Darmian
JF-Expert Member
- Oct 1, 2017
- 17,300
- 46,749
Matic??Lets hope Matic atakuwa fit msimu mzima, dua za kuku.
Nah bro
Tumtafutie tu alternative..hawezi kucheza msimu huu mzima bila kupotea
Matic??Lets hope Matic atakuwa fit msimu mzima, dua za kuku.
Naungana na wewe mkuu..tunahitaji namba sita mkali kuliko kitu chochote..Matic hawezi kuwa fit anymore. Labda kumwamini Tominay. Frankly speaking we need a strong number 6 than a centre back
Matic sio mbaya kiivyo, ni kuomba awe kwenye kiwango chakeMatic japo Age imeenda ila bado ni mzuri mkuu. Na Mc tominay bado kumkabidhi mikoba yote tutamuonea, option nyengine ni Fred arudishe kiwango cha mechi ya PSG.
Hao wapo too exposed sababu timu haipo strong kati katiHuitakii neema timu wewe , Yaani unapendezewa na Smalling na Jones kweli.. Amaa kweli uchawi upo.
Matic japo Age imeenda ila bado ni mzuri mkuu. Na Mc tominay bado kumkabidhi mikoba yote tutamuonea, option nyengine ni Fred arudishe kiwango cha mechi ya PSG.
nuke vipiiii pogba aende zakeKabisa, Pogba kulia na Bruno kushoto
Inabidi nyuma yao awepo mtu kazi sasa
Mkuu Paul asiondoke aisee. Star wengi wanashine kutegemea ubora wa kikosi alichomo. Jamaa linajua na utalipenda km timu nzima iko njema. Ni aina ya wachezaji ambao anaweza kukunyanyua kitininuke vipiiii pogba aende zake
nakubali lkn anavyodo anaambukiza.ameathiri wenzieMkuu Paul asiondoke aisee. Star wengi wanashine kutegemea ubora wa kikosi alichomo. Jamaa linajua na utalipenda km timu nzima iko njema. Ni aina ya wachezaji ambao anaweza kukunyanyua kitini
Wan Bissaka rasmi United, nguvu iende kwa BF sasaView attachment 1141988View attachment 1141990
Bruno Fernandez mkuuBF Ndo nini mkuu!?? Au unamaanisha CF(Centre forward!?)
Bruno Fernandez mkuu
Umtiti yuko vizuri, ninamuhofia kwamba ni mtu wa majeruhi sanaAisee..nilikuwa sijakuelewa kk..kimsingi fernandez inabidi aje pale..Nasikia tunamtaka UMTITI..kwa mawazo yangu atakuwa mzuri pale katikati
Hii ndo shida. Bei zimekuwa kubwa sana na hilo amelighusia WoodwardUmtiti yuko vizuri, ninamuhofia kwamba ni mtu wa majeruhi sana
United wapo serious na muingereza (sijui ile ni timu ya taifa ya uingereza) Maquire kwenye beki ya Kati kuliko Umtiti
Pia Koullibally tunamtaka, changamoto ni kwamba Napoli wamepanga bei ya kutukomoa
Aisee..nilikuwa sijakuelewa kk..kimsingi fernandez inabidi aje pale..Nasikia tunamtaka UMTITI..kwa mawazo yangu atakuwa mzuri pale katikati
The worst premier league appoint? NoDavid Moyes' six-year contract at Manchester United would have ended today...
The worst Premier League appointment ever?!View attachment 1143063


The worst premier league appoint? No
Vipi kuhusu Ronald Koeman pale Toffees?
Wakati tunaadhimisha mwaka wa 6 tangu ateuliwe the chosen one
Tukumbuke kesho ndio United wanaanza mazoezi pale Aon Training complex na tarehe 7 tuna mechi ya kirafiki ya kwanza dhidi ya Perth![]()
Toffees ya Moyes yenyewe ilikuwa inatafuta nafasi za Europa, sembuse ya Koeman ambaye alienda kipindi Mwarabu amenunua timu na kuwekezaKoeman alikua anatafuta nini cha maana toffees zaidi ya kukomaa tu timu isishuke daraja
Bila kusahau Everton msimu uliopita wamespend kushinda Man U. Wao wanatafuta Top 4 na sio kushuka daraja, Timu inayospend zaidi ya 100m sio ya kushuka daraja.Toffees ya Moyes yenyewe ilikuwa inatafuta nafasi za Europa, sembuse ya Koeman ambaye alienda kipindi Mwarabu amenunua timu na kuwekeza
Hata tunapima kocha kulingana na timu aliyopo na si kwa ujumla wake, ndio Moyes alionekana hamna kitu japo alishika nafasi ya saba na wale walioshika nafasi ya 16 hawkuonekana wabovu kiivyo
Sijasema chaguo la Moyes United lilikuwa sahihi, lakini tunakuza sana mambo mengine...... Eti the worst PL manager appointever