Al Watani
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 21,697
- 32,447
Mbinu pekee ambayo Guardiola hubadili uwanjani nikuongeza speed tu vingine vyote hubaki vile vile technicallyGuardiola yupo tofauti.
Mbinu pekee ambayo Guardiola hubadili uwanjani nikuongeza speed tu vingine vyote hubaki vile vile technicallyGuardiola yupo tofauti.
They are so soft and too small for EPLUmtiti, Dyabala naona ni gambling.
Naona kama hawatafit united.
Robin Van Persie na Zlatan ndo usajili bora wa mwisho kuufanya United.hahahahaaa rival my ass.
majogoo kila mchezaji aliyesajiliwa na jurgen klopp amegeuka dhahabu.
kiupande wetu kila mchezaji tunayemsajili anafanya vizuri nusu msimu.
kama si laana inayotukabili muda huu ni kitu gani jamani.
lukaku anaonekana amechoka wakati last season alifunga magoli mechi takribani tano mfululizo.
nemanja matic alikuwa onfire but now hakuna anamyetamani.
eric bailly yuko hoi.
antony martial anatia huruma, wakati msimu uliopita pamoja na rashford walikuwa wanashindana kwa kufunga mwanzoni mwa msimu, akianza rashford raha akitokea benchi full raha
only zlatan ibrahimovic ndio usajili wa maana tulioufurahia matunda yake haijalishi kwa sasa hayupo tena klabuni.
dah nimezikumbuka kelele zetu za 4G nyakati zile
Tatizo kubwa la Man Utd ni timu nzima.wapo wanaonivutia kiuchezaji kama vile:
james maddison kutoka leicester city.
jamie vardy kwa ligi ya uingereza ana uhakika wa kukupa magoli 10 kila msimu, anafaa kuwa backup striker kwa wakati huu tunaomsubiria greenwood aje ampindue rashford, nafahamu ana miaka 32 lakini bado si kigezo cha kumdharau kwa uwezo alionao. Shida yetu kubwa kwa sasa ni ligi ya uingereza na vardy ameshathibitisha ubosi wake pale england dhidi makipa wa timu pinzani.
wan bissaka amekazana sana kwenye ulinzi lakini kwa dunia inavyokwenda tunahitaji mlinzi mwenye sifa zaidi ya kujilinda, angalia liverpool jinsi wanavyotamba msimu huu kupitia walinzi wao wa pembeni. Nilitegemea diogo dalot ataletaa ushindini mkubwa sana msimu huu lakini cha kusikitisha hajaonyesha kama ana uwezo wa kumpindua hata ashley young msimu ujao.
wan bissaka ametenegeneza nafasi tatu za magoli msimu huu na hajapiga shots on target hata moja.
![]()
Aaron Wan-Bissaka Statistics | Premier League
View stats of Manchester United Defender Aaron Wan-Bissaka, including goals scored, assists and appearances, on the official website of the Premier League.www.premierleague.com
Sidhani kama siku za karibuni tutakuja pata wachezaji kama Rio na VDS.Mkuu,
Umeshausoma waraka wa Antonio (Kwa picha Juu kwako)..??
Ameelezea kwa Ufupi(& maisha duni nyumbani) Historia yake ya Mpira toka Eq Mpaka England Man United Fc.
Huku akijikubali sana kama fighter,hata mimi naungana jamaa ni fighter sana mpambanaji (kukata tamaa Mwiko).
Huku mechi ya kumbukumbu kwake iliyopo kichwani kwake ikiwa mechi ya Bayern vs Man United UEFA champions nadhani msimu 09/10,tuliondolewa na bayern,anadai Rio na VDS walikuwa viongozi kwelikweli hakuna kukata tamaa timu...kila kitu kinawezekana Uwanjani.
Antonio katupatia Epl 2,
Antonio ni moja ya wachezaji waliokuwa na Aleji na lugha ya kiingereza (Hakupenda kujifunza/Uwezo Mdogo/Uwoga).
SAF aliwahi kusema kujifunza lugha mpya lazima Uwoga uweke pembeni na utie bidiii.(S.Verone alijaribu kujifunza akaambulia patupu yeye ilikuwa ni Morning sir,Yes,Okay & No)
Antonio Miaka zaidi ya kumi Epl walau hajisumbui na lugha ya kiingereza.
Hawa Wahuni Wanabahati kubwa,Walitakiwa wawe washapisha nafasi za watu muda mrefu,labda Mtukwao inashika nafasi.Daaa hao wahuni wana zali sana
Hahahaha kuhusu lugha umenikumbusha kuhusu Tevez, alishindwa kabisa kujifunza lugha ya MalikiaMkuu,
Umeshausoma waraka wa Antonio (Kwa picha Juu kwako)..??
Ameelezea kwa Ufupi(& maisha duni nyumbani) Historia yake ya Mpira toka Eq Mpaka England Man United Fc.
Huku akijikubali sana kama fighter,hata mimi naungana jamaa ni fighter sana mpambanaji (kukata tamaa Mwiko).
Huku mechi ya kumbukumbu kwake iliyopo kichwani kwake ikiwa mechi ya Bayern vs Man United UEFA champions nadhani msimu 09/10,tuliondolewa na bayern,anadai Rio na VDS walikuwa viongozi kwelikweli hakuna kukata tamaa timu...kila kitu kinawezekana Uwanjani.
Antonio katupatia Epl 2,
Antonio ni moja ya wachezaji waliokuwa na Aleji na lugha ya kiingereza (Hakupenda kujifunza/Uwezo Mdogo/Uwoga).
SAF aliwahi kusema kujifunza lugha mpya lazima Uwoga uweke pembeni na utie bidiii.(S.Verone alijaribu kujifunza akaambulia patupu yeye ilikuwa ni Morning sir,Yes,Okay & No)
Antonio Miaka zaidi ya kumi Epl walau hajisumbui na lugha ya kiingereza.
Sidhani kama siku za karibuni tutakuja pata wachezaji kama Rio na VDS.
Walikuwa viongozi haswa.
Hakim Ziyech RW (26 years)-release clause £25mWatuletee yule Zyech wa Ajax atembee pembeni
leo tumepata tuzo ya uwanja bora wa msimu EPL wazungu bhanaaUkiangalia kikosi cha mancity halafu ulinganishe na kina Smalling, young, Lingard pamoja na upupu wa Jones.. Unaishia kukuguna tu.. Yaani hatuna timu kabisa
Uongozi wa AJAX umesema upo tayari kumuachia Hakim Ziyech kama atahitaji kuondoka msimu huu.Hakim Ziyech RW (26 years)-release clause £25m
Tomas Partey DM(26 years)-release clause £43m
Toby Alderweilerd(30 years) release clause £25m
Jumla ni £93 unapata wachezaji wazuri na wenye uzoefu na viwango
Tatizo our decision makers know nothing kuhusu football wapo wachezaji wazuri sio wa bei kubwa ambao wataimprove United
Itabid tu watufariji namna hiyo mana hakuna namna nyingine tenaleo tumepata tuzo ya uwanja bora wa msimu EPL wazungu bhanaa
Kuna mahala nilisoma kuwa Man u inamfanyia Monitoring Kai Harvetz kiukweli ni mchezaji mzuri japo epl inapressure kubwa kuliko ligi zingineKuna kipaji kipya cha mpira ukimwangalia uchezaji wake ni kama mesut ozil tofauti yy na ozil yeye ni mfungaji alafu anacheza mpira wa speed.. Anaitwa Kai havertz ni mchezaji mwenye kipaji kikubwa ana miaka 19.. Ana magoli 11 kwenye ligi yao na assist 6 hivi ni raia ya ujerimani na ananipiga bayer leverkusen.. hapo man utd hatumuoni huyu kijana tulambe dume kwa bei ya kawaida.. he is very talented young player.. Pengine msimu ujao akitakiwa pesa ndefu itatumika kwa anaye mhitaji.. ningekuwa na uwezo ningepiga simu au ningeshauri tumchukue huyo kijana anacheza ligi kuu ya ujerumani aka Bundesliga... Wadau mtafuteni mulete ushuhuda me niliwahi muona mechi moja kwenye star times live match toka hapo nikasema nimfatilie anakipaji Sana huyo ni *Kai havertz*
Mkuu umeandika kama vile ungekua na hela zako binafsi ungelipia chap atue united!!Hakim Ziyech yupo sokoni kwa sasa na dau lake n £24m tu kazi kupambana hapoView attachment 1101691