Huyu naye anakuzwa na media. Siamini km kuna beki mwafrika wa kuaminika sana kiasi cha kuuza £96picha linaanza Napoli imekataa paundi 96 mililioni LEO kwaajili ya Kolidou Koulibaly narudia tena paundi milioni 96 zimekataliwa leo kwaajili ya beki.
Huyu naye anakuzwa na media. Siamini km kuna beki mwafrika wa kuaminika sana kiasi cha kuuza £96picha linaanza Napoli imekataa paundi 96 mililioni LEO kwaajili ya Kolidou Koulibaly narudia tena paundi milioni 96 zimekataliwa leo kwaajili ya beki.
Huyu naye anakuzwa na media. Siamini km kuna beki mwafrika wa kuaminika sana kiasi cha kuuza £96
Don't you believe that Liverpool has succeeded financially than united this season?What kind of achievements are you talking about mate? Loosing every single final they have reached? Hugging and jumping on touch line like headless chicken?
Financially? Just to feed those fat bastards called Glazers?Don't you believe that Liverpool has succeeded financially than united this season?
Playing in uefa champions league final two times in arow!
Bonuses.....Bonuses!!!!
Ain't be achievement mate?
Forget the hate you had, think financially!
Hahaha !!!bastards!!!Financially? Just to feed those fat bastards called Glazers?
They are bastard everybody know.Hahaha !!!bastards!!!
Liverpool ain't be bastards!
C'mon........ they are top loser in Europe recently, can we give Madrid some respect??They are top team in Europe recently!
How can we catch em?
anakuzwa sio?? labda anastahili hela ngapi kwa wewe unavyoona?Huyu naye anakuzwa na media. Siamini km kuna beki mwafrika wa kuaminika sana kiasi cha kuuza £96
They are best team right now!They are bastard everybody know.
C'mon........ they are top loser in Europe recently, can we give Madrid some respect??
No way bro, we can't catch a loser, we need to learn from the best.
leo kwenye tetesi tumepelekwa nchini Brazil katika klabu ya Fluminense kuna striker anaitwa Pedro ana miaka 21
twendeni You Tube
Huyu umetoa sana £50, maana hatuna uhakika kama kweli unaweza kuja ku'cope na Epl Mkuu. Angalia Baily wakati amekuja tuliamin angekuwa mmoja kati ya mabeki imara lakin sasahv ukiona yupo kikosin unakuwa huna imani though injuries imechangia.anakuzwa sio?? labda anastahili hela ngapi kwa wewe unavyoona?
HahahahahahahahahhahahahahahahahahHehe!! Naona zile tabia za Thread ya Liverpool zinakuja taratibu huku kwetu...english only
Mkuu niko na wewe..Huyu umetoa sana £50, maana hatuna uhakika kama kweli unaweza kuja ku'cope na Epl Mkuu. Angalia Baily wakati amekuja tuliamin angekuwa mmoja kati ya mabeki imara lakin sasahv ukiona yupo kikosin unakuwa huna imani though injuries imechangia.
Kwahela hiyo mkuu tungukuwa na skauti nzuri tunapata wachezaji wazuri hata wa3 ila tu ndio hivyo timu yetu hatuna maskauti wa maana nowdays.
Kama kuna beki mwingine mzuri yuko epl heri umchukue huyo kuliko aliyeko kwenye ligi zingine.Mkuu niko na wewe..
Nimefurahi sana hawa Napoli kukataa £96m, hata kama huyo jamaa anakaba na anafunga magoli.. wamepewa pesa ndefu mno bado wanaringa wanataka ngapi?
Tuangalie watu wengine dunia haina mtu mmoja bhana, hao scout kama wamemuona yeye tu basi hawatufai
Hasa timu yao ikifanya vibaya..ngeli inapigwa mule sio mchezoHehe!! Naona zile tabia za Thread ya Liverpool zinakuja taratibu huku kwetu...english only
😂😂😂kabsaa....kuna watu nahic hua inabd waache ku-comment mana wataharibu ladha!!Hasa timu yao ikifanya vibaya..ngeli inapigwa mule sio mchezo
Kabisa mkuu...Kama kuna beki mwingine mzuri yuko epl heri umchukue huyo kuliko aliyeko kwenye ligi zingine.
Inachukua misimu mmoja mpaka miwili mtu kucope na ligi hivyo kufanya gambling ya hela kubwa hivyo ni upuuzi
Majamaa wanazingua sana...!!! Wakapige ngeli kwenye uzi wao...yan unakuwa unascrow tuHasa timu yao ikifanya vibaya..ngeli inapigwa mule sio mchezo
😂😂😂lakin mkuu unakua unaweka hata cha kuchechemea kidg!!Majamaa wanazingua sana...!!! Wakapige ngeli kwenye uzi wao...yan unakuwa unascrow tu