Kanungila Karim
JF-Expert Member
- Apr 29, 2016
- 20,744
- 25,447
Ipo Man U TV, king'amuzi cha Azamnataka ni stream mechi ya man utd vs Bayen munch reuniuon..
msaada nisaidieni mwenzenu.... nistrim wap?
Hata yeye hana jipya,alitupatia the chosen one MoyesMkufunzi wa zamani wa klabu ya Manchester United Sir Alex Ferguson ameshangazwa ni kwa nini klabu hiyo haitafuti ushauri wake na anaamini kwamba klabu hyo ingemsajili mkufunzi wa Tottenham manager Mauricio Pochettino badala ya Ole Gunnar Solskjaer. (Mail on Sunday)
Hahaaha mkuu usichukie ndio mambo ya mpira kuna Kiwanda na kushukaView attachment 1108442
Dogo kazingua...
Yaani hadi mitoto Kama hii inaitosa Manchester
Maisha yanaenda kasi sana
mbona mnamsingizia sana fergie? Alishasema moyes alikuwa choice ya 6, choice 5 aliwapa man u juu yake ambao niHata yeye hana jipya,alitupatia the chosen one Moyes
Ni sahihi ila alikuwa na mkono wake hapo. Ma meneja wengi walikuwa bado wapo vibaruani so ilikuwa ni ngumu kuwapata na pep hakutaka kuja, nshawahi msikia yeye mwenyewe tena anasema ascent ya feigie ilikuwa ni ngumu sana kumuelewa hata anachoongea.mbona mnamsingizia sana fergie? Alishasema moyes alikuwa choice ya 6, choice 5 aliwapa man u juu yake ambao ni
1. PEP Guardiola ( Fergie mwenyewe alimpigia simu)
2. Jose Mourinho
3. Jurgen Klop
4. LVG
5.
Source kitabu chake mwenyewe kupitia Sky sport
https://www.skysports.com/football/...s-david-moyes-was-sixth-choice-to-replace-him
Mlaumu alioshindwa kuwapata hao wa 4 na kumchagua wa 5.
kazi ya Fergie ni kutoa ushauri, Mtendaji ni woodward, makocha watatu kati ya hao walienda timu pinzani, Mou, pep na Klop. Utamlaumu vipi Fergie?Ni sahihi ila alikuwa na mkono wake hapo. Ma meneja wengi walikuwa bado wapo vibaruani so ilikuwa ni ngumu kuwapata na pep hakutaka kuja, nshawahi msikia yeye mwenyewe tena anasema ascent ya feigie ilikuwa ni ngumu sana kumuelewa hata anachoongea.