Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Benteke na Caroll tofauti 2.5m tu, benteke kaja kwa 32.5m. Na ukiweka Addons usajili wake ume wa cost zaidi ya 41m. Ni mchezaji wa 4 ghali zaidi kusajiliwa na Liverpool nyuma ya Keita, Allison na Djik.

Na ameflop, wakati yupo Aston villa alikuwa Akitupia magoli zaidi ya 10 kwa msimu, liverpool hakufikisha na alipoondoka kwenda palace akatupia pia zaidi ya 10.

Kipindi alichonunuliwa Benteke tayari soko lilishaanza kuwa Crazy Market, kwahiyo £32.5m ilikuwa ni ya kawaida tu ingawa hakustahiki kununuliwa kwa bei hiyo.

Lakini kumbuka kuwa tulimuuza Palace kwa bei ambayo almost ni hiyohiyo! Kwahiyo hatukumuuza kwa hasara.
 
Kipindi alichonunuliwa Benteke tayari soko lilishaanza kuwa Crazy Market, kwahiyo £32.5m ilikuwa ni ya kawaida tu ingawa hakustahiki kununuliwa kwa bei hiyo.

Lakini kumbuka kuwa tulimuuza Palace kwa bei ambayo almost ni hiyohiyo! Kwahiyo hatukumuuza kwa hasara.
Soko lilianza kupanda pale Pogba na Neymar walivyo move, Benteke alikuja Bado soko lipo kawaida.
 
Kipindi alichonunuliwa Benteke tayari soko lilishaanza kuwa Crazy Market, kwahiyo £32.5m ilikuwa ni ya kawaida tu ingawa hakustahiki kununuliwa kwa bei hiyo.

Lakini kumbuka kuwa tulimuuza Palace kwa bei ambayo almost ni hiyohiyo! Kwahiyo hatukumuuza kwa hasara.
mashabiki wa manchester united tumeanza kusumbuliwa na wivu wa kijinga na hali hii imetokana zaidi na mafanikio ya wapinzani wetu.

miaka 18 iliopita bwana ferguson alitumia paundi millioni 30 kwa ajili ya kumsajili rio ferdinand kutoka leeds united, si hivyo tu pia SAF alitumia paundi millioni 28 kwa kumsajili juan sebastian veron labrujjitta kutoka lazio, miongo miwili iliopita tulikuwa tunapata mafanikio makubwa sana ndio maana hakuna aliyehoji fedha iliotumika kufanya usajili wa rio, rooney na veron.

kinachotokea hivi sasa ni kwamba tunatumia hela nyingi kufanya usajili halafu wachezaji wanaokuja wanashindwa kufikia malengo yaliotarajiwa ndio maana tumekuwa mabingwa wa kulalamikia soko chafu la usajili tofauti na nyakati zile tunawasajili rio, rooney, berbatov, nistelrooy kwa gharama kubwa.

wivu wa mashabiki wa man utd unakuja pale tunaposhuhudia majirani zetu wa man city na liverpool wanatumia hela kubwa kufanya usajili halafu takribani asilimia kubwa ya wachezaji wao wanaowaleta wanafikia matarajio ya klabu zao.

mohammed salah = amefikia matarajio ya liverpool
fabinho = amefikia matarajio ya klabu
allison becker = amefikia matarajio ya klabu
van virgil = amefikia matarajio ya klabu
sadio mane = best player
naby keita = hakuwa na msimu mzuri na miongoni mwa sababu ni majeruhi pamoja na mwalimu kubadilika na mifumo ya uchezaji.

lakini ukija kwetu mambo hayaeleweki kuanzia paul labile pogba, lukaku, matic, sanchez mpaka fred the red wote wamekuwa na homa za vipindi.

kwa makusudi unalipa paundi millioni 50 kwa wan bissaka halafu unalalamikia crazy market wakati thomas mounir yupo thamani yake ni paundi millioni 25.

maisha yote mshindi ndiye mwenye haki ya kuandika maandishi ya kihistoria hata kama ni ya uongo yataaminiwa, kwa sasa liverpool na man city wameshakuwa washindi.

liverpool wameshasahau kama miaka iliopita waliwasajili carrol, benteke, lazar markovic, aquilani, balotteli, david ngog, lambert, konchesky kwa sababu maumivu ya miaka 30 yanasahaulishwa na furaha ya siku moja.

vile vile maumivu ya miaka 6 yanasahaulisha furaha ya miaka 20​
1141541
 
Hata humu kuna watu wamempigia promo sana akiwemo.
Mc cane na Tanayzer [URL][/URL]
Nani huyo mkuu?

Wan Bissaka?

Lazima tukubali Wan Bissaka ni upgrade ya Young

Lazima tukubali, kwenye majukumu ya kulinda ni bora kuliko Dalot

Lakini hofu yangu ni kuhusu uwezo wake wa kutengeneza na kushambulia

Pia naona kama ataleta taharuki kwenye nafasi ya full back, maana tunaye Dalot ambaye anahitaji nafasi ili kudhihirisha uwezo wake

Lakini OGS akitumia formation ya 3 - 5 - 2 Wan Bissaka na Dalot wote wanaweza kung'ara

Mwisho, sijawahi kumtaka sana huyu dogo, japo pia kumpata ni jambo jema (more positives than negatives)
 
Back
Top Bottom