Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

IMG_5772.JPG
 
Bila kusahau Everton msimu uliopita wamespend kushinda Man U. Wao wanatafuta Top 4 na sio kushuka daraja, Timu inayospend zaidi ya 100m sio ya kushuka daraja.
Kabisa mkuu, Everton wapo serious sana sasa hivi
 
Mkuu Paul asiondoke aisee. Star wengi wanashine kutegemea ubora wa kikosi alichomo. Jamaa linajua na utalipenda km timu nzima iko njema. Ni aina ya wachezaji ambao anaweza kukunyanyua kitini
Tatizo lake ni hadi aamue
 
Umtiti yuko vizuri, ninamuhofia kwamba ni mtu wa majeruhi sana

United wapo serious na muingereza (sijui ile ni timu ya taifa ya uingereza) Maquire kwenye beki ya Kati kuliko Umtiti

Pia Koullibally tunamtaka, changamoto ni kwamba Napoli wamepanga bei ya kutukomoa
Kwa koulibally hata hela ikiwa kubwa sawa tu. Hao kina Maguire viwango vyao vipo kwenye vyombo vya habari tu
 
Timu imefika pabaya asee mi mwenyewe nimeshangaa sana.
Mhuuu pengine ni media tu wakuu,kwa kipi alichokifanya yule dogo hadi apewe mshahara Wa hivo. Yaani rashford hata kumpa 150 kwa sasa ni matumizi mabaya ya hela,bado hajaonyesha kama ana thamani hiyo. Wakimpa hata 200 kwa wiki basi Herrera alitakiwa apewe mia nne. Mana Herrera alitaka hyo mia mbili watu macho yakawatoka hadi wakamwambia kama ndo hvo milango iko wazi unaweza kuondoka
 
Nadhani kwa wanaojua kwanini rebuild ya man utd imeegemea zaidi kwa waingereza anaweza kutusaidia. Labda ni kwa sababu za kibiashara zaidi au kuna lingine?
Tunakumbatia wachezaji average sana halafu wanatuambia REBUILD my foot!
top player gani ataenda kucheza europa?? ukipata jibu hapo utapata jibu la swali lako.
 
Nadhani kwa wanaojua kwanini rebuild ya man utd imeegemea zaidi kwa waingereza anaweza kutusaidia. Labda ni kwa sababu za kibiashara zaidi au kuna lingine?
Tunakumbatia wachezaji average sana halafu wanatuambia REBUILD my foot!
Mkuu timu yetu inafaa wachezaji wa uingereza/ulaya zaidi sababu ya hall ya hewa, Manchester kuna baridi Sana ndio maana wachezaji wa America kusini hawakai Sana pale.
 
Back
Top Bottom