Hope mkuu unafahamu fernandez ndio mchezaji bora wa ligi ya portugal msimu uliopita (17/18) na pengine akawa bora pia msimu huu. Mara ya mwisho mchezaji bora wa portugal kuja ligi ya uingereza alikuwa ni matic.

Pia fernandez sio one season wonders amekuwa mchezaji bora misimu miwili mfululizo na pia kabla ya hapo amecheza udinese na Sampdoria ambako kote alicheza vizuri.

Jamaa ni complete midfield anacheza kama kiungo mkabaji, kiungo wa katikati au hata nyuma ya striker kama kiungo mshambuliaji ama no 10.

Anafunga magoli kama striker, japo anatokea nyuma ligi ya ureno katupia 20, anatoa assist pia anazo kama 13 bila kusahau anakaba sana. Jamaa kavunja record ya ufungaji magoli kwa midfield si Yaya toure wala Midfield yoyote amewahi funga magoli kama huyu jamaa. Stats zake ni almost unbelievable.

Jamaa hapa amemchambua vizuri.


Mtu kama joao felix anataka timu yenye Watu kama Ngolo kante, uchezaji wake ni Kama ozil ama Kaka, uki pair felix na Fred/pogba sidhani kama itafanya kazi. Ligi ya spain na Timu kama Atletico inafit sana style yake.
Umeeleza vema ndugu!
 
Chief-Mkwawa ukipata muda naomba uniondolee mavumbi yaliobaki kwenye ubongo wangu kuhusiana na hii sheria ya financial fair play kuna mambo bado sijayafahamu kiundani

barcelona wamemuuza golikipa cillesen kwa euro millioni 35 siku chache zilizopita kuelekea valencia.
barcelona wamemsajili golikipa neto kutoka valencia kwa euro millioni 26 na ongezeko la euro millioni 9.

ukiziangalia hizi gharama walizozitumia kwa malipo zinafanana, kwa nini hawakufanya swap deal?

nimesoma taarifa kupitia vyanzo tofauti klabu ya valencia wanahitaji takribani euro millioni 30 kwa ajili ya kufunga vitabu vya matumizi kwa mwaka huu unaoelekea kuisha ili wasipate hasara, ina maana mkataba wa cillesen kwa elimu yangu dhaifu utafungwa July 1 ambapo ndio mwanzo wa mwaka mpya wa soka barani ulaya ili valencia waepukane na rungu la FFF.
 

Chief-Mkwawa ukipata muda naomba uniondolee mavumbi yaliobaki kwenye ubongo wangu kuhusiana na hii sheria ya financial fair play kuna mambo bado sijayafahamu kiundani

barcelona wamemuuza golikipa cillesen kwa euro millioni 35 siku chache zilizopita kuelekea valencia.
barcelona wamemsajili golikipa neto kutoka valencia kwa euro millioni 26 na ongezeko la euro millioni 9.

ukiziangalia hizi gharama walizozitumia kwa malipo zinafanana, kwa nini hawakufanya swap deal?

nimesoma taarifa kupitia vyanzo tofauti klabu ya valencia wanahitaji takribani euro millioni 30 kwa ajili ya kufunga vitabu vya matumizi kwa mwaka huu unaoelekea kuisha ili wasipate hasara, ina maana mkataba wa cillesen kwa elimu yangu dhaifu utafungwa July 1 ambapo ndio mwanzo wa mwaka mpya wa soka barani ulaya ili valencia waepukane na rungu la FFF.
Mkuu nimesoma online hapa Barcelona watawalipa Valencia 30 mwezi huu na Valencia watazirudisha hizo hela tarehe 1 july. Hivyo Barca wanawasaidia wasifungiwe.
 
bangi za daemusin
danny james = pendekezeo la OGS kwa asilimia 80
wan bissaka = pendekezo la OGS kwa asilimia 80.

nakumbusha bado wachezaji 2 - 3 tufunge usajili na wachezaji wanaohusishwa kwa sasa
sean longstaff = pendekezo la OGS kwa asilimia 80
bruno fernandez = pendekezo la mashabiki kwa asilimia 60 na OGS
james maddison = pendekezo la daemusin na OGS
maguire = pendekezo la waingereza na OGS

mambo yatakapokwenda ovyo musije mukamlaumu mjomba wangu ed woodward, natahadharisha na mapema mwaka huu nitawashughulikia wale wote watakaomdhihaki mjomba wangu mpendwa.

nilisha waambia kuweni makini sana na target zenu munazompelekea ofisini kwake, nilizungumza mapema kwa niaba yake tutasajili winga mmoja tu hivyo basi tafuteni target ya uhakika, musije mukafikiria tutamwongezea douglas costa au hakim zeyech msimu huu cha ajabu mukatia pamba masikioni.
Mimi sitamlaumu wakija watatu, CB, right wing na midfield. Timu yetu itakuwa imekamilika.
 
Mimi sitamlaumu wakija watatu, CB, right wing na midfield. Timu yetu itakuwa imekamilika.
right wing tumeshamsajili danny james na ndio maana tetesi za kutafuta winga mwengine hazipo.
midfield ningependa kumuona bruno fernandez anasajiliwa lakini tatizo dau lake kubwa kwa bwana ed woodward hivyo basi si ajabu klabu kumgeukia mtoto wa kiingereza anayeitwa sean longstaff
 
right wing tumeshamsajili danny james na ndio maana tetesi za kutafuta winga mwengine hazipo.
midfield ningependa kumuona bruno fernandez anasajiliwa lakini tatizo dau lake kubwa kwa bwana ed woodward hivyo basi si ajabu klabu kumgeukia mtoto wa kiingereza anayeitwa sean longstaff
James ni wa kushoto japo anacheza kulia pia. Ingesajiliwa source ya magoli kulia ingekuwa vizuri zaidi.

Hata mimi nahitaji Bruno aje zaidi. Longstaff sidhani kama ni upgrade ya Mctominay, atakuja tu kumzibia mwenzake.
 
Sisi na nyie hatuchekani, Atleast Spurs Ama Arsenal Kidogo wanaweza wakajisifu. maana mna Rundo la maflop kina Ings, Caroll, lambert, Balotteli, benteke, Grujic, karius etc
mkuu lakini wao hiyo hatua kwa kiasi kikubwa wameshaipita lakini kwetu sisi bado tunaendelea nayo.
maisha yote anayeshinda vita ndiye mwenye haki ya kuandika historia haijalishi ni uongo.
nimemkumbuka david ngog, lazar markovic pamoja na alberto aquilani
teh teh
 
mkuu lakini wao hiyo hatua kwa kiasi kikubwa wameshaipita lakini kwetu sisi bado tunaendelea nayo.
maisha yote anayeshinda vita ndiye mwenye haki ya kuandika historia haijalishi ni uongo.
nimemkumbuka david ngog, lazar markovic pamoja na alberto aquilani
teh teh
Yah kiasi fulani, ila kina karius na Keita sio wa zamani.
 
Back
Top Bottom