watatumia zaidi dribling skills na pace, sioni Lukaku akishine kwenye huu mfumo Sana Sana tutampotezea tu muda wake.
Kuanzia kwa Lingard hadi mwisho hawapaswi kucheza first teamMzee baba kama kawaida beki 3View attachment 1158159View attachment 1158160