Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Dah utani lakini ni kweli
Screenshot_20190511-000004.jpg
Screenshot_20190510-235912.jpg
 
Manchester United Player of the Year awards 2019:

Luke Shaw - Sir Matt Busby Player of the year
Luke Shaw - Players' Player of the Year
Tahith Chong - Reserve Team Player of the Year
Andreas Pereira - Goal of the Season
Mason Greenwood - Youth Team Player of the year

Lindelof has been cut!!
 
Tusiharakishe sana kuamini hivyo.
Kwani pochetino five years ago angeweza kufikiriwa hata kuwa kocha wa kuleta ushindani EPL ?
Mkuu tofautisha Man u na timu kama tottenham, Man u ni bussness club....hauwez kuwait kwa miaka mitatu au minne, timu itakula hasara ya kufa mtu.....kiufupi tu swala la namna hiyo halipo na wala hutaliona popote kwa timu kama man u, Real madrid, Barcelona au Bayern...timu hzi zina uwekezaji mkubwa sana na znatumia hela nying....kwa vyovyote vile lazma wakinbizane na matokeo ya uwanjani every minute.....
 
Mkuu tofautisha Man u na timu kama tottenham, Man u ni bussness club....hauwez kuwait kwa miaka mitatu au minne, timu itakula hasara ya kufa mtu.....kiufupi tu swala la namna hiyo halipo na wala hutaliona popote kwa timu kama man u, Real madrid, Barcelona au Bayern...timu hzi zina uwekezaji mkubwa sana na znatumia hela nying....kwa vyovyote vile lazma wakinbizane na matokeo ya uwanjani every minute.....
Unajua Man Utd before SAF ilikuwa ni timu yenye mafanikio ya kawaida? Ninaposema before SAF ninamaanisha kabla ya mwaka 1986

Unaposema Man Utd ni business club na haiwezi kusubiri miaka 3, kwani mpaka sasa imeshakaa miaka mingapi bila EPL, miaka 6

Kuifananisha situation ya Man Utd na Real Madrid au Bayern ni kupotoka.

City, Chelsea, Liverpool na kiasi flani Arsenal, Everton, Spurs wana power ya kununua kama United. Je Utd ana uwezo wa kutaka mchezaji yoyote kwa Spurs, Everton, Arsenal n.k na kumnunua? haiwezekani. Pale Uingireza hadi timu inayopambana isishuke daraja inaweza kununua mchezaji kwa £30milion (kumbuka Benteke kwenda Cristal Palace)

Kwenye soko la usajili kule Spain, Madrid anasumbuliwa na Barca tu. Atletico, Valencia, Sevila hawana uwezo wa kununua kama hao wakubwa wawili. Ligi sio competitive kiasi hicho. Na Madrid au Barca wakimtaka mchezaji kutoka hizo timu za laliga (second class) lazima wamchukue, hawana jeuri ya kukataa.

Ujerumani hivyo hivyo, Bayern ndio baba lao. Dortmond, Leverkusen, Wolfborg, Schalkle n.k hawana uwezo wa kununua kama Bayern. Bayern anachukua mchezaji Dortmund (second biggest in German).

Kwahiyo kwa Spain na Ujerumani nguvu ya pesa inaweza kutumika ku maintain status ya club lakini si Uigerezs
 
New signing 6????

Mkuu umewahi kulitembelea soko la wachezaji la Siku hizi lakini?

Kamchezaji kama Di Ligte aliyekuwa mwisho kuchezea ligi ya Wachunga Farasi kule uholanzi unajuwa kasimama na £ ngapi?

Kwa Market ya sasa OGS kupewa £300m usidhani kama anaweza kupata hao wachezaji 6.

Mchezaji wa Kushindania Makombe kwasasa anaanza na £75m.

Au afanye kama Klopp kunuwa cheap option za kina Mane, Salah na Robertson then aboreshe.
Lakini hapo atahitaji misimu miwili au mitatu kuwaboresha jambo ambalo Man U hamuwezi kulivumilia.
Anafikiri wachezaji wapo tu sokoni Kama vocha
 
Maybe Ed contacted him before appointing OLE.

1 year into a new 5 year contract
New stadium finally finished
Great squad of players
Team improving year on year

There’s no way he would leave all this for another English club .
+presha ambayo angekuja kuipata OT, labda alikataaa offer ya utd, maana Poch kasema Madrid walimcheki akakataa very professionally (kakawambia binafsi hawezi vunja kandarasi na Spurs, labda wao waongee na Chairman wa Spurs Kama atakubali)
 
+presha ambayo angekuja kuipata OT, labda alikataaa offer ya utd, maana Poch kasema Madrid walimcheki akakataa very professionally (kakawambia binafsi hawezi vunja kandarasi na Spurs, labda wao waongee na Chairman wa Spurs Kama atakubali)
Hizi timu zinawavuruga sana makocha. Viongozi, mashabiki na media wana demand kuliko uhalisia. Hata mimi ningekataa hizo ofa
 
Mkuu ana skills za kutosha, japo mbio ni silaa yake kubwa

Mechi ya City amemtesa sana Otamendi na Walker
Kabla ya city walicheza na reading kama sikosei aiseee mtoto anateleza balaa vyenga kama vyote mipasi ya uhakika na goli la kideo alifunga siku ile.....huyo mtoto ni fundi haswa.....waliwapiga reading 4 kwa 1
 
Kabla ya city walicheza na reading kama sikosei aiseee mtoto anateleza balaa vyenga kama vyote mipasi ya uhakika na goli la kideo alifunga siku ile.....huyo mtoto ni fundi haswa.....waliwapiga reading 4 kwa 1
Kwahiyo mzee tutakuwa tumelamba dume sio??
 
Back
Top Bottom