Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Usajili wa huyu dogo sijui ni wa kuufurahia..... Yaani bado sijajua
Screenshot_20190627-074900.jpeg
 
That can’t be the case – the Glazers are not good for United and never have been…

Hopefully one day someone will see our message and act on it. The right person or group who will also put fans first.

Until time comes for the Glazers to decide to sell ManU in their own terms, no one can take them out!
 
Mimi sijaufurahia na nianaona kama hauna mana hivi,halafu wamehangaika nae kwelikweli utadhanai ni Bonge la pro!
Uzuri wa hili dili ni kwamba, likikamilika tunaenda kusajili watu wengine wa maana..... Bruno, Center back, may be striker, may be another winger

Huyu mtoto na timu yake wametuchelewesha sana (kwenye negotiation
 
Sahz Naona wanataka waingie mazima kwa Bruno Fernandes Wa sporting Lisbon. Huyo angalau ana promise pakubwa anaonekana ana great potentials. Ila huyu Bisaka cjui asee. Hivi ishu ya Joao Felix ndo iliyayukia juu kwa juu siyo!?
Felix anaenda Atletico madrid, Benfica wenyewe wame confirm 112M.

Kama Pogba anaondoka Tunamuhitaji zaidi Bruno Fernandes kuliko Felix. Fernandez ni midfield ya katikati kabisa na magoli mengi anayofunga hayo ni Free kicks na mashuti ya Mbali,

Felix yeye ni kama namba 10, anacheza nyuma ya striker ndio maana hata Atletico anakwenda kuvaa Viatu vya Griezman
 
Felix anaenda Atletico madrid, Benfica wenyewe wame confirm 112M.

Kama Pogba anaondoka Tunamuhitaji zaidi Bruno Fernandes kuliko Felix. Fernandez ni midfield ya katikati kabisa na magoli mengi anayofunga hayo ni Free kicks na mashuti ya Mbali,

Felix yeye ni kama namba 10, anacheza nyuma ya striker ndio maana hata Atletico anakwenda kuvaa Viatu vya Griezman
Sisi 10 zetu si unaziona ndugu? Bado tungemchukua ingekuwa vema tu hasa ukizingatia yule dogo akiendelezwa na kulelewa vizuri anaweza kuja kuwa magician Wa hatari na akawa na thamani za kina Mbape
 
Transfer News Reliability Guide
Manchester United are linked with dozens if not hundreds of players every season.
This guide will help you distinguish between reliable sources of transfer information.

Tier 1 (Highest Quality Sources)
  • Simon Stone (BBC)
  • Sport1 (Germany)
  • Henry Winter (The Times Chief of Football)
  • Mohamed Bouhafsi (France)
  • Fabrizio Romano (Guardian)
  • Paul Joyce (The Times/Liverpool/Everton)
  • David Ornstein (BBC/Arsenal)
  • Craig Norwood (Club Photographer)
  • Kristof Terreur (The Guardian)
  • Gianluca Di Marzio (Sky Italia/Independent Journalist)
  • Simon Peach (Press Association)
1139987
 
Sisi 10 zetu si unaziona ndugu? Bado tungemchukua ingekuwa vema tu hasa ukizingatia yule dogo akiendelezwa na kulelewa vizuri anaweza kuja kuwa magician Wa hatari na akawa na thamani za kina Mbape
Hope mkuu unafahamu fernandez ndio mchezaji bora wa ligi ya portugal msimu uliopita (17/18) na pengine akawa bora pia msimu huu. Mara ya mwisho mchezaji bora wa portugal kuja ligi ya uingereza alikuwa ni matic.

Pia fernandez sio one season wonders amekuwa mchezaji bora misimu miwili mfululizo na pia kabla ya hapo amecheza udinese na Sampdoria ambako kote alicheza vizuri.

Jamaa ni complete midfield anacheza kama kiungo mkabaji, kiungo wa katikati au hata nyuma ya striker kama kiungo mshambuliaji ama no 10.

Anafunga magoli kama striker, japo anatokea nyuma ligi ya ureno katupia 20, anatoa assist pia anazo kama 13 bila kusahau anakaba sana. Jamaa kavunja record ya ufungaji magoli kwa midfield si Yaya toure wala Midfield yoyote amewahi funga magoli kama huyu jamaa. Stats zake ni almost unbelievable.

Jamaa hapa amemchambua vizuri.


Mtu kama joao felix anataka timu yenye Watu kama Ngolo kante, uchezaji wake ni Kama ozil ama Kaka, uki pair felix na Fred/pogba sidhani kama itafanya kazi. Ligi ya spain na Timu kama Atletico inafit sana style yake.
 
Back
Top Bottom