What kind of achievements are you talking about mate? Loosing every single final they have reached? Hugging and jumping on touch line like headless chicken?
Don't you believe that Liverpool has succeeded financially than united this season?
Playing in uefa champions league final two times in arow!
Bonuses.....Bonuses!!!!
Ain't be achievement mate?
Forget the hate you had, think financially!
 
Don't you believe that Liverpool has succeeded financially than united this season?
Playing in uefa champions league final two times in arow!
Bonuses.....Bonuses!!!!
Ain't be achievement mate?
Forget the hate you had, think financially!
Financially? Just to feed those fat bastards called Glazers?
 
They are bastard everybody know.
C'mon........ they are top loser in Europe recently, can we give Madrid some respect??


No way bro, we can't catch a loser, we need to learn from the best.
They are best team right now!
Believe or not.

Tujifunze toka kwao!
Namna ya kuwa na kikosi cha wapambanaji kama Liverpool,

Mfumo wetu Ni tatizo!
Maana kila mchezaji anaonekana tatizo, as long as tuna top players
 
anakuzwa sio?? labda anastahili hela ngapi kwa wewe unavyoona?
Huyu umetoa sana £50, maana hatuna uhakika kama kweli unaweza kuja ku'cope na Epl Mkuu. Angalia Baily wakati amekuja tuliamin angekuwa mmoja kati ya mabeki imara lakin sasahv ukiona yupo kikosin unakuwa huna imani though injuries imechangia.

Kwahela hiyo mkuu tungukuwa na skauti nzuri tunapata wachezaji wazuri hata wa3 ila tu ndio hivyo timu yetu hatuna maskauti wa maana nowdays.
 
Huyu umetoa sana £50, maana hatuna uhakika kama kweli unaweza kuja ku'cope na Epl Mkuu. Angalia Baily wakati amekuja tuliamin angekuwa mmoja kati ya mabeki imara lakin sasahv ukiona yupo kikosin unakuwa huna imani though injuries imechangia.
Kwahela hiyo mkuu tungukuwa na skauti nzuri tunapata wachezaji wazuri hata wa3 ila tu ndio hivyo timu yetu hatuna maskauti wa maana nowdays.
Mkuu niko na wewe..
Nimefurahi sana hawa Napoli kukataa £96m, hata kama huyo jamaa anakaba na anafunga magoli.. wamepewa pesa ndefu mno bado wanaringa wanataka ngapi?
Tuangalie watu wengine dunia haina mtu mmoja bhana, hao scout kama wamemuona yeye tu basi hawatufai
 
Mkuu niko na wewe..
Nimefurahi sana hawa Napoli kukataa £96m, hata kama huyo jamaa anakaba na anafunga magoli.. wamepewa pesa ndefu mno bado wanaringa wanataka ngapi?
Tuangalie watu wengine dunia haina mtu mmoja bhana, hao scout kama wamemuona yeye tu basi hawatufai
Kama kuna beki mwingine mzuri yuko epl heri umchukue huyo kuliko aliyeko kwenye ligi zingine.

Inachukua misimu mmoja mpaka miwili mtu kucope na ligi hivyo kufanya gambling ya hela kubwa hivyo ni upuuzi
 
Back
Top Bottom