Hivi Man U c wavunje benki wamchukue Khalidou Koulibaly? Yule CB ni kitasa cha hatari.
-Anapandisha timu,
-mzuri Wa mipira ya kona na faulo,
-mhamasishaji,
-mnyama yaani ana roho mbaya,
-anatia mguu usipotarajia,
-ana nguvu,
-anajua kujipanga na kuwasiliana vema na kipa wake,
-anaelekea miaka 28 kitu ambacho ndo yupo ktk kipindi bora kabisa kimpira
- anaongea na refa,yaani ana kila kitu cha kuwa kiongozi

Huyu jamaa namuona kama ni centre back solid kuliko yeyote kwa sasa ila tu timu aliyopo ndio inamficha.
 
Hivi Man U c wavunje benki wamchukue Khalidou Koulibaly? Yule CB ni kitasa cha hatari.
-Anapandisha timu,
-mzuri Wa mipira ya kona na faulo,
-mhamasishaji,
-mnyama yaani ana roho mbaya,
-anatia mguu usipotarajia,
-ana nguvu,
-anajua kujipanga na kuwasiliana vema na kipa wake,
-anaelekea miaka 28 kitu ambacho ndo yupo ktk kipindi bora kabisa kimpira
- anaongea na refa,yaani ana kila kitu cha kuwa kiongozi
Huyu jamaa namuona kama ni centre back solid kuliko yeyote kwa sasa ila tu timu aliyopo ndio inamficha.
Huyu jamaa yuko safi sana...
 
Sisi na nyie hatuchekani, Atleast Spurs Ama Arsenal Kidogo wanaweza wakajisifu. maana mna Rundo la maflop kina Ings, Caroll, lambert, Balotteli, benteke, Grujic, karius etc

Katika hao uliowataja Flop ni Carroll tu! You know why?
Huwezi kununua mchezaji kwa £8m then ukamwita Flop wakati tokea unamnunua unajua kuwa hiyo ni bei ya wachezaji below performance.

Carroll ndiye pure Flop ukilinganisha na bei aliyonunuliwa ya wakati huo unaweza kumnunua Pogba.
 
Katika hao uliowataja Flop ni Carroll tu! You know why?
Huwezi kununua mchezaji kwa £8m then ukamwita Flop wakati tokea unamnunua unajua kuwa hiyo ni bei ya wachezaji below performance.

Carroll ndiye pure Flop ukilinganisha na bei aliyonunuliwa ya wakati huo unaweza kumnunua Pogba.
Hao kina Balotelli na Benteke?
 
Felix anaenda Atletico madrid, Benfica wenyewe wame confirm 112M.

Kama Pogba anaondoka Tunamuhitaji zaidi Bruno Fernandes kuliko Felix. Fernandez ni midfield ya katikati kabisa na magoli mengi anayofunga hayo ni Free kicks na mashuti ya Mbali,

Felix yeye ni kama namba 10, anacheza nyuma ya striker ndio maana hata Atletico anakwenda kuvaa Viatu vya Griezman
Wangemuuza tu Pogba.
 
Hao wamenunuliwa kwa hela ya kawaida tu, na viwango vyao vya kawaida walivyokujanvyo ndiyo walivyoondoka nyavyo.
Hence, hawakuflop wala kuboreka! Benteke was Benteke, Balo was Ball.
Benteke na Caroll tofauti 2.5m tu, benteke kaja kwa 32.5m. Na ukiweka Addons usajili wake ume wa cost zaidi ya 41m. Ni mchezaji wa 4 ghali zaidi kusajiliwa na Liverpool nyuma ya Keita, Allison na Djik.

Na ameflop, wakati yupo Aston villa alikuwa Akitupia magoli zaidi ya 10 kwa msimu, liverpool hakufikisha na alipoondoka kwenda palace akatupia pia zaidi ya 10.
 
Back
Top Bottom