Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 32,062
- 43,477
Kama ulisoma habari zilizopita Fergie alipropose welsh aje kuwa Dof wetu. Huyu jamaa alikuwa responsible kuitoa Chelsea toka timu ya mchangani mpaka kuchukua ubingwa, mind nyuma ya Mafanikio ya Mou akiscout wachezaji kama Drogba na Essien.kucheza kwetu ligi ya europa sidhani kama ndio sababu inayopelekea kushindwa kwetu kusajili wachezaji walio bora mpaka muda huu ukiachana na hadithi za financial fair play,
msimu wa kwanza wa jose mourinho tulifanikiwa kuwasajili zlatan ibrahimovic, eric bailly, henrik mkhitaryan pamoja na paul pogba na tulicheza europa league.
- tatizo letu lipo kwa bwana ed woodward amekosa nguvu ya ushawishi kwa wachezaji, udhaifu wa ed woodward kwa kiasi kikubwa ulifichwa na makocha wenye uzoefu kama vile louis van gaal pamoja na jose mourinho, nyakati za moyes alishindwa kusajili mchezaji mwenye kiwango cha kueleweka.
- pia bwana ole gunnar solskjaer naye pia anasumbuliwa na tatizo la kukosa ushawishi kwa wachezaji na hili limetokana zaidi na matokeo yake ya mwishoni mwa msimu ukiachana na udhaifu wa CV yake.
mourinho, ancelotti, guardiola, klopp, ferguson ni makocha wenye uwezo wa kumtumia mchezaji ujumbe wa tafadhali nipigie na hatimaye mchezaji akapiga mwenyewe haijalishi kwa salio la mkopo.
usiku wa ndoa tumewakutanisha mabikira wawili kwa wakati mmoja hivyo basi makungwi tuendelee kuwa wavumilivu mpaka alfajiri.
Hakuishia Hapo alivyoenda Leicester akaleta watu kama Mahrez, kante na Vardy kwa bei chee, walichofanya wote tunajua.
Akaenda Everton, ambapo amefeli na kufukuzwa lakini still alisajili watu kama Gueye kwa 8m tu, kina pickford etc
Jamaa kila anapoenda anajua kutafuta bargain zinazokuja kuwa wachezaji wazuri ama hata World class.
Pamoja na fergie kuwa na influence kwenye Timu woodward amekataa na hadi leo hakuna Dof, usajili utaisha watakuja tu wachezaji randomly wasio na identity yoyote.