Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 30,715
- 39,797
Man UTD Hata asajili jiwe ama kibakuli kinaingiza hela zaidi ya iliotumika kusajili, kwenye financial point of view Woodward yupo vizuri Sana, anajua afanye nini timu ipate faida ndio maana Kila mwaka timu inavunja rekodi za mapato japo uwanjani haipo vizuri.£75 ml ..........Harry Maguire inaweza kana jamaa ni the same level na Van Djik......MANCHESTER UNITED wakeup hahahahahahahahah wazee wa kupigwa.
Hayo ya kupigwa mnatakiwa mu discuss nyie.