Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

hahahahaaa rival my ass.
majogoo kila mchezaji aliyesajiliwa na jurgen klopp amegeuka dhahabu.
kiupande wetu kila mchezaji tunayemsajili anafanya vizuri nusu msimu.
kama si laana inayotukabili muda huu ni kitu gani jamani.

lukaku anaonekana amechoka wakati last season alifunga magoli mechi takribani tano mfululizo.
nemanja matic alikuwa onfire but now hakuna anamyetamani.
eric bailly yuko hoi.
antony martial anatia huruma, wakati msimu uliopita pamoja na rashford walikuwa wanashindana kwa kufunga mwanzoni mwa msimu, akianza rashford raha akitokea benchi full raha
only zlatan ibrahimovic ndio usajili wa maana tulioufurahia matunda yake haijalishi kwa sasa hayupo tena klabuni.

dah nimezikumbuka kelele zetu za 4G nyakati zile
Robin Van Persie na Zlatan ndo usajili bora wa mwisho kuufanya United.
 
wapo wanaonivutia kiuchezaji kama vile:
james maddison kutoka leicester city.

jamie vardy kwa ligi ya uingereza ana uhakika wa kukupa magoli 10 kila msimu, anafaa kuwa backup striker kwa wakati huu tunaomsubiria greenwood aje ampindue rashford, nafahamu ana miaka 32 lakini bado si kigezo cha kumdharau kwa uwezo alionao. Shida yetu kubwa kwa sasa ni ligi ya uingereza na vardy ameshathibitisha ubosi wake pale england dhidi makipa wa timu pinzani.

wan bissaka amekazana sana kwenye ulinzi lakini kwa dunia inavyokwenda tunahitaji mlinzi mwenye sifa zaidi ya kujilinda, angalia liverpool jinsi wanavyotamba msimu huu kupitia walinzi wao wa pembeni. Nilitegemea diogo dalot ataletaa ushindini mkubwa sana msimu huu lakini cha kusikitisha hajaonyesha kama ana uwezo wa kumpindua hata ashley young msimu ujao.
wan bissaka ametenegeneza nafasi tatu za magoli msimu huu na hajapiga shots on target hata moja.
Tatizo kubwa la Man Utd ni timu nzima.

Hata Lukaku ni striker mzuri ila kama una winger kama Martial unategemea nini? Kiungo kipo hovyo, beki kimeo yani shida tupu.

Lukaku ataenda timu inayompa mipira kwa wingi utaona atakavyokuwa moto.
 
Mkuu,

Umeshausoma waraka wa Antonio (Kwa picha Juu kwako)..??

Ameelezea kwa Ufupi(& maisha duni nyumbani) Historia yake ya Mpira toka Eq Mpaka England Man United Fc.

Huku akijikubali sana kama fighter,hata mimi naungana jamaa ni fighter sana mpambanaji (kukata tamaa Mwiko).

Huku mechi ya kumbukumbu kwake iliyopo kichwani kwake ikiwa mechi ya Bayern vs Man United UEFA champions nadhani msimu 09/10,tuliondolewa na bayern,anadai Rio na VDS walikuwa viongozi kwelikweli hakuna kukata tamaa timu...kila kitu kinawezekana Uwanjani.

Antonio katupatia Epl 2,

Antonio ni moja ya wachezaji waliokuwa na Aleji na lugha ya kiingereza (Hakupenda kujifunza/Uwezo Mdogo/Uwoga).

SAF aliwahi kusema kujifunza lugha mpya lazima Uwoga uweke pembeni na utie bidiii.(S.Verone alijaribu kujifunza akaambulia patupu yeye ilikuwa ni Morning sir,Yes,Okay & No)

Antonio Miaka zaidi ya kumi Epl walau hajisumbui na lugha ya kiingereza.
Sidhani kama siku za karibuni tutakuja pata wachezaji kama Rio na VDS.

Walikuwa viongozi haswa.
 
Daaa hao wahuni wana zali sana
Hawa Wahuni Wanabahati kubwa,Walitakiwa wawe washapisha nafasi za watu muda mrefu,labda Mtukwao inashika nafasi.

Wahuni hawa nitafsri sahihi ya kuvuna zabibu katika Mtini.

Miaka zaidi ya minane Old Trafford walau hata sifa ya kuvaa tambala la Ucaptain wanapwaya,Mpaka unafikiria Bwana mdogo MCtominay avae kitambaa,bwana domo zito degea bado anapwaya.

Inawezekana Man United pia tunatatizo la kiongozi ndani ya Uwanjani(Captain).

Hawa jamaa tunaweza kwenda naona mdogo mdogo mpaka msimu wa 24/25...Wanatafuna mijihela Man United kimya kimya bila Wasi.

Kuna baadhi ya mashabiki wanaomba wahuni hawa watoke ili mioyo yao ipone.

Sent from my SM-J110H using JamiiForums mobile app
 
Mkuu,

Umeshausoma waraka wa Antonio (Kwa picha Juu kwako)..??

Ameelezea kwa Ufupi(& maisha duni nyumbani) Historia yake ya Mpira toka Eq Mpaka England Man United Fc.

Huku akijikubali sana kama fighter,hata mimi naungana jamaa ni fighter sana mpambanaji (kukata tamaa Mwiko).

Huku mechi ya kumbukumbu kwake iliyopo kichwani kwake ikiwa mechi ya Bayern vs Man United UEFA champions nadhani msimu 09/10,tuliondolewa na bayern,anadai Rio na VDS walikuwa viongozi kwelikweli hakuna kukata tamaa timu...kila kitu kinawezekana Uwanjani.

Antonio katupatia Epl 2,

Antonio ni moja ya wachezaji waliokuwa na Aleji na lugha ya kiingereza (Hakupenda kujifunza/Uwezo Mdogo/Uwoga).

SAF aliwahi kusema kujifunza lugha mpya lazima Uwoga uweke pembeni na utie bidiii.(S.Verone alijaribu kujifunza akaambulia patupu yeye ilikuwa ni Morning sir,Yes,Okay & No)

Antonio Miaka zaidi ya kumi Epl walau hajisumbui na lugha ya kiingereza.
Hahahaha kuhusu lugha umenikumbusha kuhusu Tevez, alishindwa kabisa kujifunza lugha ya Malikia

Antonio huko nyuma akiwa Wigan na wakati anahamia United, niliijua hiyo story ya kushindwa kui master lugha ya kiingereza, lakini alivyokaa United na baadaye akakabidhiwa kitambaa cha unahodha sijui kama tatizo la lugha liliendelea (logic yangu, ni mchezaji anapewaje ukapteni kama hana uwezo/anawasiliana kwa tabu na wachezaji wenzake?)

Valencia aliwahi kusema alivyokuwa anacheza huko kwao Ecuador, kuna siku alikuwa home na Familia ya kwao wanaangaalia mechi moja pale Nou Camp, akawaambia ipo siku nitacheza hapo, basi Familia yake wakiwemo wazazi wake wakamcheka sana. Anakwambia miaka kadhaa mbele (alivyokuwa United, akaichezea United dhidi ya Barca pale Nou Camp). Hii story ilinifundisha jambo kubwa sana kwenye maisha yangu

Antonio ni fighter sana, lakini umri umemtupa mkono. Ngoja tusubiri mbadala wake kwenye usajili dirishi hili.
 
Ya walikuwa viongozi,Na Man United ya sasa sioni kiongozi Uwanjani.


Kuna kipindi cha nyuma watu wakata wanamlinganisha Degea na VDS nikainamisha kichwa chini kwa ishara ya huzuni.

Degea bado sana kuvaa viatu vya VDS achilia mbali kulegeza kamba ya viatu vya Shumaico.
Sidhani kama siku za karibuni tutakuja pata wachezaji kama Rio na VDS.

Walikuwa viongozi haswa.
 
Watuletee yule Zyech wa Ajax atembee pembeni
Hakim Ziyech RW (26 years)-release clause £25m
Tomas Partey DM(26 years)-release clause £43m
Toby Alderweilerd(30 years) release clause £25m
Jumla ni £93 unapata wachezaji wazuri na wenye uzoefu na viwango
Tatizo our decision makers know nothing kuhusu football wapo wachezaji wazuri sio wa bei kubwa ambao wataimprove United
 
Hakim Ziyech RW (26 years)-release clause £25m
Tomas Partey DM(26 years)-release clause £43m
Toby Alderweilerd(30 years) release clause £25m
Jumla ni £93 unapata wachezaji wazuri na wenye uzoefu na viwango
Tatizo our decision makers know nothing kuhusu football wapo wachezaji wazuri sio wa bei kubwa ambao wataimprove United
Uongozi wa AJAX umesema upo tayari kumuachia Hakim Ziyech kama atahitaji kuondoka msimu huu.
 
Kuna kipaji kipya cha mpira ukimwangalia uchezaji wake ni kama mesut ozil tofauti yy na ozil yeye ni mfungaji alafu anacheza mpira wa speed.. Anaitwa Kai havertz ni mchezaji mwenye kipaji kikubwa ana miaka 19.. Ana magoli 11 kwenye ligi yao na assist 6 hivi ni raia ya ujerimani na ananipiga bayer leverkusen.. hapo man utd hatumuoni huyu kijana tulambe dume kwa bei ya kawaida.. he is very talented young player.. Pengine msimu ujao akitakiwa pesa ndefu itatumika kwa anaye mhitaji.. ningekuwa na uwezo ningepiga simu au ningeshauri tumchukue huyo kijana anacheza ligi kuu ya ujerumani aka Bundesliga... Wadau mtafuteni mulete ushuhuda me niliwahi muona mechi moja kwenye star times live match toka hapo nikasema nimfatilie anakipaji Sana huyo ni *Kai havertz*
 
Kuna kipaji kipya cha mpira ukimwangalia uchezaji wake ni kama mesut ozil tofauti yy na ozil yeye ni mfungaji alafu anacheza mpira wa speed.. Anaitwa Kai havertz ni mchezaji mwenye kipaji kikubwa ana miaka 19.. Ana magoli 11 kwenye ligi yao na assist 6 hivi ni raia ya ujerimani na ananipiga bayer leverkusen.. hapo man utd hatumuoni huyu kijana tulambe dume kwa bei ya kawaida.. he is very talented young player.. Pengine msimu ujao akitakiwa pesa ndefu itatumika kwa anaye mhitaji.. ningekuwa na uwezo ningepiga simu au ningeshauri tumchukue huyo kijana anacheza ligi kuu ya ujerumani aka Bundesliga... Wadau mtafuteni mulete ushuhuda me niliwahi muona mechi moja kwenye star times live match toka hapo nikasema nimfatilie anakipaji Sana huyo ni *Kai havertz*
Kuna mahala nilisoma kuwa Man u inamfanyia Monitoring Kai Harvetz kiukweli ni mchezaji mzuri japo epl inapressure kubwa kuliko ligi zingine
 
juzi kati tulisikia uongozi wa timu yetu ulimpa De Gea wiki moja ili asaini mkataba mpya ama wampige bei....lakini mpaka leo kimya sijui imeishia wapi ile!
 
Hakim Ziyech yupo sokoni kwa sasa na dau lake n £24m tu kazi kupambana hapo
FB_IMG_1558211739057.jpeg
 
Back
Top Bottom