severinembena
JF-Expert Member
- Jun 2, 2018
- 2,434
- 2,396
Umeeleza vema ndugu!Hope mkuu unafahamu fernandez ndio mchezaji bora wa ligi ya portugal msimu uliopita (17/18) na pengine akawa bora pia msimu huu. Mara ya mwisho mchezaji bora wa portugal kuja ligi ya uingereza alikuwa ni matic.
Pia fernandez sio one season wonders amekuwa mchezaji bora misimu miwili mfululizo na pia kabla ya hapo amecheza udinese na Sampdoria ambako kote alicheza vizuri.
Jamaa ni complete midfield anacheza kama kiungo mkabaji, kiungo wa katikati au hata nyuma ya striker kama kiungo mshambuliaji ama no 10.
Anafunga magoli kama striker, japo anatokea nyuma ligi ya ureno katupia 20, anatoa assist pia anazo kama 13 bila kusahau anakaba sana. Jamaa kavunja record ya ufungaji magoli kwa midfield si Yaya toure wala Midfield yoyote amewahi funga magoli kama huyu jamaa. Stats zake ni almost unbelievable.
Jamaa hapa amemchambua vizuri.
Mtu kama joao felix anataka timu yenye Watu kama Ngolo kante, uchezaji wake ni Kama ozil ama Kaka, uki pair felix na Fred/pogba sidhani kama itafanya kazi. Ligi ya spain na Timu kama Atletico inafit sana style yake.